Melki Wamatukio
JF-Expert Member
- May 3, 2022
- 6,156
- 10,974
Awap, madokta wa bongo walikuwa wana kazi ya kukata kata vi neva vidogo vidogo tu, labda kubebelea utumbo tu! [emoji23][emoji23][emoji23]Kama hata katika hili unakosoa hivi unakua huwatendei haki madaktari waliojitahidi kutumia uwezo wao wote kuwafanya hao watoto wajitegemee.
Natania bhana