snowhite
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 18,065
- 24,559
HAHAHAHAHHAHHA umewoooona enh best!Kwakuwa nimemsikia Rais Magufuli ni mpenzi wa Shilawadu kwa sasa umbea ni jambo la heshima kubwa na lenye hadhi.
Pigeni umbea kwa kujidai mnayo support ya Rais naye ni mshabiki wa Shilawadu.
miss ya mwaya!
za siku?