P-Funk: Yule angekuwa binti yangu, mngeona video mbili

[emoji125][emoji125]Ukiona manyoyaa[emoji125] [emoji125] ......wahuni sio watu wazuri
 
heeee kweli uchungu wa mwana ajuae ni mzazi..
 
Aache mikwara ya kijinga yule ni binti yake na hana la kufanya....lazima ajue makuzi ya mwanae ni mabaya anatakiwa kuchukua hatua...
 
Bwege tu,aliliwa mkewe Kajala na hakufanya lolote,sembuse mwanae?
 
Wewe mwenyewe mbea kilichokutoa povu celebrity forum nini kama sio umbea uliopitiliza viwango.

Kausha mwenyewe kwangu ukijibu najibu
Sinaga muda wa kupoteza na Wambeya! Nikaushie....
 
Kauli zake P funky zitamkosesha mkwe
 
Kwahyo hataki mwanae aliwe?atamla yeye?Utoto tu unamsumbua.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…