P. Diddy ni mwamba fulani hivi safi mbele ya Camera ila nyuma ya Pazia ni mafia

P. Diddy ni mwamba fulani hivi safi mbele ya Camera ila nyuma ya Pazia ni mafia

FVCK Y'ALL just don't wanna see me fly
YOU KILLED B.I.G., y'all niqqas seen me cry
That ain't enough? Y'all wanna see me die?
What man say P.D. scared, he lied
Hate on me, cause I got the keys to the city
You wanna see me get Notorious without Biggie
See me without The L.O.X., say I ain't jiggy
See me without Ma$e, say I ain't pretty
Wanna dress in all black, ride what's mine?
Take my shine? Hate on the boy, scrape the Azure?
Mad cause I got the total package and more
Faith in my sh!t, y'all keep hatin my sh!t
I'ma keep hittin y'all, in the face with these hits
I got the real Queen Bee, don't fvck with my b!tch
And I gave y'all the blueprints on how to ball
But you niqqas still pray for my downfall.

"I run this city" "who else but me" "the boss"
"Trust me" - "I'm a Bad Boy!"
"You you you rockin with the best"
"Don't worry if I write rhymes, I write checks"
 
2pac nae unaambiwa alikuwa kama couple na diddy miaka ile ya 90, halafu mara unamuona 2pac katoboa pua kavaa kipini kama malaya wa sinza.

USA mashoga ni wengi sana wengine wanajificha katika kivuli cha u-gangster ila milango ikifungwa vyumbani wanapakuliwa vizuri tu
2pac mnamsingizia tu, yule alivaa kipini puani kwa sababu mama yake alikuwa ana kipini pia, na jamaa alikuwa anamkubali sana mama yake.

Kuhusu ushoga sidhani hata ukiambiwa ulete ushahidi huna.

Nakubali mtoto wa kiume kuvaa hereni na kutoboa pua si maadili.
 
tea_mobama-_012515064953.jpg

Chai ya leo viungo vimekolea na sukari inatosha.
 
2pac mnamsingizia tu, yule alivaa kipini puani kwa sababu mama yake alikuwa ana kipini pia, na jamaa alikuwa anamkubali sana mama yake.

Kuhusu ushoga sidhani hata ukiambiwa ulete ushahidi huna.

Nakubali mtoto wa kiume kuvaa hereni na kutoboa pua si maadili.
Mwanaume gani huyo anarithi sifa za mama? Kwa sababu mama katoboa pua na yeye akaona amfuate mama yake.?? USHOGA HUO

Sisi wanaume tuna tunu zetu, mwanaume hata kama unampenda mama yako kiasi gani hupaswi kuiga matendo yake.
 
2pac mnamsingizia tu, yule alivaa kipini puani kwa sababu mama yake alikuwa ana kipini pia, na jamaa alikuwa anamkubali sana mama yake.

Kuhusu ushoga sidhani hata ukiambiwa ulete ushahidi huna.

Nakubali mtoto wa kiume kuvaa hereni na kutoboa pua si maadili.

Kurithi sifa za mamaako ndio ushoga wenyewé huo. Hana utetezi.
Yeye ni mwanaume. Dada ake ndiye alipaswa arithi mambo ya kike kutoka kwa mama sio yeye
 
Back
Top Bottom