TANZIA Pacha waliotenganishwa, mmoja afariki dunia

Naomba kuuliza na kifo cha mtoto huyo kimepangwa na Mungu. Mbona Mungu karuhusu watoto wadogo wateseke hivyo.

Kama kiumbe kinaumbwa nae kwa nini awaumbe wameungana?

Ngoja waje wafia dini zilizoletwa na mizungu na miarabu ili wawatawale with nonsensical answers.
 
Nilitaka kushangaa tangu lini Tanzania tukawa serious kiasi hiki na kufanya vitu vikafanikiwa.
Sisi tuko bora sana kwenye kimasihara lakini vitu vya maana mhh...
Msinipopoe mawe wakuu
Mimi,kwa watoto walioungana kama hawa,na wakati huo walikuwa na umri kama hawa,tulifanya mpango wakaenda india,na wakatenganishwa.sasa hivi wapo vizuri kabisa na wana miaka takriban sita sasa.
 
Tumeendekeza siasa kwenye kila jambo. Ni uzembe fukuza waziri wa afya…
 
Naomba kuuliza na kifo cha mtoto huyo kimepangwa na Mungu. Mbona Mungu karuhusu watoto wadogo wateseke hivyo.

Kama kiumbe kinaumbwa nae kwa nini awaumbe wameungana?
unataka kuwachokoza wafia dini wewe.[emoji1787]
 
Hakuna cha Mungu hapo hatujafikia level za kufanya hizo operation
Mbona Operation kama hiyo ilifanyika nadhani miaka 3 iliyopita Operation ikawa successiful, hadi leo watoto waliofanyiwa wana afya njema kabisa na wanaendelea vizuri.
Kama sijakosea wanaishi mkoa wa Pwani, sikumbuki wilaya/mji/Kijiji./

Hivyo usidharau huduma zitolewazo na wataalamu wetu, uwezo wanao tena mkubwa tu!
 
dah mtihani.
 
Nilitaka kushangaa tangu lini Tanzania tukawa serious kiasi hiki na kufanya vitu vikafanikiwa.
Sisi tuko bora sana kwenye kimasihara lakini vitu vya maana mhh...
Msinipopoe mawe wakuu
Some times hata sio mistake, shit will just happen no wonder.
 
Za dishi lililoyumba
Mkuu umechanganya mambo, dish lako ndiyo huwa linayumba lakini kwenye mada hii naona kiasi limekaa sawa japo ni kama linataka kuyumba tena. Panda miti kuzuia upepo, huu ni ushauri wangu kwako.
 
Pole mkuu kunywa dawa utapona
Mkuu umechanganya mambo, dish lako ndiyo huwa linayumba lakini kwenye mada hii naona kiasi limekaa sawa japo ni kama linataka kuyumba tena. Panda miti kuzuia upepo, huu ni ushauri wangu kwako.
 

Wacheni lawama zisizo maana hata wasioumwa wanakufa tu kila siku.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…