we bana weeee JUMA ALIMSAIDIAPOOOO![emoji23] [emoji23] [emoji23] hilo neno hiloo...!!mm pia sikubali hata sifurii
halafu wenzie sasa weupeee 0.5 pyuaaa
we nae sogea huko na tenzi zako !...mtu mzima kuonesha ujinga wake hadharani ni aibu sana;
..vitu vingine uwe unavunga tu,
.....sasa usipokubali wewe inabadilisha nini!
Hata tukiwa kwenye mambo yetu yale huwa unalia kitrump halafu ghafla naskia usije ukamwaga ndaniHata sisi wa Kwamtogole pia, tukiishaanza tuition pale kwa Ras Simba basi tunaongea "you know let me tell you, yule jamaa bwana, I don't think so"
ah we sio bureeee!Ngoja tusubiri wataalamu wa genetics na cross breed za DNA
Corrections: International School of Tanganyika. Wanasoma watoto wa Mabalozi, Experts, UnReprensatives, Intl NGO na wachache wa nchi hii wenye fedha yao. Mtoto wa baby class ana uelewa wa kutisha.International Tanganyika School
kwenye kipindi cha mkasi alisema anaasili ya kidachiNahisi ana damu ya kijerumani au kiswideni kwa mama au baba.ila sina hakika sana.
Waliosoma na kuishi India huwasikii wakiongea kihindinglish lakini hawa wenzangu ndio umarekani kwa kwenda mbeleVijana wengi wa Kitanzania hususan hawa millennials hupata shida kuongea Kiswahili kitupu kilichonyooka.
We jaribu kumsikiliza yule mwigizaji Lulu uone.
Jaribu tu kuwasikiliza wabongo fleva...hata Diamond naye siku hizi kaanza kuwa hivyo.
Yule mcheza kikapu Hashimu Thabiti ndo kabisaaa....utadhani hajazaliwa Dar au Tanzania. Huwa anapata shida sana kuongea akiwa anaongea Kiswahili.
Sijajua hasa tatizo ni nini lakini ninahisi mojawapo ya sababu ni kutaka kujifanya u wa hali na hadhi fulani [kwa kuchomekea sana maneno ya Kiingereza] na pia kutokujua vizuri lugha yoyote ile, iwe Kiswahili au Kiingereza.
[emoji1] [emoji1] [emoji1] jamvini raha sanaHata sisi wa Kwamtogole pia, tukiishaanza tuition pale kwa Ras Simba basi tunaongea "you know let me tell you, yule jamaa bwana, I don't think so"
Haaa haaa...mkuu umeua!Eti familia bora unaelewa maana ya familia bora? Hebu nenda kaangalie nyumba yao pale bamaga
....kaoshe papa hilo kama puru la ng'ombe kwanza,we nae sogea huko na tenzi zako !
si uende waliko wenye akili wenzio!
Hiki ni kipimo sahihi cha ujinga na upumbavu pasee.
Wannabe.
Pakoje tupia kapichaHaaa haaa...mkuu umeua!
Yaani hapa ndo nimetoka kukatisha nyumbani kwao hapa bamaga..
Jf kwa kusifia khaaa!
Mie najua i love u too basi.Hata sisi wa Kwamtogole pia, tukiishaanza tuition pale kwa Ras Simba basi tunaongea "you know let me tell you, yule jamaa bwana, I don't think so"
Sijui huwa wanakumbwa na nini maana huyo utoto wake alikuwa Dodoma kabla ya kuhamia Dar amekulia malezi ya kawaida lakini ajabu kwenye kuongea utasema amekulia huko (inahitaji mshipa wa noma uwe umekatika kuzungumza vile hasa pale unapokutana na mtu ambae mnafahamiana tangu utotoni)Vijana wengi wa Kitanzania hususan hawa millennials hupata shida kuongea Kiswahili kitupu kilichonyooka.
We jaribu kumsikiliza yule mwigizaji Lulu uone.
Jaribu tu kuwasikiliza wabongo fleva...hata Diamond naye siku hizi kaanza kuwa hivyo.
Yule mcheza kikapu Hashimu Thabiti ndo kabisaaa....utadhani hajazaliwa Dar au Tanzania. Huwa anapata shida sana kuongea akiwa anaongea Kiswahili.
Sijajua hasa tatizo ni nini lakini ninahisi mojawapo ya sababu ni kutaka kujifanya u wa hali na hadhi fulani [kwa kuchomekea sana maneno ya Kiingereza] na pia kutokujua vizuri lugha yoyote ile, iwe Kiswahili au Kiingereza.
Na jina kaweka swaga HasheemHuyu kijana Hashimu Thabiti (Hasheem Thabeet) Kama anavyojiita siku hizi, ndio huwa ananishangaza sana mkuu. Maisha aliyotokea na muda alioishi States eti Kiswahili kinampa shida!!!!!! Huwa nachoka kabisa nikimsikia anaongea.
Jesus..!!Pale Nairobi kenya kuna msanii moja maarufu kwa jina la nyashinski,ni mmoja ya wasanii waliounda kundi la cleptomaniaz lilitomba mwanzoni/katikati ya miaka ya 2000 (kwa wale ma-old school watakuwa wanamfahamu)
baadae nyashinski alienda marekani na kuishi huko miaka 10 lakini mpaka leo anazungumza sheng (kiswahili cha kikenya) kwa ufasaha.
halafu eti Leo akina "hashimu thabati" wanajitia kutoweza zungumzia kiswahili kwa ufasaha wakati waliondoka bongo wakiwa watu wazima.....
...kaone na kengine haka..,kanajichekesha ka zuzu ili kupunguza stress za maisha mabovu!Haaa haaa...mkuu umeua!
Yaani hapa ndo nimetoka kukatisha nyumbani kwao hapa bamaga..
Jf kwa kusifia khaaa!