P Funky Majani (Godfather wa Bongofleva) ni mzaliwa wa wapi? Je, ni mtanzania halisi au kachanganya?

P Funky Majani (Godfather wa Bongofleva) ni mzaliwa wa wapi? Je, ni mtanzania halisi au kachanganya?

Kwakuwa nimemsikia Rais Magufuli ni mpenzi wa Shilawadu kwa sasa umbea ni jambo la heshima kubwa na lenye hadhi.

Pigeni umbea kwa kujidai mnayo support ya Rais naye ni mshabiki wa Shilawadu.
HAHAHAHAHHAHHA umewoooona enh best!
miss ya mwaya!
za siku?
 
Eti "lilitomba miaka ya 2000 aisee watu mwajua kuvunjana mbavu
c20d3c556d384e47320396b0fd3bca80.jpg
 
P Funk amesoma IST, wewe hata ujambe ushuzi hapa mpaka Ntwara kwenye ukoo wenu hakuna hatakayethubutu kugusa IST bwege kabisa.

Kuwa na nyumba tu Bamaga ni ushindi tosha kwa waelewa pimbi wewe.
We nawe kama chiz unaongea kama umekunywa viroba, hiyo nyumba ya bamaga Kwan ni yake?? Kumbe hata humjui vizur shwain nyumba ya mama ake Kwan kusoma ndo kufanikiwa acha ushamba
 
AHAHAHAHAHHAHAHHAHAHHAHA!
pooooovu poooovu best!
TWENDE TARATIBU!

motel jasmeena ndo wanapokuvunjaga dhakar enh?
saaasa umepamiss jasmiiiina au umewamiss wanaokutia kilema cha kiuno mpk vidole!?
Ila na mi name mfukunyukuuuuu sasa nayafuatilia ya nini na linalovunjwa ni hilo jijongoo ulilonalo?
heb niache umbea !
...teh hee hee.,kubwa jinga bhana!
..zee zima linaigiza uchakubimbi!
.halafu lenyewe linajiona janjaaaaaa!
 
...teh hee hee.,kubwa jinga bhana!
..zee zima linaigiza uchakubimbi!
.halafu lenyewe linajiona janjaaaaaa!
kaza taya hiyo ukiwa unacheka!
unalegea legea nini!
una misemo na tone ya kikeeeeeeeeeeeeee hadi unatia huruma!
wanaume wabayaaa!hamuwezi kuwa mnamfanya hivi mtoto wa mwanaume mwezenu!
ona anajua mpk na uchakubimbi anaandika "bhana"
duh!
vionjo vya kisidiria sidiria!
 
Labda tumuulize kajala, ila jamaa anaonekana smart sana kichwani, anajua anachokifanya

Salama Jabir
P-Funk
Madam Rittha, ndege wafananao huruka pamoja
Chezea Tanganyika International school ada ya miaka saba unanunua mtaa mzima mbagala enzi hizo
 
Huyu kijana Hashimu Thabiti (Hasheem Thabeet) Kama anavyojiita siku hizi, ndio huwa ananishangaza sana mkuu. Maisha aliyotokea na muda alioishi States eti Kiswahili kinampa shida!!!!!! Huwa nachoka kabisa nikimsikia anaongea.
Waswahili ni wepesi sana kupoteza utambulisho, sijui kwa nini ili hali wenzetu huko ni wagumu sana.

Prof Shivji hata akiishi bongo miaka mingine mia tatu ukifanikiwa kufufuka utamkuta bado hata hawezi kutamka 'vyama vingi'
 
Jamaa ana asili ya ki-dutch.
Kati ya mama yake au baba yake ni muholansi (maana nakumbuka kwenye interview yake ya nyuma alishasema kuwa "waholansi ni wabaguzi, na alienda huko kwa mzazi wake na akaw akipita mtaani watu wanamnyoshea kidole")
na aliwahi kumtandika kichwa kijana wa kiholanzi aliyemuita nyani huko huko uholanzi.
 
Baba yake ni muholanzi(alikuwa TX)...mama yake mzaramo alikuwa wanawake was kujiuza mjini(Margot) kwa kifupi ni BASTARD kama le mutuz
 
Hashim aliniacha Makongo form three,miaka ile ya 2004!
Alikuwa anarudiarudia masomo kwa kuzungusha mibashite!
Ila mpira wa kikapu ulimtoa!
Nakumbuka alivyokuwa anateseka kupanda vipanya vya Kawe Mwengea au Tegeta Posta kwa ule urefu wake!
Hehehe Ulikua shift 1 au 2 ...Mimi liliniacha form 3 2003 nadhani alitimkia Kenya then ndio NBA....Ila ndugu yangu hashimu ametoka mbali sana nakumbuka wakati wa mapumziko kwa chinga muuza mihogo chini ya mkorosho karibu na mabwawa ya samaki hashimu tunapanga nae foleni kipande cha mhogo sh 20 ukitoa hamsini unapewa vitatu.Wakati wa game za madarasa jamaa tunamweka golikipa na viatu vyake vya kuunganisha Soli.
 
Yaani uishi na kina Kobe Bryant miaka 5 asubuhi upo nao jioni upo nao mchana upo nao..mazoezini kambini na kwenye mechi halafu eti ubaki tu kuongea kama kingwendu??..huo utakua sio tu ulofa ila utakua ufala..lazima ubebe swaga za mtoni..hao mnaowaona wanakaa mbele na wakirudi wanaongea kama senga ujue walikua wanajifungia tu vyumbani huko..
Duh mkuu naona umeamua kusema ya moyoni kabisa
 
Back
Top Bottom