P Funky Majani (Godfather wa Bongofleva) ni mzaliwa wa wapi? Je, ni mtanzania halisi au kachanganya?

P Funky Majani (Godfather wa Bongofleva) ni mzaliwa wa wapi? Je, ni mtanzania halisi au kachanganya?

[emoji23] [emoji23] [emoji23] hilo neno hiloo...!!mm pia sikubali hata sifurii

halafu wenzie sasa weupeee 0.5 pyuaaa
we bana weeee JUMA ALIMSAIDIAPOOOO!
haiwezkani1
damu ya kiholanzi unaijua unaiskia ticha?
 
Hata sisi wa Kwamtogole pia, tukiishaanza tuition pale kwa Ras Simba basi tunaongea "you know let me tell you, yule jamaa bwana, I don't think so"
Hata tukiwa kwenye mambo yetu yale huwa unalia kitrump halafu ghafla naskia usije ukamwaga ndani
 
International Tanganyika School
Corrections: International School of Tanganyika. Wanasoma watoto wa Mabalozi, Experts, UnReprensatives, Intl NGO na wachache wa nchi hii wenye fedha yao. Mtoto wa baby class ana uelewa wa kutisha.
 
W
Vijana wengi wa Kitanzania hususan hawa millennials hupata shida kuongea Kiswahili kitupu kilichonyooka.

We jaribu kumsikiliza yule mwigizaji Lulu uone.

Jaribu tu kuwasikiliza wabongo fleva...hata Diamond naye siku hizi kaanza kuwa hivyo.

Yule mcheza kikapu Hashimu Thabiti ndo kabisaaa....utadhani hajazaliwa Dar au Tanzania. Huwa anapata shida sana kuongea akiwa anaongea Kiswahili.

Sijajua hasa tatizo ni nini lakini ninahisi mojawapo ya sababu ni kutaka kujifanya u wa hali na hadhi fulani [kwa kuchomekea sana maneno ya Kiingereza] na pia kutokujua vizuri lugha yoyote ile, iwe Kiswahili au Kiingereza.
Waliosoma na kuishi India huwasikii wakiongea kihindinglish lakini hawa wenzangu ndio umarekani kwa kwenda mbele
 
we nae sogea huko na tenzi zako !
si uende waliko wenye akili wenzio!
....kaoshe papa hilo kama puru la ng'ombe kwanza,
...P amekulalamikia mtoto sio wake,au unawashwa?
..muwasho ukizidi,
.kalia chupa!
 
Watu maskini wakiona tajiri anaongea kingereza anasema anajifanya,tuambieni nani asiyejifanya?
 
Vijana wengi wa Kitanzania hususan hawa millennials hupata shida kuongea Kiswahili kitupu kilichonyooka.

We jaribu kumsikiliza yule mwigizaji Lulu uone.

Jaribu tu kuwasikiliza wabongo fleva...hata Diamond naye siku hizi kaanza kuwa hivyo.

Yule mcheza kikapu Hashimu Thabiti ndo kabisaaa....utadhani hajazaliwa Dar au Tanzania. Huwa anapata shida sana kuongea akiwa anaongea Kiswahili.

Sijajua hasa tatizo ni nini lakini ninahisi mojawapo ya sababu ni kutaka kujifanya u wa hali na hadhi fulani [kwa kuchomekea sana maneno ya Kiingereza] na pia kutokujua vizuri lugha yoyote ile, iwe Kiswahili au Kiingereza.
Sijui huwa wanakumbwa na nini maana huyo utoto wake alikuwa Dodoma kabla ya kuhamia Dar amekulia malezi ya kawaida lakini ajabu kwenye kuongea utasema amekulia huko (inahitaji mshipa wa noma uwe umekatika kuzungumza vile hasa pale unapokutana na mtu ambae mnafahamiana tangu utotoni)
 
Huyu kijana Hashimu Thabiti (Hasheem Thabeet) Kama anavyojiita siku hizi, ndio huwa ananishangaza sana mkuu. Maisha aliyotokea na muda alioishi States eti Kiswahili kinampa shida!!!!!! Huwa nachoka kabisa nikimsikia anaongea.
Na jina kaweka swaga Hasheem
 
Pale Nairobi kenya kuna msanii moja maarufu kwa jina la nyashinski,ni mmoja ya wasanii waliounda kundi la cleptomaniaz lilitomba mwanzoni/katikati ya miaka ya 2000 (kwa wale ma-old school watakuwa wanamfahamu)

baadae nyashinski alienda marekani na kuishi huko miaka 10 lakini mpaka leo anazungumza sheng (kiswahili cha kikenya) kwa ufasaha.

halafu eti Leo akina "hashimu thabati" wanajitia kutoweza zungumzia kiswahili kwa ufasaha wakati waliondoka bongo wakiwa watu wazima.....
Jesus..!!
 
Haaa haaa...mkuu umeua!

Yaani hapa ndo nimetoka kukatisha nyumbani kwao hapa bamaga..

Jf kwa kusifia khaaa!
...kaone na kengine haka..,kanajichekesha ka zuzu ili kupunguza stress za maisha mabovu!
...thamani ya hilo eneo tu peke yake kutokana na location ni mara 100 ya kajumba kenu ka mbavu za mbwa alikojenga babaako baada ya kupata mafao ya kustaafu!
...wewe na hao mambwiga wenzio mnataka jilinganisha na .5 aliekulia ushuani na kusoma IST,ama?wakati baba zenu wanahaha kukopa hela ya kuwatibu degedege na kifaduro,yeye tayari ana studio!
..endeleeni kujitekenya na kujichekesha mpunguze stress za maisha angalau!
 
Back
Top Bottom