P. Diddy kumbe ni mchafu na muovu zaidi ya shetani!

P. Diddy kumbe ni mchafu na muovu zaidi ya shetani!

Umesema sahihi Mkuu

Watu wanaongelea vitu vya kusadikika maana hakuna aliyeweza kushuhudia huyo Diddy akimbandua Mondi ama Meneja wake.

Kinachofanyika hapa sio kizuri hata kidogo, maana kina lengo la kufifisha juhudi za wasanii wetu.

Wakishaporomoka Kiuchumi/mafanikio tunakuja kuwaandika tena humu huku tukiwacheka 🙌
Mondi mwenyewe alisema kuwa walienda kwa Diddy wakafanya mambo mengi mengine hawezi kuyasema.
Ukimuangalia alivyoongea kinyonge hapo kwenye "mengine hawezi kuyasema" unajua tu huyu keshaliwa
 
Binafsi naweza kumtetea Sean Love Combs kwa sababu:
Hakuna siku hata moja wazungu wanaimba sifa na mafanikio ya mtu mweusi! Kumbuka yaliyotokea kwa Robert Sylvester Kelly ndo maana kwa sasa hakuna ambaye ataongea mazuri ya Sean Love Combs. Ebu mnyonge mnyongeni ila haki yake mpeni! Tuhuma ambazo anapitia kwa sasa P Diddy ni muendelezo wa tuhuma ambazo watu kama R Kelly wamekutanana nazo!
Sasa tujiulize je Mahakama ikituka Sean Love Combs hana hatia na ameonewa, mtakuja tena kuongea haya au?!
 
🚨

Huyu jamaa nilidhania anasingiziwa kumbe ni mshenzi kweli. P. Diddy aka Mr Love anaeshutumiwa kwa makosa mbalimbali ya udhalilishaji wa ki ngono kwa wanawake na wanaune nimeona kwenye moja ya mahojiano yake (crip) anaweka wazi kuwa hamu yake ya kufanya mapenzi huwa haichagui mwanamke au mwanaume bali itategemea na mood na vibe atakayokuwa nayo wakati huo.

Alafu anaulizwa kama ameshmbandua Meek Meel ambaye ni producer wa kiume anajibu kuwa hilo hawezi kulisema kama ni kweli au si kweli.

Malalamiko ya huyo producer ni kwamba aliliwa kiboga na Didy ili asaidiwe kupata tuzo ya Grammy ya producer bora wa mwaka.

Yaani yeye alikuwa ana exchange matako ya mtu na heshima unayoitaka. Dah! Alafu huyu jamaa alikuwa karibu sana na Burna Boy wa Nigeria na ndiyo aliyemsaidia kupata tuzo mbalimbali kubwa za kimataifa.

Hili suala limenishtua sana na sasa ndiyo najua hata wasanii wetu wa Afrika ikiwemo hawa wa Tanzania ambao hadi wanapigiana video call na Rick Ross kuna siri nyingi sana nyuma yao zinazowafikisha hapo ambapo wakati ukifika itagundulika tu.

Napata shaka sana juu ya mond kama hajabanduliwa na huyu filauni sababu nimemuona yeye na mameneja wake wakieleza waliwahi fika nyumbani kwa Didy

Nilichojifunza ni kwamba dunia imeharibika sana hivyo siyo busara kutamani mafanikio ya mtu maana kuna wengine wameyapata kwa gharama ya kuudhalilisha utu wao aisee🤔🤔

Vijana wenzangu turidhike na maisha yetu aliyotujaalia Mwenyezi Mungu kwani shetani siyo mwema ki hivyo hadi akupe maisha mazuri bure bure.
Kwa hiyo mwenye makosa hapo ni Didy au yule aliyetoa matako ili awe maarufu?
 
Turudi nyuma kidogo Wakuu!
Kwenye tunzo za 94 za Academy Awards Jumapii ya usiku wa Machi 27 2022, Will Smith alipompiga kibao Chris Rock mara baada ya kumtania Jada Pinkett, lakini Chris Rock alicheka tu wala hakugombana wala kusema kitu kibaya kuhusu Will Smith. Amini usiamini Wazungu wanafuraha sana wakiona watu weusi mnagombana au kupishana! Usiku ule Chris Rock angesema arudishe kile kibao basi magazeti na mitandao ya wazungu ingeimba sana kuhusu habari hiyo. Tuwe na akiba ya maneno wakuu.
 
Kwa hiyo mwenye makosa hapo ni Didy au yule aliyetoa matako ili awe maarufu?
Mkuu Hypersonic mara kadhaa binadamu huwa tunalaumu na kusikiliza upande mmoja wa hadithi! Faragha ya mtu ni kitu cha msingi sana! Kama mtu alipeleka Tackle kwa akili na utashi wake, Je kwanini tuanze kumlaumu Diddy kuwa ndo mwenye makosa!?
 
Kwa hiyo mwenye makosa hapo ni Didy au yule aliyetoa matako ili awe maarufu?
Mkuu Hypersonic mara kadhaa binadamu huwa tunalaumu na kusikiliza upande mmoja wa hadithi! Faragha ya mtu ni kitu cha msingi sana! Kama mtu alipeleka Tackle kwa akili na utashi wake, Je kwanini tuanze kumlaumu Diddy kuwa ndo mwenye makosa!?
 
Mondi mwenyewe alisema kubwa walienda kwa Diddy wakifanya mambo mengi mengine hawezi kuyasema.
Ukimuangalia alivyoongea kinyonge hapo kwenye "mengine hawezi kuyasema" unajua tu huyu keshaliwa
Kwamba mmesha-hitimisha kwamba Mwamba alivuliwa Ubingwa Kwa goli la ugenini 🙌

Wabongo tupewe picha tu, maneno tutajaza wenyewe 🤗
 
Mkuu kuna makala zimeandaliwa na waafrika mpaka unashangaa aisee
Mbaya zaidi hayo mambo mweusi inaonekana yanafanyika Kwa Waafrika tu, na sio Wazungu

Imagine hali anayopitia R.Kelly kule gerezani.

Yaani wameamua kuharibu carrier yake kabisa ya Muziki na biashara 🙌
 
Back
Top Bottom