P. Diddy ni mwamba fulani hivi safi mbele ya Camera ila nyuma ya Pazia ni mafia

P. Diddy ni mwamba fulani hivi safi mbele ya Camera ila nyuma ya Pazia ni mafia

wanadamu wengi huwa wanapenda kujisifu au kusifiwa namna hii. na siku hizi shetani alianzisha watu kuitana "mwamba", bila kujua kuwa kwa kufanya hivyo watu wanamtukuza sheteni, wanaiba utukufu wa Mungu na kuwapa waandamu. kwa msio jua, Mwamba ni Mungu, hakuna mwanadamu mwamba.

Zaburi 62:5 inasema,

5 Nafsi yangu, umngoje Mungu peke yake kwa kimya.
Tumaini langu hutoka kwake.
6Yeye tu ndiye mwamba wangu na wokovu wangu,
Ngome yangu, sitatikisika sana.

pia Biblia katika Yeremia 9: 23

BWANA asema hivi, Mwenye hekima asijisifu kwa sababu ya hekima yake, wala mwenye nguvu asijisifu kwa sababu ya nguvu zake, wala tajiri asijisifu kwa sababu ya utajiri wake; 24bali ajisifuye na ajisifu kwa sababu hii, ya kwamba ananifahamu mimi, na kunijua, ya kuwa mimi ni BWANA, nitendaye wema, na hukumu, na haki, katika nchi; maana mimi napendezwa na mambo hayo, asema BWANA,

acheni kusifia watu ujinga, uchafu na ushetani, acheni kuwapa watu sifa ambazo angepewa Mungu. hao wanamuziki wengi wamejiunga na mashetani, freemason na wanatumika kuzimu, na ninyi kutwa na manyimbo yao bila kujua mnaimbishwa maushetani. na watoto wenu mnawaimbisha ushetani.
Wewe dini umerithi kwa WAZAZI,wao wanaelewa Kila kitu. Unataka kuniambia dunia nzima waafrika ndo hatuna dhambi? Wasingekuja wazungu biasharaya utumwa ungeijulia wapi hiyo dini?
 
Weweee,weka ushahidi kwa Meek Mill
Producer wa P Diddy ndiye mwenye mchongo mzima:
Screenshot_20240327_195212_Chrome.jpg
 
Wee unaambiwa jamaa hakuna wala kujali vijana, wazee cha urafiki wala nini. Yeyote mwanamme maarufu black American anatongoza na kusaundisha. Suge knight kaweka wazi kabisa snoop, 50 cent hadi dr Dre na floyd Mayweather wote kawatatua marinda.

Didy ni mpuuz.
😂😂😂
 
Snoop na P didy hata urafiki hawana,50 cent urafiki hawana hayo mambo mnatoa wapi?
Kama kafanya ujinga huo ni kwa vijana kizao cha 2000.
50 cent kuna mahojiano aliulizwa kuhusu diddy..akasema kuwa walihudhuria sherehe flani hivi kipindi hicho halafu diddy akamwambia 50 cents kuwa anataka ampeleke akafanye shopping!!

50cents alishtuka akamwambia unasemaje? Diddy akakausha.
Diddy akikwambia kuwa anataka akupeleke ukafanye shopping maana yale anataka ukalale nae.


Jamaa diddy ni closet gay.
 
Beef lao lilianza pale Mase aliyekuwa record label ya Bad Boy chini ya CEO Diddy alipotaka ajiunge G-Unit, kipindi hicho G-Unit inatikisa duniani.

Ila Diddy alikataa kumtoa Mase kwa kutumia mikataba yake na Mase. Deal likawa limeshindikana 50 Cent akawa amemaindi sana.

Mwaka 2005 Mase akaonekana kwenye video ya 50 Cent ya window shopper. Hapa Diddy alikasirishwa sana na kitendo hicho aliona kama amedharauliwa.

Hawajakaa vizuri 50 Cent akatoa diss track mwaka 2006 iliyoitwa The Bomb ambapo alimdiss Diddy kuwa ndiye anayejua nani alimuua Notorious BIG. Ukitaka ugombane na Diddy mtaje kuhusiana na kifo cha BIG

Beef lao limeendelea mpaka leo. Jana 50 Cent alikuwa anamponda sana Diddy baada ya maaskari kwenda kufanya uchunguzi kwenye mjengo wake wa Miami
Pia kuna video inamuonesha Tony yayo....akihojiwa akasema kuwa Diddy alimkatalia 50cent kujiunga na lebo ya bad boy kipindi anachipukia.

Dre na Eminem ndio walijitolea kumsaidia 50 cents kutoka kimziki.
 
2pac mnamsingizia tu, yule alivaa kipini puani kwa sababu mama yake alikuwa ana kipini pia, na jamaa alikuwa anamkubali sana mama yake.

Kuhusu ushoga sidhani hata ukiambiwa ulete ushahidi huna.

Nakubali mtoto wa kiume kuvaa hereni na kutoboa pua si maadili.
Kwahiyo kama mama yako anavaa bikini na wewe utavaa bikini kumuenzi?

Huo ni ushoga aisee..mwanaume unatoga nyusi na pua vipini kama malaya wa tabata
 
Weweee,weka ushahidi kwa Meek Mill
Upo ulimwengu gani mzee baba....mwezi uliopita meek mill alikuwa na skendo kubwa aisee..!! Kuna video yake moja alikuwa anaogelea kwenye swimming pool anaogela na kiboxer huku anamuita diddy "daddy". Alitajwa kuwa ana urafiki wa kiupinde na diddy, kiasi mpaka wanavaa saresare huku wameshikana kimahaba,


Pia meek mill kuna posts zake za zamani alipost twitter akiwa amenunua sextoys na pia amefollow page za mashoga huko twitter. Baada ya watu kumuexpose akaamua kufuta tweets zake za nyuma.
 
Back
Top Bottom