P. Diddy ni mwamba fulani hivi safi mbele ya Camera ila nyuma ya Pazia ni mafia

P. Diddy ni mwamba fulani hivi safi mbele ya Camera ila nyuma ya Pazia ni mafia

P Diddy namkubali sana, ndiyo mwanamuziki ninayemkubali duniani since miaka ya 90 huko alivyokuwa anapiga kazi na Mase.

Ila jamaa nyuma ya kamera ni mafia kupita kawaida. Unaambiwa ni Mafia kuliko hata unavyofikiria. Alisimamia mchongo mzima wa kumuondia Tupac, watu wakaenda mbali na kusema jamaa alishiriki kummaliza hata BIG kwa kiwa alitaka kuwa peke yake kwenye lebel ya Bad Boyz. Akajua Faith Evance kwake si tatizo lolote, atajua kuishi naye kuliko BIG.

Halafu mambo anayozungumziwa kuwaingilia kinyume na maumbile wanaume wenzake yanashamiri sana, mchungaji TD Jakes na Jamie Foxx wanaweza kutuambia zaidi kwenye hili.

Ukizunguana na P Diddy, sahau kuwa nominated na tuzo za Grammy, mwamba ana maubabe yake kishenzi.

Ila dunia ni hiihii, kuwa mafia ujuavyo, end of the day utakuja kulipa hapahapa duniani.

Karma is a B*itch.
Kila mbabe na mbabe wake.
 
P Diddy namkubali sana, ndiyo mwanamuziki ninayemkubali duniani since miaka ya 90 huko alivyokuwa anapiga kazi na Mase.

Ila jamaa nyuma ya kamera ni mafia kupita kawaida. Unaambiwa ni Mafia kuliko hata unavyofikiria. Alisimamia mchongo mzima wa kumuondia Tupac, watu wakaenda mbali na kusema jamaa alishiriki kummaliza hata BIG kwa kiwa alitaka kuwa peke yake kwenye lebel ya Bad Boyz. Akajua Faith Evance kwake si tatizo lolote, atajua kuishi naye kuliko BIG.

Halafu mambo anayozungumziwa kuwaingilia kinyume na maumbile wanaume wenzake yanashamiri sana, mchungaji TD Jakes na Jamie Foxx wanaweza kutuambia zaidi kwenye hili.

Ukizunguana na P Diddy, sahau kuwa nominated na tuzo za Grammy, mwamba ana maubabe yake kishenzi.

Ila dunia ni hiihii, kuwa mafia ujuavyo, end of the day utakuja kulipa hapahapa duniani.

Karma is a B*itch.
Naanza kuamini .. haya hasa ukisikiliza interview ya diamond alipoenda kwake P-didy alichokiona
 
Ingawa Didy hata yeye alivyochukuliwa kwenye game aliwahi pigwa pipe na mameneja wa label yake ya kwanza alipoanzia kufanya kazi Kabla ya kumiliki label yake , so from there anajenga utamaduni huo
Na FBI Leo wamevamia nyumba yake na kufanya ukaguzi kwa shutuma za human trafficking na prostitutions
Huyu jamaa ni criminal way back

Sent from my Nokia 6.2 using JamiiForums mobile app
 
Imagine vile unamsaundisha Snoop hadi anatoa mzigo, aaah mimi siamini hizi porojo zako.
Hahaha inaweza kuwa kweli. Unaambiwa hadi huku bongo waja wanamsaundisha hadi mwarabu fighter na anakubali kabisa kutatuliwa.

Pia Moran wanaua hadi simba lakini wakienda Zenji waja wanapigwa saundi hadi wanagawa mzigo vila shurti.
 
Ingawa Didy hata yeye alivyochukuliwa kwenye game aliwahi pigwa pipe na mameneja wa label yake ya kwanza alipoanzia kufanya kazi Kabla ya kumiliki label yake , so from there anajenga utamaduni huo
Na FBI Leo wamevamia nyumba yake na kufanya ukaguzi kwa shutuma za human trafficking na prostitutions
Huyu jamaa ni criminal way back

Sent from my Nokia 6.2 using JamiiForums mobile app
Mimi nadhani wazungu ni waongo hizi ni fabrication. Wamempoteza Jonathan majors hivihivi kwa ubaguzi wao.
 
Back
Top Bottom