P Funky Majani (Godfather wa Bongofleva) ni mzaliwa wa wapi? Je, ni mtanzania halisi au kachanganya?

P Funky Majani (Godfather wa Bongofleva) ni mzaliwa wa wapi? Je, ni mtanzania halisi au kachanganya?

Cha ajabu ni kipi? Umaskini wako ndio umekufanya uishi mbali na wazazi wako.

Bakhresa mpaka leo anakaa na watoto wake wote pale Masaki.

Akili za kimaskini ni mbaya sana, nimefanyakazi KLM na mama yake Paul ni swahiba wangu mtoto ninayemjuwa mimi ni Paul na mama yupo mwenyewe hivi kuna ubaya gani mama kukaa na mtoto wake?

Chunguza kwa makini hata wahindi wanaishi kifamilia, hata huko mamtoni nimezunguka sehemu nyingi matajili kwenye Mansion zao wanaishi kifamilia.

Hizi dhiki zetu za kumaliza sabuni bafuni na kuongezeana gharama za chakula ndio zinasababisha kijana mdogo eti naye kapanga chumba!
Poverty.

Kweli tu ubinafsi ndio unawakimbiza
 
Yaani uishi na kina Kobe Bryant miaka 5 asubuhi upo nao jioni upo nao mchana upo nao..mazoezini kambini na kwenye mechi halafu eti ubaki tu kuongea kama kingwendu??..huo utakua sio tu ulofa ila utakua ufala..lazima ubebe swaga za mtoni..hao mnaowaona wanakaa mbele na wakirudi wanaongea kama senga ujue walikua wanajifungia tu vyumbani huko..
Hiki ni kipimo sahihi cha ujinga na upumbavu pasee.

Wannabe.
 
Akili za kimaskini ni mbaya sana, nimefanyakazi KLM na mama yake Paul ni swahiba wangu mtoto ninayemjuwa mimi ni Paul na mama yupo mwenyewe hivi kuna ubaya gani mama kukaa na mtoto wake?
Na kimsingi sio mama kukaa na mtoto wake bali mtoto kukaa na mama ake!! Majani uwezo wa kukaa kwake anao kwa 100% lakini hawezi kumwacha mama ake aishi peke yake au na ndugu/wafanyakazi pekee!
 
Pale Nairobi kenya kuna msanii moja maarufu kwa jina la nyashinski,ni mmoja ya wasanii waliounda kundi la cleptomaniaz lilitomba mwanzoni/katikati ya miaka ya 2000 (kwa wale ma-old school watakuwa wanamfahamu)

baadae nyashinski alienda marekani na kuishi huko miaka 10 lakini mpaka leo anazungumza sheng (kiswahili cha kikenya) kwa ufasaha.

halafu eti Leo akina "hashimu thabati" wanajitia kutoweza zungumzia kiswahili kwa ufasaha wakati waliondoka bongo wakiwa watu wazima.....
mik*ndu yao.[emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji35]

Kleptomaniax "lilitomba" kina nani ?
 
Jina la passport ni Paul, japo tulizoea kumuita Khalifa tangu utoto tutacheza nae basket ball kwa kina Master J Oyster bay, baba Mholanzi mama mbongo, anaongea kiswahili fresh tu sema usela umemzidi,
Hasheem Thabeet nashangaa kutafuta maneno ya kiswahili wakati rafiki yetu yupo USA miaka 17 mpaka ameoa anaongea kiswahili fresh, naona kama ni kujisikia zaidi.
 
Vijana wengi wa Kitanzania hususan hawa millennials hupata shida kuongea Kiswahili kitupu kilichonyooka.

We jaribu kumsikiliza yule mwigizaji Lulu uone.

Jaribu tu kuwasikiliza wabongo fleva...hata Diamond naye siku hizi kaanza kuwa hivyo.

Yule mcheza kikapu Hashimu Thabiti ndo kabisaaa....utadhani hajazaliwa Dar au Tanzania. Huwa anapata shida sana kuongea akiwa anaongea Kiswahili.

Sijajua hasa tatizo ni nini lakini ninahisi mojawapo ya sababu ni kutaka kujifanya u wa hali na hadhi fulani [kwa kuchomekea sana maneno ya Kiingereza] na pia kutokujua vizuri lugha yoyote ile, iwe Kiswahili au Kiingereza.
Diamond alikua hajui kimombo,mara ghafla kajua cha ku mix hataki tena kukijua kibongo.haya sisi na mungu anawaona
 
Hata sisi wa Kwamtogole pia, tukiishaanza tuition pale kwa Ras Simba basi tunaongea "you know let me tell you, yule jamaa bwana, I don't think so"
Mwambie ras simba tupo wengi tuotaka usaidizi wake....au i wish i could be ras simba? ??, ili niwafundishe?,
 
Kwa hiyo mkuu Unataka kutuambia
Majani naye amebashite chet cha kuzaliwa
 
Jina la passport ni Paul, japo tulizoea kumuita Khalifa tangu utoto tutacheza nae basket ball kwa kina Master J Oyster bay, baba Mholanzi mama mbongo, anaongea kiswahili fresh tu sema usela umemzidi,
Hasheem Thabeet nashangaa kutafuta maneno ya kiswahili wakati rafiki yetu yupo USA miaka 17 mpaka ameoa anaongea kiswahili fresh, naona kama ni kujisikia zaidi.
Uyu Hasheem mbona wabongo wengi uwa wanamgwaya jamaa tatizo nini
 
Uyu Hasheem mbona wabongo wengi uwa wanamgwaya jamaa tatizo nini
Alikuwa na nguvu sana awamu ya JK, ndiyo maana alimpiga mtama TID Billicanas na hakutolewa nje wala kushitakiwa, ulaya issue kama hiyo anakulipa hela nzuri tu, pia yuko fit sana hata ukisalimiana na kwa kushikana mikono utalijua hilo, isitoshe ana jeuri ya pesa japo kiwango chake kwa sasa kimechukua kwa kula bata zaidi ya mazoezi.
 
Pale Nairobi kenya kuna msanii moja maarufu kwa jina la nyashinski,ni mmoja ya wasanii waliounda kundi la cleptomaniaz lilitomba mwanzoni/katikati ya miaka ya 2000 (kwa wale ma-old school watakuwa wanamfahamu)

baadae nyashinski alienda marekani na kuishi huko miaka 10 lakini mpaka leo anazungumza sheng (kiswahili cha kikenya) kwa ufasaha.

halafu eti Leo akina "hashimu thabati" wanajitia kutoweza zungumzia kiswahili kwa ufasaha wakati waliondoka bongo wakiwa watu wazima.....
mik*ndu yao.[emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji35]
Wanatia hasira sana hawa ngurubange mkuu. Kuna watu waliishi nchi za watu miaka mingi sana na kusoma shule za maana lakini akiongea Kiswahili utafikiri anatokea kwa Mtogole. Hawa walioishi maisha duni wakipata nafasi kidogo wanasahau mpaka Kiswahili na wajumbe wao wa nyumba kumi kumi. Huyo Hashimu kapokelewa pale Houston juzi juzi tu ananuka kikwapa na mdomo....kabla hajaenda UCONN eti sasa hivi Kiswahili kinampa shida. Daaah!!!!
 
Back
Top Bottom