Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
DUH KWELI VIDEO NYINGINE INAKUJA ...MBONA NI YEYE KABISAshingo zote ndefu, maxkio yao yote yamelala, na huo mtindo hapo Kwa kichwa ni uleule mpaka meno jaman x Kwa mfanano huo![]()
Heleni pia waache wakatae tu maana inauma kusema ukwel
proof!Binti mwenyewe kamshinda kaamua kusukumizia malezi kwa kajala ili likitokea baya lawama zibaki kwa mama mtu.
KabisaaaaaAkili ikiungua bangi lazima utaona vitu wasivyo ona wenzako.....Yule ni binti yake kabisa (Paula).
Ya baba na ya mtoto?Akihojiwa kwenye kipindi cha "on point" kuhusu video ilisambaa akionekana binti akifanya mapenzi na kufanishwa na binti yake anaitwa Paula aliezaaa na msanii wa bongo movies, Kajala, Producer P-Funk amesema binti huyo anaeonekana sio mwanae Paula.
"Umeona nimekaa kimya ujue yule sio binti yangu. Yaani angekuwa mwanangu ungeona video mbili , ya binti yangu na ya yule jamaa nae akiwa analiwa, yaani watu wanazibua mtaro".
Sumbawanga mkuu hatulimi hayo makitu[emoji23][emoji23][emoji23]yule jamaa anavuta ile ya sumbawanga imefukizwa hadi tunguli
Aisee kuna dingi mmoja kitaa alifanya kama pfunk lakini dogo alipgwa show na house boy wa maza aisee sitaki kukumbuka. Maskini yule jamaa kama yupo hai..Binti mwenyewe kamshinda kaamua kusukumizia malezi kwa kajala ili likitokea baya lawama zibaki kwa mama mtu.
Aisee kuna dingi mmoja kitaa alifanya kama pfunk lakini dogo alipgwa show na house boy wa maza aisee sitaki kukumbuka. Maskini yule jamaa kama yupo hai..Binti mwenyewe kamshinda kaamua kusukumizia malezi kwa kajala ili likitokea baya lawama zibaki kwa mama mtu.
Ya baba na ya mtoto?
Majani hashindwi kichwa kimeungua na bangi.
Unaweza usikubali ,lakini na wewe pia ukaishia kupata kilichompata bintiYupo sahihi. Hata Mimi Kama baba binti yangu yupo salama sintakubali kuyaona maumivu au machozi yake