Kasiano Muyenzi
JF-Expert Member
- Feb 3, 2018
- 13,858
- 22,729
Hana ubavu wa kukata rufaa, si mlimsikia aliomba msamaha kabisa kabla ya kupigwa ban, Haji anajua alikosea kumkoromea rais wa tiefuefu hilo ban ni haki yake ashike adabuMpuuzi maana yake ni mtu anayepuuzia kitu sio tusi, Haji aanzie BAKITA then akate rufaa anashinda mapema tu.
shida ni media zetu zimewapa jukwaa watu wajinga wajinga tu. iwe kwenye soka au siasaKinachosikitisha ni kwamba hawa ndio think tank wa soka letu, so sad.
Kuna watu wanaojiita wachambuzi Kuna mambo wanayazungumza nyuma ya mic 🎤 unabakia kujiuliza huyu ana utimamu wa akili Kweli?
Kwahyo Manara boss wake ni Karia tumbo tumbo?Mchambuzi anayetafuta umaarufu wa kijinga Oscar Oscar anamtetea Manara kuwa ameonewa, hivyo hastahili adhabu.
Kwake yeye kumuita kiongozi wa soka mpuuzi ni jambo la kawaida, namuuliza Oscar kama anaweza kumuita mpuuzi majizzo akabaki salama.
Hoja hapa ni matusi, kiongozi kaambiwa mpuuzi, wewe Oscar ni mwajiriwa hapo efm, unaweza kumuita mpuuzi bosi wako?
Muite cku moja tuone kama utaendelea kukaa mjini, lazima waandishi muwe na logic mnapofanya uchambuzi, mnaipoteza tasnia.
Badala ya kukemea ujinga huo mnaendekeza kwa sababu kuna watu mtawakasirisha, wanawanunulia pombe kali, wanawanunulia suti, shame on u.
Anayemtetea manara nae ni mpuuzi pia...Huu mfano hauna uhalisia kama utakuwa unahusishwa na kufungiwa Haji Manara. Maana huyo Karia siyo mwajiri wa Manara!
Karia cheo chake siyo kuzuia watu kukaa jukwaa kuu! Jukumu hilo ni la walimzi maalum.
Ni kiherehere chake ndicho kilichomfanya kujibizana na Haji Manara katika mazingira ambayo mtu amepandwa na munkari baada ya timu yake kuwa katika mazingira magumu ya kushinda fainali.
Simtetei Haji Manara kwa sababu siyo shabiki wake. Lakini Wallace Karia pia siyo malaika.
Na ikiwezekana aondokane kabisa na tabia zake za hovyo za kujiona mungu mtu, na pia kutaka aogopwe kwa sababu tu ni rais wa TFF.
Muite baba yako mpuuziMpuuzi maana yake ni mtu anayepuuzia kitu sio tusi, Haji aanzie BAKITA then akate rufaa anashinda mapema tu.
Hujui auKwahyo Manara boss wake ni Karia tumbo tumbo?
Bahati nzuri nimeshaandika kila kitu kwenye maelezo.
Maadamu anaweza kumwadhibu basi kwa namna fulani anaweza kuwa bosi wake. Ni tofauti na mimi ambaye hata nikimtukana vipi huyo Karia hana la kunifanya zaidi ya mahakama.Kwahyo Manara boss wake ni Karia tumbo tumbo?
Kinapokuja swala la kutetea maswala yanayohisisha team mashabiki huwa mnaweuka kabisa.Huu mfano hauna uhalisia kama utakuwa unahusishwa na kufungiwa Haji Manara. Maana huyo Karia siyo mwajiri wa Manara!
Karia cheo chake siyo kuzuia watu kukaa jukwaa kuu! Jukumu hilo ni la walimzi maalum.
Ni kiherehere chake ndicho kilichomfanya kujibizana na Haji Manara katika mazingira ambayo mtu amepandwa na munkari baada ya timu yake kuwa katika mazingira magumu ya kushinda fainali.
Simtetei Haji Manara kwa sababu siyo shabiki wake. Lakini Wallace Karia pia siyo malaika.
Na ikiwezekana aondokane kabisa na tabia zake za hovyo za kujiona mungu mtu, na pia kutaka aogopwe kwa sababu tu ni rais wa TFF.
Hivi huyu Oscar Oscar nae ni mwandishi mnamskilizaga kabisa. Mi naonaga tu tweet zake. Ni za kipimbi. Muhandishi muda wote ni tweet za ajabu ajabu tuMchambuzi anayetafuta umaarufu wa kijinga Oscar Oscar anamtetea Manara kuwa ameonewa, hivyo hastahili adhabu.
Kwake yeye kumuita kiongozi wa soka mpuuzi ni jambo la kawaida, namuuliza Oscar kama anaweza kumuita mpuuzi majizzo akabaki salama.
Hoja hapa ni matusi, kiongozi kaambiwa mpuuzi, wewe Oscar ni mwajiriwa hapo efm, unaweza kumuita mpuuzi bosi wako?
Muite siku moja tuone kama utaendelea kukaa mjini, lazima waandishi muwe na logic mnapofanya uchambuzi, mnaipoteza tasnia.
Badala ya kukemea ujinga huo mnaendekeza kwa sababu kuna watu mtawakasirisha, wanawanunulia pombe kali, wanawanunulia suti, shame on u.
miaka ya hivi karibuni tasnia nzima ya mpira wa miguu hapa tz, imezungukwa na machawa kila kona.Mchambuzi anayetafuta umaarufu wa kijinga Oscar Oscar anamtetea Manara kuwa ameonewa, hivyo hastahili adhabu.
Kwake yeye kumuita kiongozi wa soka mpuuzi ni jambo la kawaida, namuuliza Oscar kama anaweza kumuita mpuuzi majizzo akabaki salama.
Hoja hapa ni matusi, kiongozi kaambiwa mpuuzi, wewe Oscar ni mwajiriwa hapo efm, unaweza kumuita mpuuzi bosi wako?
Muite siku moja tuone kama utaendelea kukaa mjini, lazima waandishi muwe na logic mnapofanya uchambuzi, mnaipoteza tasnia.
Badala ya kukemea ujinga huo mnaendekeza kwa sababu kuna watu mtawakasirisha, wanawanunulia pombe kali, wanawanunulia suti, shame on u.
Kuna mahali nimetetea timu yangu! Mimi siku zote napenda haki. Malumbano yaliyojitokeza siku ya mechi ya fainali yalikuwa ni ya watu wawili! Sasa inakuwaje aadhibiwe mmoja?Kinapokuja swala la kutetea maswala yanayohisisha team mashabiki huwa mnaweuka kabisa.
Akili Hana ndo Mana alishindwa urais tffMchambuzi anayetafuta umaarufu wa kijinga Oscar Oscar anamtetea Manara kuwa ameonewa, hivyo hastahili adhabu.
Kwake yeye kumuita kiongozi wa soka mpuuzi ni jambo la kawaida, namuuliza Oscar kama anaweza kumuita mpuuzi majizzo akabaki salama.
Hoja hapa ni matusi, kiongozi kaambiwa mpuuzi, wewe Oscar ni mwajiriwa hapo efm, unaweza kumuita mpuuzi bosi wako?
Muite siku moja tuone kama utaendelea kukaa mjini, lazima waandishi muwe na logic mnapofanya uchambuzi, mnaipoteza tasnia.
Badala ya kukemea ujinga huo mnaendekeza kwa sababu kuna watu mtawakasirisha, wanawanunulia pombe kali, wanawanunulia suti, shame on u.