Nakadori
JF-Expert Member
- Sep 21, 2011
- 8,778
- 21,010
Kweli aseeUsingekuwa mrembo ningekupiga jiwe usoni ila kwakuwa Ni mrembo ntakupiga na kitu kingine
Msiwabeze Hawa jamaa ma Daktari,wengine hapa tunaishi kwa sababu ya utaalamu wao,siku mkifanyiwa operation mtawaheshimu Sana Hawa jamaa, kifo Cha huyo mtoto Ni mpango wa Mungu,Kama uliona picha ya ile team kulikuwa na mchina,na hao wataalamu wetu hawajasomea chini ya muembe huko Tandare Ni wazi ujuzi wamepata nje