P. Diddy ni mwamba fulani hivi safi mbele ya Camera ila nyuma ya Pazia ni mafia

P. Diddy ni mwamba fulani hivi safi mbele ya Camera ila nyuma ya Pazia ni mafia

Ju
P Diddy namkubali sana, ndiyo mwanamuziki ninayemkubali duniani since miaka ya 90 huko alivyokuwa anapiga kazi na Mase.

Ila jamaa nyuma ya kamera ni mafia kupita kawaida. Unaambiwa ni Mafia kuliko hata unavyofikiria. Alisimamia mchongo mzima wa kumuondia Tupac, watu wakaenda mbali na kusema jamaa alishiriki kummaliza hata BIG kwa kiwa alitaka kuwa peke yake kwenye lebel ya Bad Boyz. Akajua Faith Evance kwake si tatizo lolote, atajua kuishi naye kuliko BIG.

Halafu mambo anayozungumziwa kuwaingilia kinyume na maumbile wanaume wenzake yanashamiri sana, mchungaji TD Jakes na Jamie Foxx wanaweza kutuambia zaidi kwenye hili.

Ukizunguana na P Diddy, sahau kuwa nominated na tuzo za Grammy, mwamba ana maubabe yake kishenzi.

Ila dunia ni hiihii, kuwa mafia ujuavyo, end of the day utakuja kulipa hapahapa duniani.

Karma is a B*itch.
Juzi katokomea na boat baharini makachero wakaishia kukamata wanae tuu
 
😂😂😂🙌
Sinclair na Obama 2008 kabla hajakuwa Rais
Screenshot_20240329_170448_Chrome.jpg
Screenshot_20240329_170423_Chrome.jpg
 
Yaani diddy amtokee snoopy, mbona snoopy ni jitu gumugumu hivi? Angekuwa mlainilaini hapo isingekuwa ajabu
Hao sijui hata wanaongea nini,didy na snoop mbalimbali,wako makundi mawili tofauti.
Kama walipiga picha ilikua poa tu.
Snoop ana family yake anaipenda sana.
Hata michepuko hana.
Mibangi anavuta vizuri tu
 
Back
Top Bottom