Peter Madukwa
JF-Expert Member
- Sep 20, 2012
- 3,139
- 2,488
Kwani Karia ni boss wa Manara?😁
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Je kilichotukanwa, dhalilishwa, tusiwa ni cheo cha Urais wa TFF au mtu anayeitwa Karia?
Isijekuwa Manara na Karia wana 'bifu' zao binafsi, hivyo mwenye kulalamika angepeleka malalamiko yake kwenye vyombo vya kisheria vya nchi...
Karia angelifanya kama Membe alivyofanya kwa Musiba, Membe hakutaka Musiba aadhibiwe na chama bali mamlaka za kisheria za nchi ili iwe funzo kwa wengine, na kuziba mwanya wowote wa Musiba kuendelea kukashifu Membe
Upuuzi siyo tusi lina maana ya kupuuza mambo, kwa kingereza ni ''Ignore"Mchambuzi anayetafuta umaarufu wa kijinga Oscar Oscar anamtetea Manara kuwa ameonewa, hivyo hastahili adhabu.
Kwake yeye kumuita kiongozi wa soka mpuuzi ni jambo la kawaida, namuuliza Oscar kama anaweza kumuita mpuuzi majizzo akabaki salama.
Hoja hapa ni matusi, kiongozi kaambiwa mpuuzi, wewe Oscar ni mwajiriwa hapo efm, unaweza kumuita mpuuzi bosi wako?
Muite siku moja tuone kama utaendelea kukaa mjini, lazima waandishi muwe na logic mnapofanya uchambuzi, mnaipoteza tasnia.
Badala ya kukemea ujinga huo mnaendekeza kwa sababu kuna watu mtawakasirisha, wanawanunulia pombe kali, wanawanunulia suti, shame on u.
Anamuonya kwa kutumia kidole?Rasta
Yule alikuwa ni haji anatoa maneno machafu na kumtishia Karia kuwa hamuogopi
Karia alikuwa akimuonya kwa kumnyooshea kidole na hata mashahidi waliokuwepo wamekiri.
Ni mchicha mwiba huyoLeo ndo nimegundua huyo Oscar hamna kitu kichwani
na ndo alikua anagombea uraisi wa tff...hahahaLeo ndo nimegundua huyo Oscar hamna kitu kichwani
Oscar ni mwehuMchambuzi anayetafuta umaarufu wa kijinga Oscar Oscar anamtetea Manara kuwa ameonewa, hivyo hastahili adhabu.
Kwake yeye kumuita kiongozi wa soka mpuuzi ni jambo la kawaida, namuuliza Oscar kama anaweza kumuita mpuuzi majizzo akabaki salama.
Hoja hapa ni matusi, kiongozi kaambiwa mpuuzi, wewe Oscar ni mwajiriwa hapo efm, unaweza kumuita mpuuzi bosi wako?
Muite siku moja tuone kama utaendelea kukaa mjini, lazima waandishi muwe na logic mnapofanya uchambuzi, mnaipoteza tasnia.
Badala ya kukemea ujinga huo mnaendekeza kwa sababu kuna watu mtawakasirisha, wanawanunulia pombe kali, wanawanunulia suti, shame on u.