Tajirimsomi
JF-Expert Member
- Jan 12, 2017
- 4,824
- 5,587
- Thread starter
-
- #81
Hahahahha sipati picha myama tid alivyoshushwa chini, kumbe jamaa ana dharau sana aliwahi pia kumpiga dereva boda kisa kavunja taa ya hammer lake japo yy ndo alikuwa na makosaAlikuwa na nguvu sana awamu ya JK, ndiyo maana alimpiga mtama TID Billicanas na hakutolewa nje wala kushitakiwa, ulaya issue kama hiyo anakulipa hela nzuri tu, pia yuko fit sana hata ukisalimiana na kwa kushikana mikono utalijua hilo, isitoshe ana jeuri ya pesa japo kiwango chake kwa sasa kimechukua kwa kula bata zaidi ya mazoezi.
10 Million kila mtu angesomesha watoto hapo..International School of Tanganyika.
School fees 10 million per year.
Ana hasira za haraka sana, ila usa hafanyi upumbavu huoHahahahha sipati picha myama tid alivyoshushwa chini, kumbe jamaa ana dharau sana aliwahi pia kumpiga dereva boda kisa kavunja taa ya hammer lake japo yy ndo alikuwa na makosa
Alibahatika kufanya hivyo kwa mtu ambaye hakutambua Haki yake ya msingi. Angekutana na Vijana wa mjini kitendo Kama kile ndio ingekuwa mwisho wa Career yake NBA na angemtajirisha aliyempiga mtama hadharani. NBA Inazingatia vigezo na masharti kwa wafanyakazi wake (NBA Players).Alikuwa na nguvu sana awamu ya JK, ndiyo maana alimpiga mtama TID Billicanas na hakutolewa nje wala kushitakiwa, ulaya issue kama hiyo anakulipa hela nzuri tu, pia yuko fit sana hata ukisalimiana na kwa kushikana mikono utalijua hilo, isitoshe ana jeuri ya pesa japo kiwango chake kwa sasa kimechukua kwa kula bata zaidi ya mazoezi.
International School of Tanganyika.
School fees 10 million per year.
Nadhani ulichokisema mwishoni ni sahihi zaidi, weng hawana uelewa mzuri wa lugha hizo mbili.Vijana wengi wa Kitanzania hususan hawa millennials hupata shida kuongea Kiswahili kitupu kilichonyooka.
We jaribu kumsikiliza yule mwigizaji Lulu uone.
Jaribu tu kuwasikiliza wabongo fleva...hata Diamond naye siku hizi kaanza kuwa hivyo.
Yule mcheza kikapu Hashimu Thabiti ndo kabisaaa....utadhani hajazaliwa Dar au Tanzania. Huwa anapata shida sana kuongea akiwa anaongea Kiswahili.
Sijajua hasa tatizo ni nini lakini ninahisi mojawapo ya sababu ni kutaka kujifanya u wa hali na hadhi fulani [kwa kuchomekea sana maneno ya Kiingereza] na pia kutokujua vizuri lugha yoyote ile, iwe Kiswahili au Kiingereza.
Kuna rafiki yangu anasomesha wanae shule moja hapa Dar 15m. Alisema ameshindwa IST ni 24m.10 Million kila mtu angesomesha watoto hapo..
Feza tu ni 6 Million.. Hapo nursery tu ni 25 Million... Kila Grade ina ada zake.. Ya chini kabisa ndiyo hiyo 25M
Kwa Afrika kumlipa fidia ni ngumu sana, atatumia corruption case iende hata miaka kumi, wakipata likizo badala afanye mazoezi ya nguvu kwa nafasi yake anayocheza kama defence yeye anazunguruka duniani kula bata, msimu ukianza anaonekana performance yake iko chini kama yeye anavyopenda chini, ndiyo maana wakamtoa NBAAlibahatika kufanya hivyo kwa mtu ambaye hakutambua Haki yake ya msingi. Angekutana na Vijana wa mjini kitendo Kama kile ndio ingekuwa mwisho wa Career yake NBA na angemtajirisha aliyempiga mtama hadharani. NBA Inazingatia vigezo na masharti kwa wafanyakazi wake (NBA Players).
Nadhani ulichokisema mwishoni ni sahihi zaidi, weng hawana uelewa mzuri wa lugha hizo mbili.
15M sio HOPAC?Kuna rafiki yangu anasomesha wanae shule moja hapa Dar 15m. Alisema ameshindwa IST ni 24m.
Heaven of Peace Academy I think.15M sio HOPAC?
Kuongea anaongea vizuri hana mbwe mbwe lakini ukiangalia uzungumzaji wake wa kiswahili utagundua ni lugha ambayo hatumii mda mwingi kuizungumzaWadau,
Mimi naona PFunky Majani yupo fresh tu ktk lugha ya Kiswahili. Inategemea anaongea na mtu/studio wa/ya aina gani ili atilie mkazo kwa Kiswahili au Kiingereza kitu anachozungumza na pia anayemfanyia mahojiano kama ni mtu anayeelewa industry ya music / entertainment au la n.k
P FUNKY INTERVIEW
Source: abby mrisho
Producer P-Funk akiongelea ujio mpya wa Bongo Records
Source: Bongo5 TV
Marafiki zako matajiri Ada yote hiyo kwa mtoto wa primaryKuna rafiki yangu anasomesha wanae shule moja hapa Dar 15m. Alisema ameshindwa IST ni 24m.
Hapana anathamini elimu ya watoto wake.Marafiki zako matajiri Ada yote hiyo kwa mtoto wa primary
Lakini pia ana kipato kizuri million kumi nikiipata namfungulia MAMA japo kimradiHapana anathamini elimu ya watoto wake.
πππππππππHata sisi wa Kwamtogole pia, tukiishaanza tuition pale kwa Ras Simba basi tunaongea "you know let me tell you, yule jamaa bwana, I don't think so"
Kuongea anaongea vizuri hana mbwe mbwe lakini ukiangalia uzungumzaji wake wa kiswahili utagundua ni lugha ambayo hatumii mda mwingi kuizungumza