Mara ya kwanza naijua JF nlidhani wengi ni watu wenye welediHakuna cha Mungu hapo hatujafikia level za kufanya hizo operation
Nadhani ni sababu mengine yaliyokuwa nayaongelewa sikuwa na uelewa nayo
NB;tujaribu kufuatilia kabla ya kujibu vitu tusivyovielewa
Tu gugo basi hata kidogo