Ulimheshimu sana,yaani ndo umegundua leo kuwa huyu ni bogus?Leo ndo nimegundua huyo Oscar hamna kitu kichwani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ulimheshimu sana,yaani ndo umegundua leo kuwa huyu ni bogus?Leo ndo nimegundua huyo Oscar hamna kitu kichwani
Kama Karia sio mwajiri wake mwambie aifute hiyo adhabu basi! Na kama sio mwajiri wake alienda kuomba msamaha wa nini? Ukipata majibu ya maswali hayo utagundua kuwa kwa namna moja au nyingine TFF ndio mwajiri wa mambo yote yanayo husiana na mpira wa Tanzania wakiwemo watu wanaojihusisha na mpiraHuu mfano hauna uhalisia kama utakuwa unahusishwa na kufungiwa Haji Manara. Maana huyo Karia siyo mwajiri wa Manara!
Karia cheo chake siyo kuzuia watu kukaa jukwaa kuu! Jukumu hilo ni la walimzi maalum.
Ni kiherehere chake ndicho kilichomfanya kujibizana na Haji Manara katika mazingira ambayo mtu amepandwa na munkari baada ya timu yake kuwa katika mazingira magumu ya kushinda fainali.
Simtetei Haji Manara kwa sababu siyo shabiki wake. Lakini Wallace Karia pia siyo malaika.
Na ikiwezekana aondokane kabisa na tabia zake za hovyo za kujiona mungu mtu, na pia kutaka aogopwe kwa sababu tu ni rais wa TFF.
[emoji1787]Nimegundua Yale anayoandikaga sio kwamba anafanya utani ila ni akili Hana.
[emoji23][emoji1787][emoji23]Oscar Oscar ni mcha-mbuzi.
Ni kichwa+mbuziNi mchwa-mbuzi
Watu bado hawajui nini wafanyiwe na nini wasifanyiwe, nchi bado ina kundi kubwa la watu wasio jitambua.Nchi za wenzetu wenye akili, kiongozi sio mungu. Ukizingua, watu "wanarara mbere" na wewe bila wasiwasi. Trump mwenyewe alikua anayakoga matusi kila siku. Kule kwao, uongozi ni dhamana na wananchi ndio maboss wako.
Hapa kwetu sasa. Hata rais wa TFF nae ni mungu mtu.
NB: Manara nae apunguze mdomo!
Kwakweli wanaongea km waleviKinachosikitisha ni kwamba hawa ndio think tank wa soka letu, so sad.
Kuna watu wanaojiita wachambuzi Kuna mambo wanayazungumza nyuma ya mic 🎤 unabakia kujiuliza huyu ana utimamu wa akili Kweli?
Nchi hii watu wanaongozwa na mihemko.Huu mfano hauna uhalisia kama utakuwa unahusishwa na kufungiwa Haji Manara. Maana huyo Karia siyo mwajiri wa Manara!
Karia cheo chake siyo kuzuia watu kukaa jukwaa kuu! Jukumu hilo ni la walimzi maalum.
Ni kiherehere chake ndicho kilichomfanya kujibizana na Haji Manara katika mazingira ambayo mtu amepandwa na munkari baada ya timu yake kuwa katika mazingira magumu ya kushinda fainali.
Simtetei Haji Manara kwa sababu siyo shabiki wake. Lakini Wallace Karia pia siyo malaika.
Na ikiwezekana aondokane kabisa na tabia zake za hovyo za kujiona mungu mtu, na pia kutaka aogopwe kwa sababu tu ni rais wa TFF.
Kuna wengine Ni wacha_ng'ombe.Oscar Oscar ni mcha-mbuzi.
Wewe Ni mmoja wa wale wasio na akili hapo utopoloni kwa mujibu wa Manara.Wewe nawe mtoto wa juzi bila Manara ungeipenda makolo? Hao TFF ktk ushahidi wao hakuna sehem waliposema Manara alimuita Karai the Bogus Mpuuzi... Usikurupuke kijana, hii ni michezo halafu mwisho wa siku ujue watoto wa mjini ndio watakao maliza huu mzozo kwasababu karai na ukubwa wake wote hana chochote anachojua pale TFF
Manara akamsaidie GSM kuuza magodoro Sasa.Kwahyo Manara boss wake ni Karia tumbo tumbo?
Na bora alitolewa nje maana hapa tu hana uhuru lakini cheki anavyolopokaEti naye huyu aliomba kugombea nafasi ya urais wa TFF.
Sawa! Ushawahi kumuita baba yako mpuuzi!? Ukamvunjie heshima Rais was TFF kwenye tukio rasmi la soka halafu uachwe tu! Pale sio baa au sokoni. Lazima uumizwe.Nchi hii watu wanaongozwa na mihemko.
Kumuita mtu mpuuzi sio kosa la kufungiwa kwenye soka.
Turudi kwenye maana halisi ya neno upuuzi.
Upuuzi ni hali kutotilia jambo maanani au jambo lisilo na maana.
Hivvyo mpuuzi ni mtu anayefanya kitendo cha kupuuzia jambo yaani hamaanishi.
Hili ni tusi?
Hili ni kosa?
Manara atashinda hii kesi
Mwambie dingi yako mpuuzi halafu baadaye tutaona kama ut3tezi wako wa kusema BAKITA wamesema sio tusi kama utafanya kaziMpuuzi maana yake ni mtu anayepuuzia kitu sio tusi, Haji aanzie BAKITA then akate rufaa anashinda mapema tu.
Leo ndo nimegundua huyo Oscar hamna kitu kichwani
Hakuna Cha haki Wala nini. Wewe Ni utopolo ambaye Haji alisema hauna akili.Kuna mahali nimetetea timu yangu! Mimi siku zote napenda haki. Malumbano yaliyojitokeza siku ya mechi ya fainali yalikuwa ni ya watu wawili! Sasa inakuwaje aadhibiwe mmoja?
Au mnataka kutuaminisha Wallace Karia ni mtu special sana kiasi hawezi kukosolewa! Halafu hiyo milioni 20 anatozwa faini kwa ajili ya nini! Na inaenda kwenye mfuko gani! Kama siyo wizi na uonevu.
Narudia tena kusema; sijawahi kumuunga mkono Haji Manara kwa sababu ya kejeli zake! Lakini linapokuja suala la haki, nitasimama kwenye haki.
Wanajisahaulisha hao kwa ushabiki maandazi wao.Kama Karia sio mwajiri wake mwambie aifute hiyo adhabu basi! Na kama sio mwajiri wake alienda kuomba msamaha wa nini? Ukipata majibu ya maswali hayo utagundua kuwa kwa namna moja au nyingine TFF ndio mwajiri wa mambo yote yanayo husiana na mpira wa Tanzania wakiwemo watu wanaojihusisha na mpira