Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂Naskia hadi floyd Mayweather hajapona. Hivi Diddy ana ujasiri gani? Hadi meiweza this is too much.
2pac mnamsingizia tu, yule alivaa kipini puani kwa sababu mama yake alikuwa ana kipini pia, na jamaa alikuwa anamkubali sana mama yake.2pac nae unaambiwa alikuwa kama couple na diddy miaka ile ya 90, halafu mara unamuona 2pac katoboa pua kavaa kipini kama malaya wa sinza.
USA mashoga ni wengi sana wengine wanajificha katika kivuli cha u-gangster ila milango ikifungwa vyumbani wanapakuliwa vizuri tu
Mwanaume gani huyo anarithi sifa za mama? Kwa sababu mama katoboa pua na yeye akaona amfuate mama yake.?? USHOGA HUO2pac mnamsingizia tu, yule alivaa kipini puani kwa sababu mama yake alikuwa ana kipini pia, na jamaa alikuwa anamkubali sana mama yake.
Kuhusu ushoga sidhani hata ukiambiwa ulete ushahidi huna.
Nakubali mtoto wa kiume kuvaa hereni na kutoboa pua si maadili.
2pac mnamsingizia tu, yule alivaa kipini puani kwa sababu mama yake alikuwa ana kipini pia, na jamaa alikuwa anamkubali sana mama yake.
Kuhusu ushoga sidhani hata ukiambiwa ulete ushahidi huna.
Nakubali mtoto wa kiume kuvaa hereni na kutoboa pua si maadili.
PoapoaNa Mimi Madame B,dogo ana mwaka na nusu
Jamaniiii.....Ndio,
Ila hilo swala la jamaa kuliwa sijui.
Ngoja tuone
Siwezi jua lakini inawezekana ukawa ulimfahamu vyema zaidi na kwa ukaribu zaidi.Kurithi sifa za mamaako ndio ushoga wenyewé huo. Hana utetezi.
Yeye ni mwanaume. Dada ake ndiye alipaswa arithi mambo ya kike kutoka kwa mama sio yeye
Wewe umejuaje anawafira?Karibu wote aliowa sign kwenye label yake alikuwa anawafira kama condition ya kuwa promote. Amemla Usher Raymond, Meek Mill, TD Jakes
Black Robhata kukosana na Mase pamoja na Black Lob sababu ni umafia wake,blood line ya kisomali ile aiachi asili.
yap,uyo muhuni.Black Rob
Hana usomali huyo. Baba yake alitokea Puerto RicoAli Msomali, Mzee wa kuwababua nyonga.
Anawarekodi wakiwa wanafanya nini hao wageni wake hapo nyumbani kwake ?Kuna nilichosikia jana kwenye media kwamba ana tabia ya kurekodi wageni mbalimbali nyumbani kwake kwa kamera za siri, kisha ana shurutisha kutoa chochote kitu... hapa amewapata wengi mno... nadhani mengi yanakuja.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wabongo banaWewe umejuaje anawafira?
Kama siyo mtu wa TMZ news huwezi kujuaWewe umejuaje anawafira?
Wewe umejuaje kama anawafira?Kama siyo mtu wa TMZ news huwezi kujua