Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usingekuwa mrembo ningekupiga jiwe usoni ila kwakuwa Ni mrembo ntakupiga na kitu kingineNilitaka kushangaa tangu lini Tanzania tukawa serious kiasi hiki na kufanya vitu vikafanikiwa.
Sisi tuko bora sana kwenye kimasihara lakini vitu vya maana mhh...
Msinipopoe mawe wakuu
Duh! au basiNilitaka kushangaa tangu lini Tanzania tukawa serious kiasi hiki na kufanya vitu vikafanikiwa.
Sisi tuko bora sana kwenye kimasihara lakini vitu vya maana mhh...
Msinipopoe mawe wakuu
Sasa tutafika lini tusipoanza sasa! Aisee hatari na nusuHakuna cha Mungu hapo hatujafikia level za kufanya hizo operation
Ndio tufanyie majaribio kwa malaika wetu kweli?Sasa tutafika lini tusipoanza sasa! Aisee hatari na nusu
rubishKwa mbwembwe na matangazo kama yote Walikataa kuwapeleka watoto watu India wakajitutumua , ona sasa matokeo yake , mnafanya majarbio kwenye maisha ya watu , hii imetokea pia majuzi , mwamba kaugua ghafla tumefika hospital fulan , daktar amefanya kaz yake , daah Wana tukaona hapa chenga , inabd tumkimbize hospital kubwa Zaid , aisee daktar si akazingua et anasema atakaa fresh tuuu , aisee kufika jion mchizi wetu akakata moto tulijilaumu kinyama kumsikiliza daktar wa mchongo
Tanzania na vitu vya serous wapi na wapi, japo ni vizuri ku appreciate vyetu lakini ukweli lazima tuuseme. Eti tunafanya tafiti ya chanjo yetu ya Corona hahahaahhaha yaani sisi bhana. Back to the topic, may her soul rest in peaceNilitaka kushangaa tangu lini Tanzania tukawa serious kiasi hiki na kufanya vitu vikafanikiwa.
Sisi tuko bora sana kwenye kimasihara lakini vitu vya maana mhh...
Msinipopoe mawe wakuu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwa mbwembwe na matangazo kama yote Walikataa kuwapeleka watoto watu India wakajitutumua , ona sasa matokeo yake , mnafanya majarbio kwenye maisha ya watu , hii imetokea pia majuzi , mwamba kaugua ghafla tumefika hospital fulan , daktar amefanya kaz yake , daah Wana tukaona hapa chenga , inabd tumkimbize hospital kubwa Zaid , aisee daktar si akazingua et anasema atakaa fresh tuuu , aisee kufika jion mchizi wetu akakata moto tulijilaumu kinyama kumsikiliza daktar wa mchongo
Mnapaswa kuwa na imani na ma Daktari, Mimi nimeumwa Sana kiasi kwamba hata kupiga mswaki Ni kwa tabu,kwenda chooni siwezi na hata kujigeuza kitandani siwezi ,kupumua pia siwezi,it was Covid 19, siku ikikupata ndio unaweza kuelewa ukubwa wa tatizoKwa mbwembwe na matangazo kama yote Walikataa kuwapeleka watoto watu India wakajitutumua , ona sasa matokeo yake , mnafanya majarbio kwenye maisha ya watu , hii imetokea pia majuzi , mwamba kaugua ghafla tumefika hospital fulan , daktar amefanya kaz yake , daah Wana tukaona hapa chenga , inabd tumkimbize hospital kubwa Zaid , aisee daktar si akazingua et anasema atakaa fresh tuuu , aisee kufika jion mchizi wetu akakata moto tulijilaumu kinyama kumsikiliza daktar wa mchongo
Mtoto mmoja kati ya waliofanyiwa upasuaji wa kutenganishwa katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), Neema amefariki dunia wakati akiendelea na matibabu Jumapili Julai 10, 2022.
Taarifa ya Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano kwa Umma wa MNH, Aminiel Aligaesha imeeleza kuwa hali ya Neema ilibadilika ghafla akiwa katika Chumba cha Wagonjwa Mahututi (ICU).
Aminiel Aligaesha amesema: "Nasikitika kukufahamisha kuwa mtoto Neema ambaye alitenganishwa na mwenzake Rehema amefariki jumapili ya tarehe 10 Julai saa 3 asubuhi. Akiwa ICU hali yake ilibadikika gafla, madaktari walijitahidi kurudisha hali yake bila mafanikio na hatimaye kupoteza maisha. Twendelee kumwombea Rehema ambaye bado yupo ICU ili Mwenyezi Mungu amjalie afya njema. Bwana alitoa na Bwana ametoa, jina lake lihimidiwe sana."
Ulitaka wakafanyie kwa wanyama walioungana!!Ndio tufanyie majaribio kwa malaika wetu kweli?
I was thinking the sameNilitaka kushangaa tangu lini Tanzania tukawa serious kiasi hiki na kufanya vitu vikafanikiwa.
Sisi tuko bora sana kwenye kimasihara lakini vitu vya maana mhh...
Msinipopoe mawe wakuu
Kwanini wafanye kazi kwa kubahatisha huku wakirisk uhai wa binadamu, hiyo operation ingefanyika India ambao tayari wana experience nzuri juu ya maswala haya kungekuwa na tatizo gani?Kama hata katika hili unakosoa hivi unakua huwatendei haki madaktari waliojitahidi kutumia uwezo wao wote kuwafanya hao watoto wajitegemee.
Mkuu kumbe wakati mwingine dish huwa lina kaa sawa? Kwa hili I second you.R.I.P Little Angel. Pole kwa mama wa watoto ni maumivu sana kupoteza mtoto.
Ninacholaumu ni siasa kuwekwa kwenye matibabu ya wale watoto.
🤣🤣🤣I was thinking the same