Oscar Oscar, kama kumuita kiongozi wako mpuuzi sio kosa, fanya hivyo basi kwa bosi wako Majizo kama utabaki salama

Oscar Oscar, kama kumuita kiongozi wako mpuuzi sio kosa, fanya hivyo basi kwa bosi wako Majizo kama utabaki salama

Mpuuzi maana yake ni mtu anayepuuzia kitu sio tusi, Haji aanzie BAKITA then akate rufaa anashinda mapema tu.
Hana ubavu wa kukata rufaa, si mlimsikia aliomba msamaha kabisa kabla ya kupigwa ban, Haji anajua alikosea kumkoromea rais wa tiefuefu hilo ban ni haki yake ashike adabu
 
1. Aliomba msamaha nje ya TFF na si ndani ya TFF

2. Amekiri kosa kwa kutia doa tasnia ya mchezo wa mpira wa miguu,

3. Alitishia maisha ya kiongozi wa TFF hilo ni kosa la jinai. Adhabu ni haki yake.
 
Ninaposoma comments za wadau hapa ndo nagundua watanzania wengi bado ni wajinga sana!
 
Kinachosikitisha ni kwamba hawa ndio think tank wa soka letu, so sad.

Kuna watu wanaojiita wachambuzi Kuna mambo wanayazungumza nyuma ya mic 🎤 unabakia kujiuliza huyu ana utimamu wa akili Kweli?
shida ni media zetu zimewapa jukwaa watu wajinga wajinga tu. iwe kwenye soka au siasa
 
Wewe nawe mtoto wa juzi bila Manara ungeipenda makolo? Hao TFF ktk ushahidi wao hakuna sehem waliposema Manara alimuita Karai the Bogus Mpuuzi... Usikurupuke kijana, hii ni michezo halafu mwisho wa siku ujue watoto wa mjini ndio watakao maliza huu mzozo kwasababu karai na ukubwa wake wote hana chochote anachojua pale TFF
 
Mchambuzi anayetafuta umaarufu wa kijinga Oscar Oscar anamtetea Manara kuwa ameonewa, hivyo hastahili adhabu.

Kwake yeye kumuita kiongozi wa soka mpuuzi ni jambo la kawaida, namuuliza Oscar kama anaweza kumuita mpuuzi majizzo akabaki salama.

Hoja hapa ni matusi, kiongozi kaambiwa mpuuzi, wewe Oscar ni mwajiriwa hapo efm, unaweza kumuita mpuuzi bosi wako?

Muite cku moja tuone kama utaendelea kukaa mjini, lazima waandishi muwe na logic mnapofanya uchambuzi, mnaipoteza tasnia.

Badala ya kukemea ujinga huo mnaendekeza kwa sababu kuna watu mtawakasirisha, wanawanunulia pombe kali, wanawanunulia suti, shame on u.
Kwahyo Manara boss wake ni Karia tumbo tumbo?
 
Huu mfano hauna uhalisia kama utakuwa unahusishwa na kufungiwa Haji Manara. Maana huyo Karia siyo mwajiri wa Manara!

Karia cheo chake siyo kuzuia watu kukaa jukwaa kuu! Jukumu hilo ni la walimzi maalum.

Ni kiherehere chake ndicho kilichomfanya kujibizana na Haji Manara katika mazingira ambayo mtu amepandwa na munkari baada ya timu yake kuwa katika mazingira magumu ya kushinda fainali.

Simtetei Haji Manara kwa sababu siyo shabiki wake. Lakini Wallace Karia pia siyo malaika.

Na ikiwezekana aondokane kabisa na tabia zake za hovyo za kujiona mungu mtu, na pia kutaka aogopwe kwa sababu tu ni rais wa TFF.
Anayemtetea manara nae ni mpuuzi pia...

Sent from my PBBM00 using JamiiForums mobile app
 
Huu mfano hauna uhalisia kama utakuwa unahusishwa na kufungiwa Haji Manara. Maana huyo Karia siyo mwajiri wa Manara!

Karia cheo chake siyo kuzuia watu kukaa jukwaa kuu! Jukumu hilo ni la walimzi maalum.

Ni kiherehere chake ndicho kilichomfanya kujibizana na Haji Manara katika mazingira ambayo mtu amepandwa na munkari baada ya timu yake kuwa katika mazingira magumu ya kushinda fainali.

Simtetei Haji Manara kwa sababu siyo shabiki wake. Lakini Wallace Karia pia siyo malaika.

Na ikiwezekana aondokane kabisa na tabia zake za hovyo za kujiona mungu mtu, na pia kutaka aogopwe kwa sababu tu ni rais wa TFF.
Kinapokuja swala la kutetea maswala yanayohisisha team mashabiki huwa mnaweuka kabisa.
 
Mchambuzi anayetafuta umaarufu wa kijinga Oscar Oscar anamtetea Manara kuwa ameonewa, hivyo hastahili adhabu.

Kwake yeye kumuita kiongozi wa soka mpuuzi ni jambo la kawaida, namuuliza Oscar kama anaweza kumuita mpuuzi majizzo akabaki salama.

Hoja hapa ni matusi, kiongozi kaambiwa mpuuzi, wewe Oscar ni mwajiriwa hapo efm, unaweza kumuita mpuuzi bosi wako?

Muite siku moja tuone kama utaendelea kukaa mjini, lazima waandishi muwe na logic mnapofanya uchambuzi, mnaipoteza tasnia.

Badala ya kukemea ujinga huo mnaendekeza kwa sababu kuna watu mtawakasirisha, wanawanunulia pombe kali, wanawanunulia suti, shame on u.
Hivi huyu Oscar Oscar nae ni mwandishi mnamskilizaga kabisa. Mi naonaga tu tweet zake. Ni za kipimbi. Muhandishi muda wote ni tweet za ajabu ajabu tu
 
Mchambuzi anayetafuta umaarufu wa kijinga Oscar Oscar anamtetea Manara kuwa ameonewa, hivyo hastahili adhabu.

Kwake yeye kumuita kiongozi wa soka mpuuzi ni jambo la kawaida, namuuliza Oscar kama anaweza kumuita mpuuzi majizzo akabaki salama.

Hoja hapa ni matusi, kiongozi kaambiwa mpuuzi, wewe Oscar ni mwajiriwa hapo efm, unaweza kumuita mpuuzi bosi wako?

Muite siku moja tuone kama utaendelea kukaa mjini, lazima waandishi muwe na logic mnapofanya uchambuzi, mnaipoteza tasnia.

Badala ya kukemea ujinga huo mnaendekeza kwa sababu kuna watu mtawakasirisha, wanawanunulia pombe kali, wanawanunulia suti, shame on u.
miaka ya hivi karibuni tasnia nzima ya mpira wa miguu hapa tz, imezungukwa na machawa kila kona.

machawa hatari zaidi ktk football ya tz ni waandishi wa habari za michezo, wanaojiita wachambuzi(field ya watu wajanja-wajanja) na watangazaji wa tv/radio wanaosimamia program za sports.

ukichunguza sana, unaweza kuta huyo oscar oscar yupo katika payroll ya gharib wa gsm. sio ajabu mtu kama huyo kujifanya mtetezi wa ujinga anaoufanya manara.

manara ni mtu wa karibu zaidi wa gsm, kwa hiyo usishangae chawa oscar oscar kujitoa akili kumtetea manara ilmradi tu manara alinde maslahi yake kwa gsm. njaa mbaya sana
 
Kinapokuja swala la kutetea maswala yanayohisisha team mashabiki huwa mnaweuka kabisa.
Kuna mahali nimetetea timu yangu! Mimi siku zote napenda haki. Malumbano yaliyojitokeza siku ya mechi ya fainali yalikuwa ni ya watu wawili! Sasa inakuwaje aadhibiwe mmoja?

Au mnataka kutuaminisha Wallace Karia ni mtu special sana kiasi hawezi kukosolewa! Halafu hiyo milioni 20 anatozwa faini kwa ajili ya nini! Na inaenda kwenye mfuko gani! Kama siyo wizi na uonevu.

Narudia tena kusema; sijawahi kumuunga mkono Haji Manara kwa sababu ya kejeli zake! Lakini linapokuja suala la haki, nitasimama kwenye haki.
 
Je kilichotukanwa, dhalilishwa, tusiwa ni cheo cha Urais wa TFF au mtu anayeitwa Karia?

Isijekuwa Manara na Karia wana 'bifu' zao binafsi, hivyo mwenye kulalamika angepeleka malalamiko yake kwenye vyombo vya kisheria vya nchi...

Karia angelifanya kama Membe alivyofanya kwa Musiba, Membe hakutaka Musiba aadhibiwe na chama bali mamlaka za kisheria za nchi ili iwe funzo kwa wengine, na kuziba mwanya wowote wa Musiba kuendelea kukashifu Membe
 
Mchambuzi anayetafuta umaarufu wa kijinga Oscar Oscar anamtetea Manara kuwa ameonewa, hivyo hastahili adhabu.

Kwake yeye kumuita kiongozi wa soka mpuuzi ni jambo la kawaida, namuuliza Oscar kama anaweza kumuita mpuuzi majizzo akabaki salama.

Hoja hapa ni matusi, kiongozi kaambiwa mpuuzi, wewe Oscar ni mwajiriwa hapo efm, unaweza kumuita mpuuzi bosi wako?

Muite siku moja tuone kama utaendelea kukaa mjini, lazima waandishi muwe na logic mnapofanya uchambuzi, mnaipoteza tasnia.

Badala ya kukemea ujinga huo mnaendekeza kwa sababu kuna watu mtawakasirisha, wanawanunulia pombe kali, wanawanunulia suti, shame on u.
Akili Hana ndo Mana alishindwa urais tff
 
Back
Top Bottom