TANZIA Pacha waliotenganishwa, mmoja afariki dunia

TANZIA Pacha waliotenganishwa, mmoja afariki dunia

Nilitaka kushangaa tangu lini Tanzania tukawa serious kiasi hiki na kufanya vitu vikafanikiwa.
Sisi tuko bora sana kwenye kimasihara lakini vitu vya maana mhh...
Msinipopoe mawe wakuu
Usingekuwa mrembo ningekupiga jiwe usoni ila kwakuwa Ni mrembo ntakupiga na kitu kingine

Msiwabeze Hawa jamaa ma Daktari,wengine hapa tunaishi kwa sababu ya utaalamu wao,siku mkifanyiwa operation mtawaheshimu Sana Hawa jamaa, kifo Cha huyo mtoto Ni mpango wa Mungu,Kama uliona picha ya ile team kulikuwa na mchina,na hao wataalamu wetu hawajasomea chini ya muembe huko Tandare Ni wazi ujuzi wamepata nje
 
Nilitaka kushangaa tangu lini Tanzania tukawa serious kiasi hiki na kufanya vitu vikafanikiwa.
Sisi tuko bora sana kwenye kimasihara lakini vitu vya maana mhh...
Msinipopoe mawe wakuu
Duh! au basi
 
Kwa mbwembwe na matangazo kama yote Walikataa kuwapeleka watoto watu India wakajitutumua , ona sasa matokeo yake , mnafanya majarbio kwenye maisha ya watu , hii imetokea pia majuzi , mwamba kaugua ghafla tumefika hospital fulan , daktar amefanya kaz yake , daah Wana tukaona hapa chenga , inabd tumkimbize hospital kubwa Zaid , aisee daktar si akazingua et anasema atakaa fresh tuuu , aisee kufika jion mchizi wetu akakata moto tulijilaumu kinyama kumsikiliza daktar wa mchongo
rubish
 
Nilitaka kushangaa tangu lini Tanzania tukawa serious kiasi hiki na kufanya vitu vikafanikiwa.
Sisi tuko bora sana kwenye kimasihara lakini vitu vya maana mhh...
Msinipopoe mawe wakuu
Tanzania na vitu vya serous wapi na wapi, japo ni vizuri ku appreciate vyetu lakini ukweli lazima tuuseme. Eti tunafanya tafiti ya chanjo yetu ya Corona hahahaahhaha yaani sisi bhana. Back to the topic, may her soul rest in peace
 
Kwa mbwembwe na matangazo kama yote Walikataa kuwapeleka watoto watu India wakajitutumua , ona sasa matokeo yake , mnafanya majarbio kwenye maisha ya watu , hii imetokea pia majuzi , mwamba kaugua ghafla tumefika hospital fulan , daktar amefanya kaz yake , daah Wana tukaona hapa chenga , inabd tumkimbize hospital kubwa Zaid , aisee daktar si akazingua et anasema atakaa fresh tuuu , aisee kufika jion mchizi wetu akakata moto tulijilaumu kinyama kumsikiliza daktar wa mchongo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mkuu nacheka kama mazuri, poleni sana mkuu
 
Kwa mbwembwe na matangazo kama yote Walikataa kuwapeleka watoto watu India wakajitutumua , ona sasa matokeo yake , mnafanya majarbio kwenye maisha ya watu , hii imetokea pia majuzi , mwamba kaugua ghafla tumefika hospital fulan , daktar amefanya kaz yake , daah Wana tukaona hapa chenga , inabd tumkimbize hospital kubwa Zaid , aisee daktar si akazingua et anasema atakaa fresh tuuu , aisee kufika jion mchizi wetu akakata moto tulijilaumu kinyama kumsikiliza daktar wa mchongo
Mnapaswa kuwa na imani na ma Daktari, Mimi nimeumwa Sana kiasi kwamba hata kupiga mswaki Ni kwa tabu,kwenda chooni siwezi na hata kujigeuza kitandani siwezi ,kupumua pia siwezi,it was Covid 19, siku ikikupata ndio unaweza kuelewa ukubwa wa tatizo

Nikaenda hospital,kufika nikapimwa vipimo vingi Sana na mwisho ikawa suggested (sio proven) kwamba hii Ni Covid maana hakuna kipimo Cha Covid huko , Basi Daktari akaniandikia dawa na kuniambia nirudi nyumbani kwakuwa naishi peke yangu, na nikapona baada ya Kama week mbili
 
Mtoto mmoja kati ya waliofanyiwa upasuaji wa kutenganishwa katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), Neema amefariki dunia wakati akiendelea na matibabu Jumapili Julai 10, 2022.

Taarifa ya Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano kwa Umma wa MNH, Aminiel Aligaesha imeeleza kuwa hali ya Neema ilibadilika ghafla akiwa katika Chumba cha Wagonjwa Mahututi (ICU).

Aminiel Aligaesha amesema: "Nasikitika kukufahamisha kuwa mtoto Neema ambaye alitenganishwa na mwenzake Rehema amefariki jumapili ya tarehe 10 Julai saa 3 asubuhi. Akiwa ICU hali yake ilibadikika gafla, madaktari walijitahidi kurudisha hali yake bila mafanikio na hatimaye kupoteza maisha. Twendelee kumwombea Rehema ambaye bado yupo ICU ili Mwenyezi Mungu amjalie afya njema. Bwana alitoa na Bwana ametoa, jina lake lihimidiwe sana."
 
Kama hata katika hili unakosoa hivi unakua huwatendei haki madaktari waliojitahidi kutumia uwezo wao wote kuwafanya hao watoto wajitegemee.
Kwanini wafanye kazi kwa kubahatisha huku wakirisk uhai wa binadamu, hiyo operation ingefanyika India ambao tayari wana experience nzuri juu ya maswala haya kungekuwa na tatizo gani?
 
1. Tujadili kinsi ya kusaidia kufanikisha opereshen zingine kama hizi in the future
2. Tuangalie njia ya kuboresha health systems zetu
3. Tuacheni kumuandama Nakadori as if ye ndo kasababisha kifo cha the pacha
 
Bahati mbaya sana, hata hao madaktari walijua tu what's result ila nao walimwachia Mungu
 
Back
Top Bottom