Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Daah noma WANAAMUA KUUA UKUU WA AFRICANi sehemu ya ku promot uchoko.
Wakimwambia hata PAC au Batista kaliwa wanalegezwa kisaikolojia so nawao wanalegeza misimamo, mara paap' wanaliwa kimasihara!
Ex wa 50 cent ambaye alizaa naye,Diddy alikuwa Sex Worker wa Diddy,alikuwa analipwa per month. 50 Cent anataka mwanaye kulipwa maisha yote na Diddy50 cent kuna mahojiano aliulizwa kuhusu diddy..akasema kuwa walihudhuria sherehe flani hivi kipindi hicho halafu diddy akamwambia 50 cents kuwa anataka ampeleke akafanye shopping!!
50cents alishtuka akamwambia unasemaje? Diddy akakausha.
Diddy akikwambia kuwa anataka akupeleke ukafanye shopping maana yale anataka ukalale nae.
Jamaa diddy ni closet gay.
😂😂😂🙌Obama ni nani asifumuliwe marinda?Obama aliliwa na mtu mwingine tofauti mwaka 2008 kabla hajakuwa Rais wa USA ambaye walikuwa wanakula naye cocaine.
Huyo dada daphane joy amekanusha amesema ni uongoEx wa 50 cent ambaye alizaa naye,Diddy alikuwa Sex Worker wa Diddy,alikuwa analipwa per month. 50 Cent anataka mwanaye kulipwa maisha yote na Diddy
Ushatatuliwa?Mbona jamii forum kama mnasupport sana nyuzi za ushoga ,huzi kama huu inabidi ufutwe humu kuna vijana under 18 mtu akisoma hivi vitu tunatengeneza kizazi cha kuona kutatuliwa Melinda ni jambo la kawaida
Diddy habagui ana weledi wa saund na si huyo tu TD Jakes hata Reverend Al Sharpton hajapona.TD Jakes si ni kama mzee Hananja jamani😂 anahubiri neno la Mungu!
Hawachelewi kukwambia hawa ni wapenziView attachment 2945995
Chai ya leo viungo vimekolea na sukari inatosha.
Ngwegwe mkono wa nyani dahKwa Bongo hasa mwanamke kuvaa kipini ni sign mbaya sana ,awali nilikuwa nasikia kwamba wanawake wanaovaa vipini wamekanyaga "grid" nikawa siamini ila kuna binti kitaani najua ameungua maana alikuwa analiwa na jamaa aliyeungua wa "Makumbusho" ,Juzi nilikutana yupo yeye na rafiki yake demu mwenzake wote wamevaa kipini nika-confirm aiseee.
HahahaKula chuma kwanza kutoka Mnyama P Diddy
View attachment 2946395
Mbrrr mbrrr mbrrEndelea kukomfim halafu tuletee mrejesho
Uwe unatoa credit kwa huko copy na paste yako mwanaume mzima.hovyo kabisa
Aliweka CODES hapa kwahiyo wengi tulishindwa kung'amua.. 🤣I NEED A GIRL - Diddy ft Usher
"First we were friends then became lovers
You was more than my girl, we was like brothers
All night we would PLAY FIGHT under covers"
Mgeni kutoka wapi?Mk
Mkuu kwani we ni mgeni humu Jf?🤔
Snoop na Tupac gang wao ni west coast hasa California so ni bloods ,east coast watoto wa mjini Newyork ni hao akina Didy na magenge yao ndio cripsHaiwezi tokea maisha, kwanza snoop yuko crips na Tupac enzi na enzi.
Pili licha ya mibangi anayovuta ana familia imetulia tu ana displine nayo sana sana.
Brand anazo kibao,juzi tu kanunua death row,acha nguo anauza,acha movie anafanya na concert kibao dj snoopadelic.
Huyo Diddy ni poyoyo tu kwa snoop dogg.
Albamu yake doggy style mpk kesho ni bora na inauzwa.
Alafu eti leo aliwe na huyo popoma.