Scars
JF-Expert Member
- Apr 8, 2017
- 48,055
- 116,512
Aliomba msamaha and still akapeleka mawakili1. Aliomba msamaha nje ya TFF na si ndani ya TFF
2. Amekiri kosa kwa kutia doa tasnia ya mchezo wa mpira wa miguu,
3. Alitishia maisha ya kiongozi wa TFF hilo ni kosa la jinai. Adhabu ni haki yake.
Aliprleka mawakili wakazi gani na wakati alikwisha ungama kuwa alikosea?
Na mawakili ndio waliokuja kumchomesha, wiki iliyopita nilimsikia wakili wake akihojiwa kwenye kipindi cha Sports HQ
Wakili alisema kwa mujibu wa sheria kosa alilotenda manara halijaoridheshwa katika list ha makosa
Na sheria inasema mtu anayejaribu kutoa hukumu kwenye kosa ambalo halijaainishwa na sheria basi kibao kinamgeukia yeye
Maulid kitenge akamuuliza kwa hiyo una maanisha nini? Wakili akasema kesi imewageukia wao yani wao ndio wana kesi ya kujibu
Ukiwa na mawakili wa namna hiyo ni mzigo sana yani hata kesi ya kukanyaga nyanya sokoni unaweza fungwa maisha