SIERA
JF-Expert Member
- Apr 11, 2011
- 2,789
- 3,413
Cha ajabu ni kipi? Umaskini wako ndio umekufanya uishi mbali na wazazi wako.
Bakhresa mpaka leo anakaa na watoto wake wote pale Masaki.
Akili za kimaskini ni mbaya sana, nimefanyakazi KLM na mama yake Paul ni swahiba wangu mtoto ninayemjuwa mimi ni Paul na mama yupo mwenyewe hivi kuna ubaya gani mama kukaa na mtoto wake?
Chunguza kwa makini hata wahindi wanaishi kifamilia, hata huko mamtoni nimezunguka sehemu nyingi matajili kwenye Mansion zao wanaishi kifamilia.
Hizi dhiki zetu za kumaliza sabuni bafuni na kuongezeana gharama za chakula ndio zinasababisha kijana mdogo eti naye kapanga chumba!
Poverty.
Kweli tu ubinafsi ndio unawakimbiza