Oscar Oscar, kama kumuita kiongozi wako mpuuzi sio kosa, fanya hivyo basi kwa bosi wako Majizo kama utabaki salama

Oscar Oscar, kama kumuita kiongozi wako mpuuzi sio kosa, fanya hivyo basi kwa bosi wako Majizo kama utabaki salama

1. Aliomba msamaha nje ya TFF na si ndani ya TFF

2. Amekiri kosa kwa kutia doa tasnia ya mchezo wa mpira wa miguu,

3. Alitishia maisha ya kiongozi wa TFF hilo ni kosa la jinai. Adhabu ni haki yake.
Aliomba msamaha and still akapeleka mawakili

Aliprleka mawakili wakazi gani na wakati alikwisha ungama kuwa alikosea?

Na mawakili ndio waliokuja kumchomesha, wiki iliyopita nilimsikia wakili wake akihojiwa kwenye kipindi cha Sports HQ

Wakili alisema kwa mujibu wa sheria kosa alilotenda manara halijaoridheshwa katika list ha makosa

Na sheria inasema mtu anayejaribu kutoa hukumu kwenye kosa ambalo halijaainishwa na sheria basi kibao kinamgeukia yeye

Maulid kitenge akamuuliza kwa hiyo una maanisha nini? Wakili akasema kesi imewageukia wao yani wao ndio wana kesi ya kujibu

Ukiwa na mawakili wa namna hiyo ni mzigo sana yani hata kesi ya kukanyaga nyanya sokoni unaweza fungwa maisha
 
Mchambuzi anayetafuta umaarufu wa kijinga Oscar Oscar anamtetea Manara kuwa ameonewa, hivyo hastahili adhabu.

Kwake yeye kumuita kiongozi wa soka mpuuzi ni jambo la kawaida, namuuliza Oscar kama anaweza kumuita mpuuzi majizzo akabaki salama.

Hoja hapa ni matusi, kiongozi kaambiwa mpuuzi, wewe Oscar ni mwajiriwa hapo efm, unaweza kumuita mpuuzi bosi wako?

Muite siku moja tuone kama utaendelea kukaa mjini, lazima waandishi muwe na logic mnapofanya uchambuzi, mnaipoteza tasnia.

Badala ya kukemea ujinga huo mnaendekeza kwa sababu kuna watu mtawakasirisha, wanawanunulia pombe kali, wanawanunulia suti, shame on u.
Hastahili adhabu au HASTAHILI ADHABU ILE?
 
Wewe nawe mtoto wa juzi bila Manara ungeipenda makolo? Hao TFF ktk ushahidi wao hakuna sehem waliposema Manara alimuita Karai the Bogus Mpuuzi... Usikurupuke kijana, hii ni michezo halafu mwisho wa siku ujue watoto wa mjini ndio watakao maliza huu mzozo kwasababu karai na ukubwa wake wote hana chochote anachojua pale TFF
Aliomba msamaha wa nini?

Halafu kwanini atume mawakili kwenda kumtetea kwa dhana ya kwamba hajafanya kosa?

Ikikuuma mchangie 20M

Byuti byuti
 
Kuna mahali nimetetea timu yangu! Mimi siku zote napenda haki. Malumbano yaliyojitokeza siku ya mechi ya fainali yalikuwa ni ya watu wawili! Sasa inakuwaje aadhibiwe mmoja?

Au mnataka kutuaminisha Wallace Karia ni mtu special sana kiasi hawezi kukosolewa! Halafu hiyo milioni 20 anatozwa faini kwa ajili ya nini! Na inaenda kwenye mfuko gani! Kama siyo wizi na uonevu.

Narudia tena kusema; sijawahi kumuunga mkono Haji Manara kwa sababu ya kejeli zake! Lakini linapokuja suala la haki, nitasimama kwenye haki.
Rasta

Yule alikuwa ni haji anatoa maneno machafu na kumtishia Karia kuwa hamuogopi

Karia alikuwa akimuonya kwa kumnyooshea kidole na hata mashahidi waliokuwepo wamekiri.
 
Huu mfano hauna uhalisia kama utakuwa unahusishwa na kufungiwa Haji Manara. Maana huyo Karia siyo mwajiri wa Manara!

Karia cheo chake siyo kuzuia watu kukaa jukwaa kuu! Jukumu hilo ni la walimzi maalum.

Ni kiherehere chake ndicho kilichomfanya kujibizana na Haji Manara katika mazingira ambayo mtu amepandwa na munkari baada ya timu yake kuwa katika mazingira magumu ya kushinda fainali.

Simtetei Haji Manara kwa sababu siyo shabiki wake. Lakini Wallace Karia pia siyo malaika.

Na ikiwezekana aondokane kabisa na tabia zake za hovyo za kujiona mungu mtu, na pia kutaka aogopwe kwa sababu tu ni rais wa TFF.
Poleeeeeeeh. Kamsaidie kulipa faini shogaaa ako Takadini.

Byuti byuti
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mchambuzi anayetafuta umaarufu wa kijinga Oscar Oscar anamtetea Manara kuwa ameonewa, hivyo hastahili adhabu.

Kwake yeye kumuita kiongozi wa soka mpuuzi ni jambo la kawaida, namuuliza Oscar kama anaweza kumuita mpuuzi majizzo akabaki salama.

Hoja hapa ni matusi, kiongozi kaambiwa mpuuzi, wewe Oscar ni mwajiriwa hapo efm, unaweza kumuita mpuuzi bosi wako?

Muite siku moja tuone kama utaendelea kukaa mjini, lazima waandishi muwe na logic mnapofanya uchambuzi, mnaipoteza tasnia.

Badala ya kukemea ujinga huo mnaendekeza kwa sababu kuna watu mtawakasirisha, wanawanunulia pombe kali, wanawanunulia suti, shame on u.
Kama 95% ya Bia za Bure anazokunywa Oscar Oscar na 'Migoma' yake anayoikota hovyo huku Mmoja akiwa ni wa Mji Mpya Kawe ameshaungua kwa Moto ( Waya ) ni kutokana na Msaada na Umaarufu wa Swahiba wake Mfungwa Mpya Michezoni Haji Manara unategemea / ulitegemea nini Mkuu?
 
Mpuuzi maana yake ni mtu anayepuuzia kitu sio tusi, Haji aanzie BAKITA then akate rufaa anashinda mapema tu.
Sawa ..mtoa Uzi hana shida na hilo..amesema huyo Oscar akamuambie hivyo boss wake Majizo kwamba ni mtu anayepuuzia mambo aone
 
Huu mfano hauna uhalisia kama utakuwa unahusishwa na kufungiwa Haji Manara. Maana huyo Karia siyo mwajiri wa Manara!

Karia cheo chake siyo kuzuia watu kukaa jukwaa kuu! Jukumu hilo ni la walimzi maalum.

Ni kiherehere chake ndicho kilichomfanya kujibizana na Haji Manara katika mazingira ambayo mtu amepandwa na munkari baada ya timu yake kuwa katika mazingira magumu ya kushinda fainali.

Simtetei Haji Manara kwa sababu siyo shabiki wake. Lakini Wallace Karia pia siyo malaika.

Na ikiwezekana aondokane kabisa na tabia zake za hovyo za kujiona mungu mtu, na pia kutaka aogopwe kwa sababu tu ni rais wa TFF.
Huyu karia alivyowakata wale wagombea wengine wa urais TFF nilimuweka kundi moja na Akina manara na Oscar Oscar
 
Kuna mahali nimetetea timu yangu! Mimi siku zote napenda haki. Malumbano yaliyojitokeza siku ya mechi ya fainali yalikuwa ni ya watu wawili! Sasa inakuwaje aadhibiwe mmoja?

Au mnataka kutuaminisha Wallace Karia ni mtu special sana kiasi hawezi kukosolewa! Halafu hiyo milioni 20 anatozwa faini kwa ajili ya nini! Na inaenda kwenye mfuko gani! Kama siyo wizi na uonevu.

Narudia tena kusema; sijawahi kumuunga mkono Haji Manara kwa sababu ya kejeli zake! Lakini linapokuja suala la haki, nitasimama kwenye haki.
Haji Manara amekiri mwenyewe kuwa alimkosea Karia hadi akaenda kuomba radhi sasa wewe ni nani kupingana na nafsi ya Haji Manara? Kumbuka Haji ana makosa ya kujirudia rudia. Pamoja na yote amepewa nafasi ya kukata rufaa
 
Je kilichotukanwa, dhalilishwa, tusiwa ni cheo cha Urais wa TFF au mtu anayeitwa Karia?

Isijekuwa Manara na Karia wana 'bifu' zao binafsi, hivyo mwenye kulalamika angepeleka malalamiko yake kwenye vyombo vya kisheria vya nchi...

Karia angelifanya kama Membe alivyofanya kwa Musiba, Membe hakutaka Musiba aadhibiwe na chama bali mamlaka za kisheria za nchi ili iwe funzo kwa wengine, na kuziba mwanya wowote wa Musiba kuendelea kukashifu Membe
Hivi una habari aliyefungua shauri ni secretariat ya TFF na siyo Karia? Haya ni mambo ya michezo na yanashughulikiwa kwenye vyombo husika.
 
Hakuna Cha haki Wala nini. Wewe Ni utopolo ambaye Haji alisema hauna akili.
Ni kweli Haji alisema
FB_IMG_1655579378566.jpg
 
Huu mfano hauna uhalisia kama utakuwa unahusishwa na kufungiwa Haji Manara. Maana huyo Karia siyo mwajiri wa Manara!

Karia cheo chake siyo kuzuia watu kukaa jukwaa kuu! Jukumu hilo ni la walimzi maalum.

Ni kiherehere chake ndicho kilichomfanya kujibizana na Haji Manara katika mazingira ambayo mtu amepandwa na munkari baada ya timu yake kuwa katika mazingira magumu ya kushinda fainali.

Simtetei Haji Manara kwa sababu siyo shabiki wake. Lakini Wallace Karia pia siyo malaika.

Na ikiwezekana aondokane kabisa na tabia zake za hovyo za kujiona mungu mtu, na pia kutaka aogopwe kwa sababu tu ni rais wa TFF.
Mkuu naomba nikuulize kitu mfano lile ni jukwaa kuu AKA VIP Basi kwa maana hyo hata kiongozi wa nchi angekuwepo siku hyo angeweza kukaa pale au maeneo Yale Yale Sasa swali la msingi manala angefanya huo upuuzi mbele mheshimiwa Raisi wa jamhuri je angeachwa salama kwa kisingizio kuwa alikuwa Na munkari???
 
Mpuuzi maana yake ni mtu anayepuuzia kitu sio tusi, Haji aanzie BAKITA then akate rufaa anashinda mapema tu.
Aliyesema kuwa 75%, ya watanzania ni walemavu wa akili hakukosea maana tayari mwingne huyu hapa
 
Mkuu naomba nikuulize kitu mfano lile ni jukwaa kuu AKA VIP Basi kwa maana hyo hata kiongozi wa nchi angekuwepo siku hyo angeweza kukaa pale au maeneo Yale Yale Sasa swali la msingi manala angefanya huo upuuzi mbele mheshimiwa Raisi wa jamhuri je angeachwa salama kwa kisingizio kuwa alikuwa Na munkari???
Bahati mbaya hiyo nafasi asingeipata. Maana kuna watu wa usalama wangeweza kutimiza majukumu yao kwa wakati.
 
Bahati mbaya hiyo nafasi asingeipata. Maana kuna watu wa usalama wangeweza kutimiza majukumu yao kwa wakati.
Sasa kwann asiiheshimu ile nafas? Na ndo amepigwa nyundo kisa hicho pia
 
Back
Top Bottom