Tetesi: P Diddy ahusishwa na kifo cha Notorious B.I.G

Tetesi: P Diddy ahusishwa na kifo cha Notorious B.I.G

Tupac alikuwa na hasira baada ya kutokea ugomvi baina yake na BIG kuhusu utunzi wa wimbo fulani, alikwenda kwenye vyombo vya habari na kuanza kujisifu kuwa amelala na Faith Evans mke wa BIG.

BIG akaona isiwe shida ammalize tu. Kundi la Tupac likaamua nalo lilipize kisasi na vijana wawili wadogo wakaondoka kiurahisi sana.

Faith Evans akatoa wimbo mmoja mkali sana wa kumkumbuka BIG chini ya uongozi wa P Didy....
Jina la wimbo ni "I'll be missing you"
 
Pddy hawezi kumuu BIGGIE nakataa,kwenye gari alipokuwepo BIGGIE Kulikua na ndugu yake wa damu..

Eugene deal ambae ni bondia wa pddy(Mtoto wa kaka yake)
Lil cease mjomba wa B.I.G na member wa JUNIOR M.A.F.I.A wote walifia humo..

labda bimkubwa ameona mwanae amesahaulika anataka kumrudisha kwenye trend ya vichwa vya habari...
pia inaweza kuwa ni mpango wa SUGE KNIGHT kama rivarls kwa PDDY...

Pddy ndio power control kwenye kesi ya SUGE Na anamchomekea kweli,halafu mwezi uliopita mama yake B.I.G Alikutana na SUGE mahakamani na waliondoka pamoja..

BEEF YA SUGE KNIGHT NA P.DIDDY HAIWEZI KUISHA
Msikilize bodyguard wa Big katika mahojiano yake na Vlad Tv anachosema kuhusu Puffy na kuhusu bloods waliohusika kumuua Big,na tuhuma zake direct kwa Puffy siku ile sababu alimwambia kuna bloods wana mpango wa kumuua Big na alichomjibu siku ile ya asubuhi
 
Ulichoandika ndio kinachofanana na ukweli wenyewe. Soma post namba 14 utaelewa.
Inasemekana pia alitaka kujitoa illuminati, hata nyimbo zake nyingi zilikuwa na message, za kuwaponda ma illuminati, mfano kiliminat, me against the world, nk wakatumia bifu lao na Big wakammaliza.
Suge knight ndie muuaji
 
Swadakta kabisa ulichoandika kinafanana na kile nilichoandika kwenye post ya 14. Ebu isome ili kujua sababu halisi ya ugomvi wao.
Aliyemshuti Pac pale new york studio ni member wa seti moja ya crips ya new york ila hajulikani na alipewa oder ya hit na OG a.k.a god father Kenneth Supreme Mcgriff wakawaibie wale wasanii kutoka west coast waliokuwepo pale new york kwenye ile studio siku ile.

Big alidandia tu upepo na kutoa""who shoot ya"" zikiwa ni hasira baada ya 2Pac kumlaumu wala hakuhusika na like tukio,ila story za kupotosha zimekua nyingi.Na aliyemuua 2Pac alikua Mac Andreson(Orlando) na washirika wake kutoka seti moja ya compton crips kwa ugomvi binafsi baada ya Pac na washikaji zake kumpiga pale Las Vegas wakimutuhumu kumuibia mmoja wa washikaji wa 2Pac anaitwa Daz dillinger kama sikosei jina lake cheni.Sema theory's nyingi hazisemagi ukweli.

Kumbuka 2Pac amekulia new york kabla ya kwenda vallejo California na yeye na Big na faith evans na keysha cole na ray ruv walikua marafiki toka high school,sema utafutaji katika maisha ndio uliowatenganisha.Kuna mahojiano Big anakiri kabisa kua 2pac alikua mshikaji wake sana sema tu ushindani wa mziki na gangs afliation,s ndio vilivyowatenganisha.
 
Kipindi wenzake wanaongelea family ya Puffie yy yuko bize na mauaji. Alichoandika kina ukweli?


1679465443491.jpg
 
Suge Knight alishaga toka Jela!
Pddy hawezi kumuu BIGGIE nakataa,kwenye gari alipokuwepo BIGGIE Kulikua na ndugu yake wa damu..

Eugene deal ambae ni bondia wa pddy(Mtoto wa kaka yake)
Lil cease mjomba wa B.I.G na member wa JUNIOR M.A.F.I.A wote walifia humo..

labda bimkubwa ameona mwanae amesahaulika anataka kumrudisha kwenye trend ya vichwa vya habari...
pia inaweza kuwa ni mpango wa SUGE KNIGHT kama rivarls kwa PDDY...

Pddy ndio power control kwenye kesi ya SUGE Na anamchomekea kweli,halafu mwezi uliopita mama yake B.I.G Alikutana na SUGE mahakamani na waliondoka pamoja..

BEEF YA SUGE KNIGHT NA P.DIDDY HAIWEZI KUISHA
 
Ni vile tu TUPAC na BIG walikuwa watu maarufu sana lkn kimsingi Watu Weusi USA kuuana kwa kutumia Chuma ni sehemu ya Utamaduni wao!

Zipo theory zingine zinamtaja Snoopy km mtu alietia mkono wk ktk mauaji ya Pac. Binafsi nilimuona Pac akiwa kitandani Hospital, niliamini Mwamba hatoboi
 
Ni vile tu TUPAC na BIG walikuwa watu maarufu sana lkn kimsingi Watu Weusi USA kuuana kwa kutumia Chuma ni sehemu ya Utamaduni wao!

Zipo theory zingine zinamtaja Snoopy km mtu alietia mkono wk ktk mauaji ya Pac. Binafsi nilimuona Pac akiwa kitandani Hospital, niliamini Mwamba hatoboi
Hivi ile muvi alicheza na Janet Jackson inaitwaje?
 
Vifo vyao vilipangwa ndomana vilifanana.
2pac gari yao ilipofika kwenye traffic light mataa ya kuruhusu upande wao kwenda yakafunga hivyo ikawalazimu kusimama. Ghafla wakatokea mabinti pembeni ya barabara wakaanza kuita 2pac.. 2pac.. 2pac... basi 2pac ile kushusha kioo awapungie mkono hapo hapo akaanza kushambuliwa na gari ya majamaa waliokuwa ubavuni kwao.

Big nae gari yao ilipofika kwenye traffic light mataa ya kuruhusu upande wao kwenda yakafunga hivyo ikawalazimu kusimama. Ghafla pia wakatokea mabinti pembeni ya barabara wakaanza kuita Big.. Big.. Big.. basi ile Big kushusha kioo awapungie mkono hapo hapo na yeye akaanza kushambuliwa na gari iliyokuwa pembeni yao hadi kusababisha umauti wake.
Nahisi utakuwa na madini mengi kuhusu hawa majamaa...
 
Tupac alikuwa na hasira baada ya kutokea ugomvi baina yake na BIG kuhusu utunzi wa wimbo fulani, alikwenda kwenye vyombo vya habari na kuanza kujisifu kuwa amelala na Faith Evans mke wa BIG.

BIG akaona isiwe shida ammalize tu. Kundi la Tupac likaamua nalo lilipize kisasi na vijana wawili wadogo wakaondoka kiurahisi sana.

Faith Evans akatoa wimbo mmoja mkali sana wa kumkumbuka BIG chini ya uongozi wa P Didy....
Nilisikiliza HIT EM UP (Dirty Version) , 2PAC alichana kuwa kamla mke wa jamaa
View attachment 2561322
 
Inasemekana pia alitaka kujitoa illuminati, hata nyimbo zake nyingi zilikuwa na message, za kuwaponda ma illuminati, mfano kiliminat, me against the world, nk wakatumia bifu lao na Big wakammaliza.
Suge knight ndie muuaji
Ya hilo la illuminati ni la kweli, 2pac alikataa kushikiwa akili na kundi hilo kama lilivyokuwa linawashikia kina Michael Jackson, Eddy Muphy nk.

Lakini sasa kwa pale Marekani hamna namna ambayo unaweza kulitanganisha kundi la illuminati na serikali ya Marekani.

Asilimia kubwa ya wanaoongoza Marekani kuanzia serikali, polisi, FBI, CIA, jeshi nk wote ni illuminati. Kwahiyo hao illuminati wanaweza kuwatumia FBI kufanya yao, maana ukigombana na polisi au FBI ni moja kwa moja umegombana na Illuminati. Pia ukigombana na hao illuminati ni moja kwa moja umegombana na serikali, polisi nk.

Kwahiyo yoyote anaweza kuhusika na mauaji hayo kwa kupitia kimvuli cha bifu la Big na 2pac au yule dogo Orlando.
 
Back
Top Bottom