P. Diddy ni mwamba fulani hivi safi mbele ya Camera ila nyuma ya Pazia ni mafia

Wewe dini umerithi kwa WAZAZI,wao wanaelewa Kila kitu. Unataka kuniambia dunia nzima waafrika ndo hatuna dhambi? Wasingekuja wazungu biasharaya utumwa ungeijulia wapi hiyo dini?
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Snoop na P didy hata urafiki hawana,50 cent urafiki hawana hayo mambo mnatoa wapi?
Kama kafanya ujinga huo ni kwa vijana kizao cha 2000.
50 cent kuna mahojiano aliulizwa kuhusu diddy..akasema kuwa walihudhuria sherehe flani hivi kipindi hicho halafu diddy akamwambia 50 cents kuwa anataka ampeleke akafanye shopping!!

50cents alishtuka akamwambia unasemaje? Diddy akakausha.
Diddy akikwambia kuwa anataka akupeleke ukafanye shopping maana yale anataka ukalale nae.


Jamaa diddy ni closet gay.
 
Pia kuna video inamuonesha Tony yayo....akihojiwa akasema kuwa Diddy alimkatalia 50cent kujiunga na lebo ya bad boy kipindi anachipukia.

Dre na Eminem ndio walijitolea kumsaidia 50 cents kutoka kimziki.
 
Kwahiyo kama mama yako anavaa bikini na wewe utavaa bikini kumuenzi?

Huo ni ushoga aisee..mwanaume unatoga nyusi na pua vipini kama malaya wa tabata
 
Weweee,weka ushahidi kwa Meek Mill
Upo ulimwengu gani mzee baba....mwezi uliopita meek mill alikuwa na skendo kubwa aisee..!! Kuna video yake moja alikuwa anaogelea kwenye swimming pool anaogela na kiboxer huku anamuita diddy "daddy". Alitajwa kuwa ana urafiki wa kiupinde na diddy, kiasi mpaka wanavaa saresare huku wameshikana kimahaba,


Pia meek mill kuna posts zake za zamani alipost twitter akiwa amenunua sextoys na pia amefollow page za mashoga huko twitter. Baada ya watu kumuexpose akaamua kufuta tweets zake za nyuma.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…