TANZIA Pacha waliotenganishwa, mmoja afariki dunia

TANZIA Pacha waliotenganishwa, mmoja afariki dunia

Hakuna cha Mungu hapo hatujafikia level za kufanya hizo operation
Mara ya kwanza naijua JF nlidhani wengi ni watu wenye weledi
Nadhani ni sababu mengine yaliyokuwa nayaongelewa sikuwa na uelewa nayo
NB;tujaribu kufuatilia kabla ya kujibu vitu tusivyovielewa
Tu gugo basi hata kidogo
8C251912-0A2A-4E1A-B510-10FE0943E0F7.jpeg
 
Nilitaka kushangaa tangu lini Tanzania tukawa serious kiasi hiki na kufanya vitu vikafanikiwa.
Sisi tuko bora sana kwenye kimasihara lakini vitu vya maana mhh...
Msinipopoe mawe wakuu
Kama hata katika hili unakosoa hivi unakua huwatendei haki madaktari waliojitahidi kutumia uwezo wao wote kuwafanya hao watoto wajitegemee.
 
Kwa mbwembwe na matangazo kama yote Walikataa kuwapeleka watoto watu India wakajitutumua , ona sasa matokeo yake , mnafanya majarbio kwenye maisha ya watu , hii imetokea pia majuzi , mwamba kaugua ghafla tumefika hospital fulan , daktar amefanya kaz yake , daah Wana tukaona hapa chenga , inabd tumkimbize hospital kubwa Zaid , aisee daktar si akazingua et anasema atakaa fresh tuuu , aisee kufika jion mchizi wetu akakata moto tulijilaumu kinyama kumsikiliza daktar wa mchongo
Kwani huko India au Ulaya operesheni zote hufanikiwa?
 
Success rate ndio muhimu. Je hizi wanazofanya hapa Tz success rate ni kiasi gani? Wanaofanyiwa wanaishi muda gani?
Tuambie wewe. Operesheni ngapi za aina hiyo zimefanyika Tanzania na ngapi zilifanikiwa? Vivyo hivyo kwa India na Ulaya. Hapo ndipo tutaweza kulinganisha ufanisi.
 
Success rate ndio muhimu. Je hizi wanazofanya hapa Tz success rate ni kiasi gani? Wanaofanyiwa wanaishi muda gani?
Mkuu we umeshawahi kusikia ngap zimefanyika hapa bongo?
Vipi kuhusu upandikizaji wa figo?
Ngapi zimefeli ngapi zimefanikiwa?
Je ukilinganisha na za wenzetu sisi tuko position ipi?
 

Attachments

  • A832491A-6765-4FCF-AEDE-61D33B5C40D8.jpeg
    A832491A-6765-4FCF-AEDE-61D33B5C40D8.jpeg
    46.2 KB · Views: 6
Tuambie wewe. Operesheni ngapi za aina hiyo zimefanyika Tanzania na ngapi zilifanikiwa? Vivyo hivyo kwa India na Ulaya. Hapo ndipo tutaweza kulinganisha ufanisi.
Sina takwimu ndio maana nimeuliza. Btw nikwambie mimi kama nani?
 
1.Hivi wangewaacha ndio ingekuwa mbaya zaidi?
2.Mbona walikuwa na afya nzuri tu kabla ya operation?
3.Sasa wangeachwa wangeishije na kufaje?
Maswali ni mengi kuliko majibu
 
Back
Top Bottom