P. Diddy ni mwamba fulani hivi safi mbele ya Camera ila nyuma ya Pazia ni mafia

P. Diddy ni mwamba fulani hivi safi mbele ya Camera ila nyuma ya Pazia ni mafia

Mafala humu watasema "Nasikia hadi Obama"
Screenshot_20240329_073940_Samsung Internet.jpg
 
Kwa usher ni kwel, hao wengne sina uhakika, hata mama yake usher alishawai sema ktu ambacho atajuta mpaka kufa kwake ni kumruhusu mtoto wake kuishi na diddy, ndo maana usher pia alishasema alifanya juu chni kuhakikisha justin bieber hapitii yale aliyopitia maana naye alikuwa anamendewa sana na diddy.
Siyo kwamba Bieber alikuwa anamendewa na Diddy tu, bali alibakwa several times pia mara baada ya kuwa drugged
 
P didy ni mpuuz unaambiwa hadi snoop na 50 cent kawafumua marinda.

Ila binadamu. Yani Diddy anamtani kumtongoza snoop hadi snoop anakubali kabis unaweza huua tena kwa hiari kutatuliwa?

Wazungu ni waongo na wabaguzi sana.
Atakuwa anawavutisha mtingo mixa mitungi wakisizi anawabandua

Siunajua blackamerica wanavyopenda sitarehe😃
 
Back
Top Bottom