Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1]Shida ili Anza alipo Anza kutamani kuwa aunt [emoji38][emoji38][emoji855]
I mean no malice to nobody, msalimie mrusi wa mchongo Ivan Stepanov 🤒Panapomajaliwa!
Mara ana tamani kuzaa😆😆, tuka ona asha poteza ujumbe 🤒😂[emoji1]
Apprecite Mpaji Mungu .there is always tomorrow and everything is possible. Tena better tuonane kabla sijawa billionaire maana itakua ngum sana kunipata af Intelligent businessman asije ona naringa 😂Kusema za ukwel 2023 ulikua na mambo mengi sana kwangu mazuri kiasi mabaya kiasi changamoto kiasi!
Online! Hasa jf maana ndo natumia sana; nimekua na marafiki ambao tumehabarishana, tumeshauriana, na tumetaniana na wengine tumejibizana vibaya/nimewajibu vbya nakumbuka nliwahi mjibu vbaya uttoh2002 & binti kiziwi nichukue
fursa hii kuwaomba radhi sana!
My wishful: siku Moja panapo majaliwa yake Mwenyezi Mungu na Kwa ridhaaa yao nionae na hawa mabraza Ivan Stepanov & Glenn
Mkuu mimi nina weakness moja, mtu akitaka kuniomba msamaha huwa nakimbia kabisa sitakagi hiyo conversation. Sijui kwanini naogopa sana kuombwa msamaha, 😅 Labda kwasababu nakuwa nimeshasamehe toka muda ule ule. Nadhani nina shida mahala .Kusema za ukwel 2023 ulikua na mambo mengi sana kwangu mazuri kiasi mabaya kiasi changamoto kiasi!
Online! Hasa jf maana ndo natumia sana; nimekua na marafiki ambao tumehabarishana, tumeshauriana, na tumetaniana na wengine tumejibizana vibaya/nimewajibu vbya nakumbuka nliwahi mjibu vbaya uttoh2002 & binti kiziwi nichukue
fursa hii kuwaomba radhi sana!
My wishful: siku Moja panapo majaliwa yake Mwenyezi Mungu na Kwa ridhaaa yao nionae na hawa mabraza Ivan Stepanov & Glenn
Sikusema ni mtangazaji, ana taaluma ya habari japo sio mwanahabari...Ndio huyo, uliye sema ni mtangazaji?
Ume Anza Kona Kona😂😆😆🤒Sikusema ni mtangazaji, ana taaluma ya habari japo sio mwanahabari...
Halafu huyu si nimesema ni mshkaji wangu wa maisha jamani? 😜
Mungu ni mwema ipo siku kakaKusema za ukwel 2023 ulikua na mambo mengi sana kwangu mazuri kiasi mabaya kiasi changamoto kiasi!
Online! Hasa jf maana ndo natumia sana; nimekua na marafiki ambao tumehabarishana, tumeshauriana, na tumetaniana na wengine tumejibizana vibaya/nimewajibu vbya nakumbuka nliwahi mjibu vbaya uttoh2002 & binti kiziwi nichukue
fursa hii kuwaomba radhi sana!
My wishful: siku Moja panapo majaliwa yake Mwenyezi Mungu na Kwa ridhaaa yao nionae na hawa mabraza Ivan Stepanov & Glenn
Wewe ukiwa bilionea UTA sumbua Sana, though we are the big three.Apprecite Mpaji Mungu .there is always tomorrow and everything is possible. Tena better tuonane kabla sijawa billionaire maana itakua ngum sana kunipata af Intelligent businessman asije ona naringa 😂
Kaka salamu zako Ume ziona😆🤒Mungu ni mwema ipo siku kaka
Upendo daima Kaka zangu🙏💪💪Apprecite Mpaji Mungu .there is always tomorrow and everything is possible. Tena better tuonane kabla sijawa billionaire maana itakua ngum sana kunipata af Intelligent businessman asije ona naringa 😂
We ni mhumble💪💪💪Mkuu mimi nina weakness moja, mtu akitaka kuniomba msamaha huwa nakimbia kabisa sitakagi hiyo conversation. Sijui kwanini naogopa sana kuombwa msamaha, 😅 Labda kwasababu nakuwa nimeshasamehe toka muda ule ule. Nadhani nina shida mahala .
Lakini kwakuwa umetumia muda wako kufanya hivyo, basi nimepokea kwa mikono miwili na i’m down for this.
Ni mambo ya kawaida tu humu jukwaani, Peace Mkuu.
Tuendelee kulisongesha jukwaa. ✌🏻
Kusema za ukwel 2023 ulikua na mambo mengi sana kwangu mazuri kiasi mabaya kiasi changamoto kiasi!
Online! Hasa jf maana ndo natumia sana; nimekua na marafiki ambao tumehabarishana, tumeshauriana, na tumetaniana na wengine tumejibizana vibaya/nimewajibu vbya nakumbuka nliwahi mjibu vbaya uttoh2002 & binti kiziwi nichukue
fursa hii kuwaomba radhi sana!
My wishful: siku Moja panapo majaliwa yake Mwenyezi Mungu na Kwa ridhaaa yao nionae na hawa mabraza Ivan Stepanov & Glenn
Haki vile 🤨😁😁Hebu tulia huko😆, I love you too 🤗
ZA kwako sijaona kakaKaka salamu zako Ume ziona😆🤒
Mbona very soon tu i will.. utakula bata sana nikishaukwaa u bilionea mdogo angu, sema tu hutamfikia Leejay49 maana yeye ndio atakua financial consultant wangu wa plan matumiz na bata zote on my right hand sideWewe ukiwa bilionea UTA sumbua Sana, though we are the big three.
👉 I intelli, Mpaji Mungu and you mrusi was mchongo Ivan Stepanov .
Barikiwa sanaMods naomba Uzi wangu ubaki hapa hapa🙏🙏🤒