Tetesi: P Diddy ahusishwa na kifo cha Notorious B.I.G

Tetesi: P Diddy ahusishwa na kifo cha Notorious B.I.G

Ni vile tu TUPAC na BIG walikuwa watu maarufu sana lkn kimsingi Watu Weusi USA kuuana kwa kutumia Chuma ni sehemu ya Utamaduni wao...
Ulienda kumjulia hali? Vipi ulionana na akina Gaddafi na Napoleon walikua on guard mda wote nje ya hospitali wakiwahofia opp gangs member wasije wakammakizia Pac.

Kabla ya oparesheni ile ya kutoa risasi kwenye pafu,alikua tayaei amepoteza vidole vitatu vya mkononi na amepooza upande mmoja alikua na fahamu ila hawezi kuongea bali kwa ishara.

Ni maelezo ya Napoleon aliyoyatoa kwenye interview yake na Vlad TV
 
Hawa black Americans ni wenye bagati sana lakini ni moja ya watu wajinga sana, issues zao ni za kipumbavupumbavu tu; mara wajibandike mabendeji usoni km yule tozi nelly, mara wajiite magorilla km wale kina 50 cent na maujinga maujinga mengine mengiiii kama ya yule lil wayne aliyewahi kupigana denda na baba yake anayejiita 'baby'.

Mwishowe wanafikia hatua ya kuuana kijingajinga kama hivyo. Wametoka kwenye utumwa huku na kupitia vipindi vigumu vya ubaguzi wa rangi kiasi kwamba ilibaki kidogo tu warudi Afrika lkn walinusurika.

Sasa wamepata mwanya badala ya kuutumia vuzuri kujiendeleza wanabaki na maujingamaujinga yao tu.
 
Aliyemshuti Pac pale new york studio ni member wa seti moja ya crips ya new york ila hajulikani na alipewa oder ya hit na OG a.k.a god father Kenneth Supreme Mcgriff wakawaibie wale wasanii kutoka west coast waliokuwepo pale new york kwenye ile studio siku ile.Big alidandia tu upepo na kutoa...
 
Na kwenye ile nyimbo jamaa alitenga almost verse mbili za matusi kuna mahali anasema "you claim to be a player but I Fu.. you wife" ule wimbo umejaa tambo na matusi mwanzo mwisho
😂😂😂 yani mle alimtukana Big mpaka mtu aliekuwa anasikiliza nyimbo za Big nae alihusishwa kwenye matusi.
 
Ni vile tu TUPAC na BIG walikuwa watu maarufu sana lkn kimsingi Watu Weusi USA kuuana kwa kutumia Chuma ni sehemu ya Utamaduni wao!

Zipo theory zingine zinamtaja Snoopy km mtu alietia mkono wk ktk mauaji ya Pac. Binafsi nilimuona Pac akiwa kitandani Hospital, niliamini Mwamba hatoboi
Isingekuwa rahisi kutoboa. Kumbuka hapo mwanzo mwamba alikuwa ashakula zingine tano za kuanzia pale New York City.
 
Ulienda kumjulia hali? Vipi ulionana na akina Gaddafi na Napoleon walikua on guard mda wote nje ya hospitali wakiwahofia opp gangs member wasije wakammakizia Pac.Kabla ya oparesheni ile ya kutoa risasi kwenye pafu,alikua tayaei amepoteza vidole vitatu vya mkononi na amepooza upande mmoja alikua na fahamu ila hawezi kuongea bali kwa ishara.Ni maelezo ya Napoleon aliyoyatoa kwenye interview yake na Vlad TV
Nahisi anazungumzia kamuona kupitia video au picha yake inayoonesha akiwa hospital.
 
Hawa black Americans ni wenye bagati sana lakini ni moja ya watu wajinga sana.........issues zao ni za kipumbavupumbavu tu; mara wajibandike mabendeji usoni km yule tozi nelly, mara wajiite magorilla km wale kina 50 cent na maujinga maujinga mengine mengiiii kama ya yule lil wayne aliyewahi kupigana denda na baba yake anayejiita 'baby'. Mwishowe wanafikia hatua ya kuuana kijingajinga kama hivyo. Wametoka kwenye utumwa huku na kupitia vipindi vigumu vya ubaguzi wa rangi kiasi kwamba ilibaki kidogo tu warudi Afrika lkn walinusurika. Sasa wamepata mwanya badala ya kuutumia vuzuri kujiendeleza wanabaki na maujingamaujinga yao tu.
Mkuu soma post namb 14 utafahamu kitu katika ishu hii.
 
Uongo, Big ata ndo kwanza alikuwa anataka kuondoka kutoka kwenye ukumbi ambao ulikuwa na source awards, hakufika ata kwenye mataa.
Hivi ulishawahi kuiona ile movie inayohusu maisha ya Big?

Pia historia ya waliokwepo wenyewe ambayo inasema alipigwa risasi kwenye traffic right.

Sasa hilo la kupigwa risasi kwenye ukumbe wa award umelitoa wapi?

Hivi unajua ulinzi unaowekwaga katika kumbi au maeneo ya umma?

Unafikiri ni kwanini hata 2pac haikuwa rahisi kumuuwa ukumbini mpaka wakasubiri afike barabarani tena usiku.
Hebu fikiria kwanz kabla ya kuandika mkuu.
 
Back
Top Bottom