Pablo atimuliwa Simba SC, mwenyewe agoma kupokea barua

Kwanini simba kila kitu amtegemee Yanga?Scouts simba wanafeli vibaya sana.
 
Yaani huyu mchawi ndio anaachiwa timu
 
Huyu ndugu zake wakae naye wampe ushauri nasaha, ana sonona kukosa uwaziri kinachofuata atatoa kafara mtoto mwingine
 
Mo kamuhonga timu hawara yake sasa anafukuza tu watu bila sababu za msingi, alianza mwenyekiti akaja Senzo, mara Manara now kocha anaondoka.
 
Huko Madrid wameumia sana kufukuzwa kwa kocha mwenye cv kubwa nchini kwao.
 
Mo kamuhonga timu hawara yake sasa anafukuza tu watu bila sababu za msingi, alianza mwenyekiti akaja Senzo, mara Manara now kocha anaondoka.
Kwani cha ajabu nini hapo mkuu? Mbona sisi tulimtimua yule kocha aliyetuita Manyani?
 
Nimekuuliza swali dogo sana, ila maelezo mengi na sijaona jibu lake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…