P. Diddy kumbe ni mchafu na muovu zaidi ya shetani!

Propaganda tu za kumchafua didy na zitapita tu.
 
Propaganda tu za kumchafua didy na zitapita tu.
Unamchafuaje Diddy wakati ndiyo michezo yake. Je ulisikia 50 Cents? Diddy alitaka akamshughulikie, akamuambia "can I do shopping for you? Ndiyo 50 akampotezea na akawa ana uhasama naye kuanzia siku hiyo.

Sasa akina diamond na Babu Tale walipoambiwa shopping wakajua wanapewa zawadi za vito!!
 
Shetani hajawahi kua mwema
 
Kabisa mkuu.
Moyo wa mtu kichaka.
 
Huenda wanapewa vichochezi (vitu vinavyo chochea hisia za upande wa pili)iwe wanajua ama bila kujua.
 
Oya ninyi jamaa mwazungumza ukweli ama masihara!?
Mbona vyanishangaza hivi!?
 
Nenda Usukumani ndanindani ujionee,nenda Mbinga Ruvuma ujionee watu walivyo na mkono wa sweta.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…