Orodha yangu ya watu walioupiga mwingi 2023

Apprecite Mpaji Mungu .there is always tomorrow and everything is possible. Tena better tuonane kabla sijawa billionaire maana itakua ngum sana kunipata af Intelligent businessman asije ona naringa πŸ˜‚
 
Mkuu mimi nina weakness moja, mtu akitaka kuniomba msamaha huwa nakimbia kabisa sitakagi hiyo conversation. Sijui kwanini naogopa sana kuombwa msamaha, πŸ˜… Labda kwasababu nakuwa nimeshasamehe toka muda ule ule. Nadhani nina shida mahala .

Lakini kwakuwa umetumia muda wako kufanya hivyo, basi nimepokea kwa mikono miwili na i’m down for this.

Ni mambo ya kawaida tu humu jukwaani, Peace Mkuu.

Tuendelee kulisongesha jukwaa. ✌🏻
 
Mungu ni mwema ipo siku kaka
 
We ni mhumbleπŸ’ͺπŸ’ͺπŸ’ͺ
 


Hata sikumbuki, huna haja ya ku apoligize, Mungu ni mwema, hakuna ulilokosea.
 
Wewe ukiwa bilionea UTA sumbua Sana, though we are the big three.
πŸ‘‰ I intelli, Mpaji Mungu and you mrusi was mchongo Ivan Stepanov .
Mbona very soon tu i will.. utakula bata sana nikishaukwaa u bilionea mdogo angu, sema tu hutamfikia Leejay49 maana yeye ndio atakua financial consultant wangu wa plan matumiz na bata zote on my right hand side
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…