Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanazingua mnoHawa wajinga wanasema snoop kaingiliwa,snoopy, Jamie foxx 50 cent wana uwezo wa kumzalisha p Diddy asubuhi tu.
Kila kitu huanza kama rumours. Jiulize kwanini zisielekezwe kwa George Bush mtangulizi wakeHizi ni rumors tu
Aingiliwe Snoop Doggy ila uchungu upate wewe.!!Hawa wajinga wanasema snoop kaingiliwa,snoopy, Jamie foxx 50 cent wana uwezo wa kumzalisha p Diddy asubuhi tu.
Lini meek mill ali be signed na label anayosimamia p diddy, ili nijue kama unamjua huyo jamaa bro.mkuu kwanini unaleta ubishi? hizo habari mbona zipo kila sehemu tayari
Niliposo.a heading nikaja mbio nikadhani ni mpwa wangu @pdiwa humu JF. Hahahaha!P Diddy namkubali sana, ndiyo mwanamuziki ninayemkubali duniani since miaka ya 90 huko alivyokuwa anapiga kazi na Mase.
Ila jamaa nyuma ya kamera ni mafia kupita kawaida. Unaambiwa ni Mafia kuliko hata unavyofikiria. Alisimamia mchongo mzima wa kumuondia Tupac, watu wakaenda mbali na kusema jamaa alishiriki kummaliza hata BIG kwa kiwa alitaka kuwa peke yake kwenye lebel ya Bad Boyz. Akajua Faith Evance kwake si tatizo lolote, atajua kuishi naye kuliko BIG.
Halafu mambo anayozungumziwa kuwaingilia kinyume na maumbile wanaume wenzake yanashamiri sana, mchungaji TD Jakes na Jamie Foxx wanaweza kutuambia zaidi kwenye hili.
Ukizunguana na P Diddy, sahau kuwa nominated na tuzo za Grammy, mwamba ana maubabe yake kishenzi.
Ila dunia ni hiihii, kuwa mafia ujuavyo, end of the day utakuja kulipa hapahapa duniani.
Karma is a B*itch.
Snoop aingiliwe na nani mbwiga wee,kaa kimyaAingiliwe Snoop Doggy ila uchungu upate wewe.!!
😂😂😂😂Na p didy kasema akitoka atakuja bongo kusalimia fans wake🤣🤣
Wewe mwenyewe unaingiliwa, pita hukoSnoop aingiliwe na nani mbwiga wee,kaa kimya
Ngwegwe mkono wa nyani dah
Hahaha mbavu zanguSnoop aingiliwe na nani mbwiga wee,kaa kimya
"Unaambiwa" 🤣🤣🤣🤣🤣Chai nyingi sana huu uzi. 😁
Aende kwa mondi mkuu itapendezaNa p didy kasema akitoka atakuja bongo kusalimia fans wake🤣🤣
Duh! Ana nini hasa cha kuwafanya watu maarufu kabisa kuwananihiu 🤔🤔🤔???