Oscar Oscar, kama kumuita kiongozi wako mpuuzi sio kosa, fanya hivyo basi kwa bosi wako Majizo kama utabaki salama

Oscar Oscar, kama kumuita kiongozi wako mpuuzi sio kosa, fanya hivyo basi kwa bosi wako Majizo kama utabaki salama

Je kilichotukanwa, dhalilishwa, tusiwa ni cheo cha Urais wa TFF au mtu anayeitwa Karia?

Isijekuwa Manara na Karia wana 'bifu' zao binafsi, hivyo mwenye kulalamika angepeleka malalamiko yake kwenye vyombo vya kisheria vya nchi...

Karia angelifanya kama Membe alivyofanya kwa Musiba, Membe hakutaka Musiba aadhibiwe na chama bali mamlaka za kisheria za nchi ili iwe funzo kwa wengine, na kuziba mwanya wowote wa Musiba kuendelea kukashifu Membe

Kwa maelezo ya Manara ya leo, inaonesha kweli jamaa wana bifu zao...
 
Mchambuzi anayetafuta umaarufu wa kijinga Oscar Oscar anamtetea Manara kuwa ameonewa, hivyo hastahili adhabu.

Kwake yeye kumuita kiongozi wa soka mpuuzi ni jambo la kawaida, namuuliza Oscar kama anaweza kumuita mpuuzi majizzo akabaki salama.

Hoja hapa ni matusi, kiongozi kaambiwa mpuuzi, wewe Oscar ni mwajiriwa hapo efm, unaweza kumuita mpuuzi bosi wako?

Muite siku moja tuone kama utaendelea kukaa mjini, lazima waandishi muwe na logic mnapofanya uchambuzi, mnaipoteza tasnia.

Badala ya kukemea ujinga huo mnaendekeza kwa sababu kuna watu mtawakasirisha, wanawanunulia pombe kali, wanawanunulia suti, shame on u.
Upuuzi siyo tusi lina maana ya kupuuza mambo, kwa kingereza ni ''Ignore"
 
Rasta

Yule alikuwa ni haji anatoa maneno machafu na kumtishia Karia kuwa hamuogopi

Karia alikuwa akimuonya kwa kumnyooshea kidole na hata mashahidi waliokuwepo wamekiri.
Anamuonya kwa kutumia kidole?

Kumwambia mtu sikuongopi ni kumtisha? Standard ni ipi, alitakiwa kumuogopa?
 
Mchambuzi anayetafuta umaarufu wa kijinga Oscar Oscar anamtetea Manara kuwa ameonewa, hivyo hastahili adhabu.

Kwake yeye kumuita kiongozi wa soka mpuuzi ni jambo la kawaida, namuuliza Oscar kama anaweza kumuita mpuuzi majizzo akabaki salama.

Hoja hapa ni matusi, kiongozi kaambiwa mpuuzi, wewe Oscar ni mwajiriwa hapo efm, unaweza kumuita mpuuzi bosi wako?

Muite siku moja tuone kama utaendelea kukaa mjini, lazima waandishi muwe na logic mnapofanya uchambuzi, mnaipoteza tasnia.

Badala ya kukemea ujinga huo mnaendekeza kwa sababu kuna watu mtawakasirisha, wanawanunulia pombe kali, wanawanunulia suti, shame on u.
Oscar ni mwehu
 
Back
Top Bottom