Orodha yangu ya watu walioupiga mwingi 2023

Orodha yangu ya watu walioupiga mwingi 2023

Mkuu mimi nina weakness moja, mtu akitaka kuniomba msamaha huwa nakimbia kabisa sitakagi hiyo conversation. Sijui kwanini naogopa sana kuombwa msamaha, 😅 Labda kwasababu nakuwa nimeshasamehe toka muda ule ule. Nadhani nina shida mahala .

Lakini kwakuwa umetumia muda wako kufanya hivyo, basi nimepokea kwa mikono miwili na i’m down for this.

Ni mambo ya kawaida tu humu jukwaani, Peace Mkuu.

Tuendelee kulisongesha jukwaa. ✌🏻
Mapema sana tokea tucheze pool table mama😄au kama ni game nae fresh tu
 
Mbona very soon tu i will.. utakula bata sana nikishaukwaa u bilionea mdogo angu, sema tu hutamfikia Leejay49 maana yeye ndio atakua financial consultant wangu wa plan matumiz na bata zote on my right hand side
Oya we mrusi wa mchongo Ume Anza sifa zako😀😆, mi jobless bhana so hizo Bata sizi taki.
👉Ma jobless tuna taka kazi, ndo maana CV yangu naituma kwa Kaka Glenn ani fikirie hata ulinzi 🙏🤒
 
Back
Top Bottom