Augustine Genius
JF-Expert Member
- Apr 14, 2016
- 1,216
- 1,486
Jina la wimbo ni "I'll be missing you"Tupac alikuwa na hasira baada ya kutokea ugomvi baina yake na BIG kuhusu utunzi wa wimbo fulani, alikwenda kwenye vyombo vya habari na kuanza kujisifu kuwa amelala na Faith Evans mke wa BIG.
BIG akaona isiwe shida ammalize tu. Kundi la Tupac likaamua nalo lilipize kisasi na vijana wawili wadogo wakaondoka kiurahisi sana.
Faith Evans akatoa wimbo mmoja mkali sana wa kumkumbuka BIG chini ya uongozi wa P Didy....
Msikilize bodyguard wa Big katika mahojiano yake na Vlad Tv anachosema kuhusu Puffy na kuhusu bloods waliohusika kumuua Big,na tuhuma zake direct kwa Puffy siku ile sababu alimwambia kuna bloods wana mpango wa kumuua Big na alichomjibu siku ile ya asubuhiPddy hawezi kumuu BIGGIE nakataa,kwenye gari alipokuwepo BIGGIE Kulikua na ndugu yake wa damu..
Eugene deal ambae ni bondia wa pddy(Mtoto wa kaka yake)
Lil cease mjomba wa B.I.G na member wa JUNIOR M.A.F.I.A wote walifia humo..
labda bimkubwa ameona mwanae amesahaulika anataka kumrudisha kwenye trend ya vichwa vya habari...
pia inaweza kuwa ni mpango wa SUGE KNIGHT kama rivarls kwa PDDY...
Pddy ndio power control kwenye kesi ya SUGE Na anamchomekea kweli,halafu mwezi uliopita mama yake B.I.G Alikutana na SUGE mahakamani na waliondoka pamoja..
BEEF YA SUGE KNIGHT NA P.DIDDY HAIWEZI KUISHA
Inasemekana pia alitaka kujitoa illuminati, hata nyimbo zake nyingi zilikuwa na message, za kuwaponda ma illuminati, mfano kiliminat, me against the world, nk wakatumia bifu lao na Big wakammaliza.Ulichoandika ndio kinachofanana na ukweli wenyewe. Soma post namba 14 utaelewa.
Aliyemshuti Pac pale new york studio ni member wa seti moja ya crips ya new york ila hajulikani na alipewa oder ya hit na OG a.k.a god father Kenneth Supreme Mcgriff wakawaibie wale wasanii kutoka west coast waliokuwepo pale new york kwenye ile studio siku ile.Swadakta kabisa ulichoandika kinafanana na kile nilichoandika kwenye post ya 14. Ebu isome ili kujua sababu halisi ya ugomvi wao.
"live and die in LA" 2pac alikuwa pia anatabiri kifo chake
Dah!,style ile ile aiseee,sjawah isikia hii
Na kwenye ile nyimbo jamaa alitenga almost verse mbili za matusi kuna mahali anasema "you claim to be a player but I Fu.. you wife" ule wimbo umejaa tambo na matusi mwanzo mwishoWimbo wa "Hit em up" aliowatukana badboys ndio ulipelekea kuongeza chuki ya kuuwa kwake.
Pddy hawezi kumuu BIGGIE nakataa,kwenye gari alipokuwepo BIGGIE Kulikua na ndugu yake wa damu..
Eugene deal ambae ni bondia wa pddy(Mtoto wa kaka yake)
Lil cease mjomba wa B.I.G na member wa JUNIOR M.A.F.I.A wote walifia humo..
labda bimkubwa ameona mwanae amesahaulika anataka kumrudisha kwenye trend ya vichwa vya habari...
pia inaweza kuwa ni mpango wa SUGE KNIGHT kama rivarls kwa PDDY...
Pddy ndio power control kwenye kesi ya SUGE Na anamchomekea kweli,halafu mwezi uliopita mama yake B.I.G Alikutana na SUGE mahakamani na waliondoka pamoja..
BEEF YA SUGE KNIGHT NA P.DIDDY HAIWEZI KUISHA
Sure thing hivi unajua maneno yanaumba ndio maana tunakatazwa kuneneana maneno magumu au ile ya kujiapiza, sio sawa kabisa.
Ha ha ni sawa na kusubiri meli airport.. ila aongeze jitihada.Maneno yanaumba! Nasubiria kuona HARMO akiufikia utajiri wa Bakhresa
Hivi ile muvi alicheza na Janet Jackson inaitwaje?Ni vile tu TUPAC na BIG walikuwa watu maarufu sana lkn kimsingi Watu Weusi USA kuuana kwa kutumia Chuma ni sehemu ya Utamaduni wao!
Zipo theory zingine zinamtaja Snoopy km mtu alietia mkono wk ktk mauaji ya Pac. Binafsi nilimuona Pac akiwa kitandani Hospital, niliamini Mwamba hatoboi
Nahisi utakuwa na madini mengi kuhusu hawa majamaa...Vifo vyao vilipangwa ndomana vilifanana.
2pac gari yao ilipofika kwenye traffic light mataa ya kuruhusu upande wao kwenda yakafunga hivyo ikawalazimu kusimama. Ghafla wakatokea mabinti pembeni ya barabara wakaanza kuita 2pac.. 2pac.. 2pac... basi 2pac ile kushusha kioo awapungie mkono hapo hapo akaanza kushambuliwa na gari ya majamaa waliokuwa ubavuni kwao.
Big nae gari yao ilipofika kwenye traffic light mataa ya kuruhusu upande wao kwenda yakafunga hivyo ikawalazimu kusimama. Ghafla pia wakatokea mabinti pembeni ya barabara wakaanza kuita Big.. Big.. Big.. basi ile Big kushusha kioo awapungie mkono hapo hapo na yeye akaanza kushambuliwa na gari iliyokuwa pembeni yao hadi kusababisha umauti wake.
Ukiishi Marekani afu ukawa gang afliation in any city lazima ujitabirie kifo chako.Angalia wasanii wa Chicago drill kama FBG DUCK au KING VON au LIL JOJO maudhui ya nyimbo zao"live and die in LA" 2pac alikuwa pia anatabiri kifo chake
Nilisikiliza HIT EM UP (Dirty Version) , 2PAC alichana kuwa kamla mke wa jamaaTupac alikuwa na hasira baada ya kutokea ugomvi baina yake na BIG kuhusu utunzi wa wimbo fulani, alikwenda kwenye vyombo vya habari na kuanza kujisifu kuwa amelala na Faith Evans mke wa BIG.
BIG akaona isiwe shida ammalize tu. Kundi la Tupac likaamua nalo lilipize kisasi na vijana wawili wadogo wakaondoka kiurahisi sana.
Faith Evans akatoa wimbo mmoja mkali sana wa kumkumbuka BIG chini ya uongozi wa P Didy....
Ya hilo la illuminati ni la kweli, 2pac alikataa kushikiwa akili na kundi hilo kama lilivyokuwa linawashikia kina Michael Jackson, Eddy Muphy nk.Inasemekana pia alitaka kujitoa illuminati, hata nyimbo zake nyingi zilikuwa na message, za kuwaponda ma illuminati, mfano kiliminat, me against the world, nk wakatumia bifu lao na Big wakammaliza.
Suge knight ndie muuaji