Othman Masoud Othman Sharif ateuliwa kuwa Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar

CCM ni hatari sana, yaani huyu jamaa walimuandaa toka bunge la Katiba aonekane kabisa ndio chaguo sahihi kwa Zanzibar
 
Kweli Mwinyi kiboko
 
Misimamo yake kuanzia bunge la la katiba mwezi march 2014 sasa amekuwa makamu wa 1 wa Rais zanzibar
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…