P. Diddy ni mwamba fulani hivi safi mbele ya Camera ila nyuma ya Pazia ni mafia

P. Diddy ni mwamba fulani hivi safi mbele ya Camera ila nyuma ya Pazia ni mafia

50 cent kuna mahojiano aliulizwa kuhusu diddy..akasema kuwa walihudhuria sherehe flani hivi kipindi hicho halafu diddy akamwambia 50 cents kuwa anataka ampeleke akafanye shopping!!

50cents alishtuka akamwambia unasemaje? Diddy akakausha.
Diddy akikwambia kuwa anataka akupeleke ukafanye shopping maana yale anataka ukalale nae.


Jamaa diddy ni closet gay.
Ex wa 50 cent ambaye alizaa naye,Diddy alikuwa Sex Worker wa Diddy,alikuwa analipwa per month. 50 Cent anataka mwanaye kulipwa maisha yote na Diddy
 
TD Jakes si ni kama mzee Hananja jamani😂 anahubiri neno la Mungu!
Diddy habagui ana weledi wa saund na si huyo tu TD Jakes hata Reverend Al Sharpton hajapona.
Al_Sharpton_-_2023_(52635231033)_(cropped).jpg
gettyimages-154252154-612x612.jpg


Cc LOTH HEMA
 
Kwa Bongo hasa mwanamke kuvaa kipini ni sign mbaya sana ,awali nilikuwa nasikia kwamba wanawake wanaovaa vipini wamekanyaga "grid" nikawa siamini ila kuna binti kitaani najua ameungua maana alikuwa analiwa na jamaa aliyeungua wa "Makumbusho" ,Juzi nilikutana yupo yeye na rafiki yake demu mwenzake wote wamevaa kipini nika-confirm aiseee.
Ngwegwe mkono wa nyani dah
 
Huyu Diddy nilikua namkubali sana enzi hizo.. yaani marekani kumejaa mademu wa kila aina Latinos, blacks, chinese, e.t.c na ni visu kweli kweli alishindwa kufanya nao parties mpaka afanye parties na wanaume wenzake sasa sijui hiyo party inanoga vipi bila mademu..
Kweli huo ulikua ni ushetani..
Mademu kibao..Demu gani na waina gani unamkosa USA.!
 
50cent naona kafukua makaburi ya bifu zao hasa la kuibiwa mke na Diddy, sasa anajiandaa kufungua kesi kwa X wake apate uhalali wa kumlea mtoto wake wa kiume! Hoja mama wa mtoto ni sexworker kwahiyo hafai kwa malez wa mwanae[emoji1787][emoji1787]
 
Snoop na Tupac gang wao ni west coast hasa California so ni bloods ,east coast watoto wa mjini Newyork ni hao akina Didy na magenge yao ndio crips
Hizi vita za magenge ya wahuni mitaani Marekani hasa bloods na crips Ndio zilozochochea hilo battle pia ,Maana batttle walipeleka mitaani kabisa na kuanza kuathiri maisha hata ya wasanii
 
Haiwezi tokea maisha, kwanza snoop yuko crips na Tupac enzi na enzi.
Pili licha ya mibangi anayovuta ana familia imetulia tu ana displine nayo sana sana.
Brand anazo kibao,juzi tu kanunua death row,acha nguo anauza,acha movie anafanya na concert kibao dj snoopadelic.
Huyo Diddy ni poyoyo tu kwa snoop dogg.
Albamu yake doggy style mpk kesho ni bora na inauzwa.
Alafu eti leo aliwe na huyo popoma.
Snoop na Tupac gang wao ni west coast hasa California so ni bloods ,east coast watoto wa mjini Newyork ni hao akina Didy na magenge yao ndio crips
Hizi vita za magenge ya wahuni mitaani Marekani hasa bloods na crips Ndio zilozochochea hilo battle pia ,Maana batttle walipeleka mitaani kabisa
 
Back
Top Bottom