Othman Kazi: Penati mbili kati ya tatu za Ngao ya jamii zilipaswa kurudiwa

Othman Kazi: Penati mbili kati ya tatu za Ngao ya jamii zilipaswa kurudiwa

Naomba wachangiaji wenye mtindio wa bongo wasichangie uzi huu. Warudi kwenye threads zao za mitimdio.

NB: ukifukuzwa uondoke, usitafute mume hapa
 
Nasisitiza wenye mtindio wa ubongo watupishe
 
Nasikitika hadi sasa hakuna mchangiaji aliyemchallenge Othman Kazi scientifically. Zaidi zaidi nashuhudia taarabu tu. Na hii ni dalili mbaya sana
 
wewe ni mfano nzuri wa mtoto aliyelelewa na baba wa kambo
Mpira ni burudani ila ukiwa timu lia lia utakiona cha mtima kuni.
Mwanaume unatokwa na machozi kisa Yanga imefungwa.
Wanaume tunazidi kupungua sana duniani.
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Mpira ni burudani ila ukiwa timu lia lia utakiona cha mtima kuni.
Mwanaume unatokwa na machozi kisa Yanga imefungwa.
Wanaume tunazidi kupungua sana duniani.
Kama haya ndio michango ya hoja, ni dhahiri sera ya elimu iangaliwe upya
 
Ni kweli maana mwanaume mzima unalia kisa mpira.
Inabidi sera ya elimu ifanyiwe marekebisho makubwa sana.
lkn pia kuna umuhimu wa kutumia akili kikamilifu pindi unapotaka kuandika chochote. Muhimu sana
 
lkn pia kuna umuhimu wa kutumia akili kikamilifu pindi unapotaka kuandika chochote. Muhimu sana
Ni kweli maana ukitanguliza hisia kwenye mpira. Timu, ikifungwa matokeo yake utashindwa kula na utakonda kwa mawazo na wakati mwingine utatokwa na machozi.
Kutumia akili ni muhimu sana kwa ustawi wa afya na utachukulia mpira ni burudani.
 
  • Nzuri
Reactions: Tui
Ni kweli maana ukitanguliza hisia kwenye mpira. Timu, ikifungwa matokeo yake utashindwa kula na utakonda kwa mawazo na wakati mwingine utatokwa na machozi.
Kutumia akili ni muhimu sana kwa ustawi wa afya na utachukulia mpira ni burudani.
Muhimu zaidi ni kujadili hoja. Mfano hapa nilitataji kupata arguments juu ya mada iliyopo mezani na si vinginevyo. Alichozungumza Othman Kazi hakijadiliwi, ila zinashushwa ngonjera. I'm real sad

Nasisitiza matumizi ya akili (kama zipo)
 
Mi najisifia tulipowakosa Makolo dkk 90 nikaendelea na ratiba zingine nilijua tu Simba watabebwa Kwenye penalty na sikuangalia, hadi Leo Sijui penati za ngao ya jamii zilipigwaje!

Ndio Maana mbumbumbu hawatoboi robo fainali klabu bingwa janja janja nyingi!
 
Nikajua wewe ni mtoa taarifa tu kwa uliyoyasikia, kumbe wewe ndiye MLALAMIKAJI MKUU, kama Mwabukusi kwenye ile kesi ya bandari!
Nimejiridhisha na hoja za Othman Kazi. Hasa pale ambapo hakuna mtu aliyemchallenge zaidi ya vioja
 
Back
Top Bottom