P Funky Majani (Godfather wa Bongofleva) ni mzaliwa wa wapi? Je, ni mtanzania halisi au kachanganya?

P Funky Majani (Godfather wa Bongofleva) ni mzaliwa wa wapi? Je, ni mtanzania halisi au kachanganya?

Alikuwa na nguvu sana awamu ya JK, ndiyo maana alimpiga mtama TID Billicanas na hakutolewa nje wala kushitakiwa, ulaya issue kama hiyo anakulipa hela nzuri tu, pia yuko fit sana hata ukisalimiana na kwa kushikana mikono utalijua hilo, isitoshe ana jeuri ya pesa japo kiwango chake kwa sasa kimechukua kwa kula bata zaidi ya mazoezi.
Hahahahha sipati picha myama tid alivyoshushwa chini, kumbe jamaa ana dharau sana aliwahi pia kumpiga dereva boda kisa kavunja taa ya hammer lake japo yy ndo alikuwa na makosa
 
Hahahahha sipati picha myama tid alivyoshushwa chini, kumbe jamaa ana dharau sana aliwahi pia kumpiga dereva boda kisa kavunja taa ya hammer lake japo yy ndo alikuwa na makosa
Ana hasira za haraka sana, ila usa hafanyi upumbavu huo
 
Alikuwa na nguvu sana awamu ya JK, ndiyo maana alimpiga mtama TID Billicanas na hakutolewa nje wala kushitakiwa, ulaya issue kama hiyo anakulipa hela nzuri tu, pia yuko fit sana hata ukisalimiana na kwa kushikana mikono utalijua hilo, isitoshe ana jeuri ya pesa japo kiwango chake kwa sasa kimechukua kwa kula bata zaidi ya mazoezi.
Alibahatika kufanya hivyo kwa mtu ambaye hakutambua Haki yake ya msingi. Angekutana na Vijana wa mjini kitendo Kama kile ndio ingekuwa mwisho wa Career yake NBA na angemtajirisha aliyempiga mtama hadharani. NBA Inazingatia vigezo na masharti kwa wafanyakazi wake (NBA Players).
 
Wadau,
Mimi naona PFunky Majani yupo fresh tu ktk lugha ya Kiswahili. Inategemea anaongea na mtu/studio wa/ya aina gani ili atilie mkazo kwa Kiswahili au Kiingereza kitu anachozungumza na pia anayemfanyia mahojiano kama ni mtu anayeelewa industry ya music / entertainment au la n.k


P FUNKY INTERVIEW

Source: abby mrisho

Producer P-Funk akiongelea ujio mpya wa Bongo Records

Source: Bongo5 TV
 
Jamaa Ni [HASHTAG]#mpare[/HASHTAG] kutoka milimani mama yake anaishi USA River Karibu na Ngurudoto Hotel
 
Vijana wengi wa Kitanzania hususan hawa millennials hupata shida kuongea Kiswahili kitupu kilichonyooka.

We jaribu kumsikiliza yule mwigizaji Lulu uone.

Jaribu tu kuwasikiliza wabongo fleva...hata Diamond naye siku hizi kaanza kuwa hivyo.

Yule mcheza kikapu Hashimu Thabiti ndo kabisaaa....utadhani hajazaliwa Dar au Tanzania. Huwa anapata shida sana kuongea akiwa anaongea Kiswahili.

Sijajua hasa tatizo ni nini lakini ninahisi mojawapo ya sababu ni kutaka kujifanya u wa hali na hadhi fulani [kwa kuchomekea sana maneno ya Kiingereza] na pia kutokujua vizuri lugha yoyote ile, iwe Kiswahili au Kiingereza.
Nadhani ulichokisema mwishoni ni sahihi zaidi, weng hawana uelewa mzuri wa lugha hizo mbili.
 
Alibahatika kufanya hivyo kwa mtu ambaye hakutambua Haki yake ya msingi. Angekutana na Vijana wa mjini kitendo Kama kile ndio ingekuwa mwisho wa Career yake NBA na angemtajirisha aliyempiga mtama hadharani. NBA Inazingatia vigezo na masharti kwa wafanyakazi wake (NBA Players).
Kwa Afrika kumlipa fidia ni ngumu sana, atatumia corruption case iende hata miaka kumi, wakipata likizo badala afanye mazoezi ya nguvu kwa nafasi yake anayocheza kama defence yeye anazunguruka duniani kula bata, msimu ukianza anaonekana performance yake iko chini kama yeye anavyopenda chini, ndiyo maana wakamtoa NBA
 
Wadau,
Mimi naona PFunky Majani yupo fresh tu ktk lugha ya Kiswahili. Inategemea anaongea na mtu/studio wa/ya aina gani ili atilie mkazo kwa Kiswahili au Kiingereza kitu anachozungumza na pia anayemfanyia mahojiano kama ni mtu anayeelewa industry ya music / entertainment au la n.k


P FUNKY INTERVIEW

Source: abby mrisho

Producer P-Funk akiongelea ujio mpya wa Bongo Records

Source: Bongo5 TV

Kuongea anaongea vizuri hana mbwe mbwe lakini ukiangalia uzungumzaji wake wa kiswahili utagundua ni lugha ambayo hatumii mda mwingi kuizungumza
 
Kuongea anaongea vizuri hana mbwe mbwe lakini ukiangalia uzungumzaji wake wa kiswahili utagundua ni lugha ambayo hatumii mda mwingi kuizungumza

Watangazaji pia wanaweza kuwa wanamfanya aegamie upande fulani ktk matumizi ya lugha iwe Kiingereza au Kiswahili kama mfano wa clip mbili nilizoweka, P-Funk na mtangazaji wa Bongo5 TV ni watu wana ''rapport / bond '' yaani mzuka wao ni wa aina moja. Na hakika hata angekuwa yupo studio za Mkasi TV pia itakuwa hivyo hivyo.
 
Back
Top Bottom