Orodha yangu ya watu walioupiga mwingi 2023

Orodha yangu ya watu walioupiga mwingi 2023

Kusema za ukwel 2023 ulikua na mambo mengi sana kwangu mazuri kiasi mabaya kiasi changamoto kiasi!

Online! Hasa jf maana ndo natumia sana; nimekua na marafiki ambao tumehabarishana, tumeshauriana, na tumetaniana na wengine tumejibizana vibaya/nimewajibu vbya nakumbuka nliwahi mjibu vbaya uttoh2002 & binti kiziwi nichukue
fursa hii kuwaomba radhi sana!

My wishful: siku Moja panapo majaliwa yake Mwenyezi Mungu na Kwa ridhaaa yao nionae na hawa mabraza Ivan Stepanov & Glenn
Apprecite Mpaji Mungu .there is always tomorrow and everything is possible. Tena better tuonane kabla sijawa billionaire maana itakua ngum sana kunipata af Intelligent businessman asije ona naringa 😂
 
Kusema za ukwel 2023 ulikua na mambo mengi sana kwangu mazuri kiasi mabaya kiasi changamoto kiasi!

Online! Hasa jf maana ndo natumia sana; nimekua na marafiki ambao tumehabarishana, tumeshauriana, na tumetaniana na wengine tumejibizana vibaya/nimewajibu vbya nakumbuka nliwahi mjibu vbaya uttoh2002 & binti kiziwi nichukue
fursa hii kuwaomba radhi sana!

My wishful: siku Moja panapo majaliwa yake Mwenyezi Mungu na Kwa ridhaaa yao nionae na hawa mabraza Ivan Stepanov & Glenn
Mkuu mimi nina weakness moja, mtu akitaka kuniomba msamaha huwa nakimbia kabisa sitakagi hiyo conversation. Sijui kwanini naogopa sana kuombwa msamaha, 😅 Labda kwasababu nakuwa nimeshasamehe toka muda ule ule. Nadhani nina shida mahala .

Lakini kwakuwa umetumia muda wako kufanya hivyo, basi nimepokea kwa mikono miwili na i’m down for this.

Ni mambo ya kawaida tu humu jukwaani, Peace Mkuu.

Tuendelee kulisongesha jukwaa. ✌🏻
 
Kusema za ukwel 2023 ulikua na mambo mengi sana kwangu mazuri kiasi mabaya kiasi changamoto kiasi!

Online! Hasa jf maana ndo natumia sana; nimekua na marafiki ambao tumehabarishana, tumeshauriana, na tumetaniana na wengine tumejibizana vibaya/nimewajibu vbya nakumbuka nliwahi mjibu vbaya uttoh2002 & binti kiziwi nichukue
fursa hii kuwaomba radhi sana!

My wishful: siku Moja panapo majaliwa yake Mwenyezi Mungu na Kwa ridhaaa yao nionae na hawa mabraza Ivan Stepanov & Glenn
Mungu ni mwema ipo siku kaka
 
Mkuu mimi nina weakness moja, mtu akitaka kuniomba msamaha huwa nakimbia kabisa sitakagi hiyo conversation. Sijui kwanini naogopa sana kuombwa msamaha, 😅 Labda kwasababu nakuwa nimeshasamehe toka muda ule ule. Nadhani nina shida mahala .

Lakini kwakuwa umetumia muda wako kufanya hivyo, basi nimepokea kwa mikono miwili na i’m down for this.

Ni mambo ya kawaida tu humu jukwaani, Peace Mkuu.

Tuendelee kulisongesha jukwaa. ✌🏻
We ni mhumble💪💪💪
 
Kusema za ukwel 2023 ulikua na mambo mengi sana kwangu mazuri kiasi mabaya kiasi changamoto kiasi!

Online! Hasa jf maana ndo natumia sana; nimekua na marafiki ambao tumehabarishana, tumeshauriana, na tumetaniana na wengine tumejibizana vibaya/nimewajibu vbya nakumbuka nliwahi mjibu vbaya uttoh2002 & binti kiziwi nichukue
fursa hii kuwaomba radhi sana!

My wishful: siku Moja panapo majaliwa yake Mwenyezi Mungu na Kwa ridhaaa yao nionae na hawa mabraza Ivan Stepanov & Glenn


Hata sikumbuki, huna haja ya ku apoligize, Mungu ni mwema, hakuna ulilokosea.
 
Wewe ukiwa bilionea UTA sumbua Sana, though we are the big three.
👉 I intelli, Mpaji Mungu and you mrusi was mchongo Ivan Stepanov .
Mbona very soon tu i will.. utakula bata sana nikishaukwaa u bilionea mdogo angu, sema tu hutamfikia Leejay49 maana yeye ndio atakua financial consultant wangu wa plan matumiz na bata zote on my right hand side
 
Back
Top Bottom