Technophilic Pool
JF-Expert Member
- Jan 18, 2024
- 2,597
- 3,965
ndio aiseeAngalia wote ambao kahusishwa nao,, ni njemba haswa sio kama wakina anti naniu wa magomeni
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ndio aiseeAngalia wote ambao kahusishwa nao,, ni njemba haswa sio kama wakina anti naniu wa magomeni
Mbongo, mpe heading tu. Contents na vifunga usemi vyote anakuwekea na story inauza bila retunsWabongo kama kawa mmeanza kujazia nyama speculation cc Nyani Ngabu
Under 18 hawezi kuwa jamii forums na wala hwezi kuwa great thinker.Mbona jamii forum kama mnasupport sana nyuzi za ushoga ,huzi kama huu inabidi ufutwe humu kuna vijana under 18 mtu akisoma hivi vitu tunatengeneza kizazi cha kuona kutatuliwa Melinda ni jambo la kawaida
Hata bongo wapo michicha mwiba ambayo imekaza...unakuta ni kidali kabisa inakesha gym ila ikitoka hapo inaenda kufumuliwa marinda....mfano chippo kidali.Aisee! Basi hata bongo itakua aya mambo yapo
Haiwezekani black rappers wengi wa-testify against him halafu uje useme anaonewa.Wamempoteza R.Kelly,Cosb then sasa zamu ya P Diddy hata Jay Z ajiangalie sana kinachofanyika nikuwapoteza all black Americans matajiri ili watu wachukue mkwanja,kuna white people wanafanya unyama kuliko waliofanya haya lkn kwakua network hao nzuri maisha yanaenda tu busiki chochote
USA kuna closet gays..huwezi kumjua kirahisi kama anakazwa mzee...unakuta mtu kidali,ndevu nyingi,mixer mitatoo mwilini ila nyuma ya pazia anaukatikia muwa kitandani.Angalia wote ambao kahusishwa nao,, ni njemba haswa sio kama wakina anti naniu wa magomeni
Pambana na haliyako = Cotton and yourcondition.
Daaa ila watuu, Hivi hilo neno unalitamkaje kirahisi hivi aisee? Huoni hata ukakasi?Karibu wote aliowa sign kwenye label yake alikuwa anawafira kama condition ya kuwa promote. Amemla Usher Raymond, Meek Mill, TD Jakes
Sindio hapo Sasa njombaMambo ya kishoga wanayofanya black rappers nyuma ya pazia ndio unakuja kuwaona mara wametoboa pua,wamevaa vikuku miguuni, wametoboa ndimu na kuvaa mavazi ya kike huku wakidai ni style tu za macelebrity ila ukweli ni kuwa wengi ni was*nge baridi tu.
Cha kushangaza unaona wasanii wa kibongo kina diamond na harmonize nao wanatoboa hadi pua.
Hivi mwanaume rijali kabisa unatoboaje pua na kuvaa hereni za wanawake?
Kama yule Rodney katoa ushahidi kabisa picha na videoHaiwezekani black rappers wengi wa-testify against him halafu uje useme anaonewa.
Hapo FBI wamevamia makazi yake ina maana walishamtega siku nyingi na wana ushahidi mwingi dhidi yake...so walikuwa wanasubiri right time wavamie wakamilishe ushahidi dhidi yake.
Kwenye hili diddy hawezi kuchomoka. Mpaka FBI wakikuvamia jua kuwa washakufuatilia mienendo yako kwa muda mrefu sana na wanahakikisha wakikuvamia hutaweza kuchomoka kwenye mikono yao . Huenda walisha tap simu za muda mrefu ,mawasiliano yake ya kimtandao na hata kumuwekea bugs nyumbani kwake.
Yatamkuta yale yaliyowakuta kina Epstein,cosby na kellyKama yule Rodney katoa ushahidi kabisa picha na video
Haiwezi tokea maisha, kwanza snoop yuko crips na Tupac enzi na enzi.Imagine vile unamsaundisha Snoop hadi anatoa mzigo, aaah mimi siamini hizi porojo zako.
Kwa usher ni kwel, hao wengne sina uhakika, hata mama yake usher alishawai sema ktu ambacho atajuta mpaka kufa kwake ni kumruhusu mtoto wake kuishi na diddy, ndo maana usher pia alishasema alifanya juu chni kuhakikisha justin bieber hapitii yale aliyopitia maana naye alikuwa anamendewa sana na diddy.Hizi sasa chai
Kwenye hii video mwana katema dini la kutoshaNi sehemu ya ku promot uchoko.
Wakimwambia hata PAC au Batista kaliwa wanalegezwa kisaikolojia so nawao wanalegeza misimamo, mara paap' wanaliwa kimasihara!
Hujui maisha ya wamerekani mkuu I have been there and I know from the fact ww unasoma upande mmoja tu like unavyosoma habari toka US/EU kuhusu vita ya Ukraini kwakua hujui why they are fightingHaiwezekani black rappers wengi wa-testify against him halafu uje useme anaonewa.
Hapo FBI wamevamia makazi yake ina maana walishamtega siku nyingi na wana ushahidi mwingi dhidi yake...so walikuwa wanasubiri right time wavamie wakamilishe ushahidi dhidi yake.
Kwenye hili diddy hawezi kuchomoka. Mpaka FBI wakikuvamia jua kuwa washakufuatilia mienendo yako kwa muda mrefu sana na wanahakikisha wakikuvamia hutaweza kuchomoka kwenye mikono yao . Huenda walisha tap simu za muda mrefu ,mawasiliano yake ya kimtandao na hata kumuwekea bugs nyumbani kwake.
kama huyo Chipoo kidali anaemkaza ana roho ngumuHata bongo wapo michicha mwiba ambayo imekaza...unakuta ni kidali kabisa inakesha gym ila ikitoka hapo inaenda kufumuliwa marinda....mfano chippo kidali.
Miaka ya 90 walikuwa wakifahamika kama "chok*o mbabe"
Tueleze wewe wakili wa diddyHujui maisha ya wamerekani mkuu I have been there and I know from the fact ww unasoma upande mmoja tu like unavyosoma habari toka US/EU kuhusu vita ya Ukraini kwakua hujui why they are fighting