Jamanii kuna vitu ukivikosa kwenye ulimwengu huu unatakiwa umshukuru Mungu sana hasa kama hakukupa kipaji cha mziki kiasi ujulikane🤨Ila ile intavyuu aliongea kama vile hana raha sijui didy alimbaka
Masihara hayo! Mpaka atakapofikishwa mbele ya pilato (mahakamani) na kufunguliwa mashitaka, yote bado ni uvumi tu. Kwa mtu mweusi in U.S, huyu jamaa ana bahati sana kwamba mpaka sasa hivi hajatiwa ndani wala kufunguliwa mashitaka, ingawa ameishasulubiwa kwenye Social media.Oya ninyi jamaa mwazungumza ukweli ama masihara!?
Mbona vyanishangaza hivi!?
Hakika....na wala si vema kutamani maisha ya mtu, hujui nini kapitia na anapitia.Jamanii kuna vitu ukivikosa kwenye ulimwengu huu unatakiwa umshukuru Mungu sana hasa kama hakukupa kipaji cha mziki kiasi ujulikane🤨
Hawa ni watu wawili tofauti kabisa p didy ni huyu wa kushotoView attachment 2961544 jama hiyo picha yake ya kulia ni mnyama mnyama flani hivi kabisa,
Kuhusu Ali Kiba kupenda mipododo na kuhusu Mondi kupakatwa nayo ni kweli mkuu!??😳😳😳😳Masihara hayo! Mpaka atakapofikishwa mbele ya pilato (mahakamani) na kufunguliwa mashitaka, yote bado ni uvumi tu. Kwa mtu mweusi in U.S, huyu jamaa ana bahati sana kwamba mpaka sasa hivi hajatiwa ndani wala kufunguliwa mashitaka, ingawa ameishasulubiwa kwenye Social media.
By the way, so far wahusika/ wahanga wote walikuwa over 18, na inaonekana kama walifanya hayo yanayosemwa kwa hiari au kwa kurubuniwa kwa pesa na kutafuta ummarufu.
Kwa U.S, mwanaume Sigra nyota/goso ambazo huvutwa mbele na nyuma (bisexual) sio Kosa la jinai. Huenda ndio sababu huyu mwamba bado yupo uraiani. Vinginevyo, tayari angekuwa ananyea debe.
Kwenye party za puff watu kama Mondi wanaingiaje? Hizo ni party zao wenyewe na wanajuwana. Wakina Mondi, Kwenye shughuli kama hizo wanapenyezwa kwenda kuonana na mastar labda na kupiga picha basi. Hakuna anaewajua wala kubabaika nao. Haungii wala kuingizwa kama sio miongoni mwao.Kuhusu Ali Kiba kupenda mipododo na kuhusu Mondi kupakatwa nayo ni kweli mkuu!??😳😳😳😳
Hicho ndicho kilichonishangaza watu kusema Mondi kaliwa kiboga.Kwenye party za puff watu kama Mondi wanaingiaje? Hizo ni party zao wenyewe na wanajuwana. Wakina Mondi, Kwenye shughuli kama hizo wanapenyezwa kwenda kuonana na mastar labda na kupiga picha basi. Hakuna anaewajua wala kubabaika nao. Haungii wala kuingizwa kama sio miongoni mwao.
Hizo shughuli Zina wenyewe. Watu wanataka kumpakazia Mondi tu. Pamoja na ustta wake in East Africa, bado hajawa na hadhi wala haja ya kushuriki hayo mambo ya kishetani.
Kwenye party za puff watu kama Mondi wanaingiaje? Hizo ni party zao wenyewe na wanajuwana. Wakina Mondi, Kwenye shughuli kama hizo wanapenyezwa kwenda kuonana na mastar labda na kupiga picha basi. Hakuna anaewajua wala kubabaika nao. Haungii wala kuingizwa kama sio miongoni mwao.
Hizo shughuli Zina wenyewe. Watu wanataka kumpakazia Mondi tu. Pamoja na ustta wake in East Africa, bado hajawa na hadhi wala haja ya kushuriki hayo mambo ya kishetani.
Hicho ndicho kilichonishangaza watu kusema Mondi kaliwa kiboga.
Nahisi hata Ali kiba kupenda ulawiti nayo wanamsingizia tu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hadi kwa baba levo na Dotto magari
Yupi aliyepata hela akaacha? Akati ni mkewe, na kisingizio kwa waja anafanya kazi ktk kampuni ya Shem wake.Mbona nasikiaga eti hata baadhi ya wasanii wa kiume Bongo wamewahi kutafunwa na madon wa kiarabu (hasa yule Babu wa Mombasa) ili wapate hela !
Hata huyu msanii naniliu nasikia yeye na rafiki yake wa zamani waliwahi kukung'utwa Sana tu ila yeye alivyopata hela akaacha
Ili jambo baya sn kila Ukienda kata gogo unamkumbuka didAcha wabanduliwe maana wanapenda vya bure na hakuna vya bure...
😂😁😁Ila Diddy alikosea sana kumbandua Hutu mchungsji Al Sharpton na TD Jake's. Alikosea sana bora angebandu marinda ya kina mondi lakini hadi hawa wazee tena wachungaji Diddy went too farView attachment 2961632View attachment 2961633
But, what if it’s all true?Mbaya zaidi hayo mambo mweusi inaonekana yanafanyika Kwa Waafrika tu, na sio Wazungu
Imagine hali anayopitia R.Kelly kule gerezani.
Yaani wameamua kuharibu carrier yake kabisa ya Muziki na biashara 🙌
Huyu mwamba kama yasemwayo ni kweli basi ni mchafu mno.Binafsi sasa hivi ndio nimeelewa
Na bado hajakamatwa mpka muda huuHuyu mwamba kama yasemwayo ni kweli basi ni mchafu mno.
Ivi bado yupo marekani au alikimbia?Na bado hajakamatwa mpka muda huu