Majani hajawahi kuwa bwegge hata siku moja. Huyo Ray amuuulize Josee Chamelion jinsi alifuatwa Uganda Huko huko akazibuliwa mbele ya Mke na Watoto wake. Sioni ajabu Majani akimmwaga Ubongo huyo fedhuli kwa udhalilishaji aliofanya.
Namuuunga Majani mkono kwa hatua zozote maaana dharau zikizidi sana napo siyo poa.
Namuuunga Majani mkono kwa hatua zozote maaana dharau zikizidi sana napo siyo poa.