P. Diddy kumbe ni mchafu na muovu zaidi ya shetani!


MKuu ishu ya hapa sio kula bali ni kuliwa. Jamaa anajlikanwa kama anakula, ila habari inayotrend ni kuwa nayeye alimkwaa Bwana Ali Msomali
 
Huu upuuzi uliouandika hapa ama kwa kujifurahisha au kwa chuki juu ya vijana wenzio waliokuzidi maisha utakuja kukucost kwenye maisha yako aidha kwa kujua au kwa kutokujua.... chunga sana
 
Ukijua na mimi nisimulie. Maana sielewi
Naombeni kujuzwa hivi P.Didy ana hisa kwenye hzo tuzo za grammy?

Hayo masuala hayahusiani na hisa Bali influence ndani ya Industry, Unaweza kuta Board ya Grammy nusu na robo ni washkaji zake au ana uwezo wa kupitisha Bahasha aka inspire anachokitaka. Jamaa yupo kwenye game mda mrefu na at the highest stage kwa hiyo nikawaida ishu kama hizo kwenye Tasnia yoyote.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…