Tetesi: Pacome Zouzou ni mnyama

Wanakwenda Ihefu bhana
 
Tukubali tu ukweli! Rage aliwaza mbali sana pale alipowaita mbumbumbu.
 
Hapo sawa.
Mangungu na Try Again mitano tena.
 
nyinyi makolo hata mumnunue vini na jude bado chini ya jaribu tena na mangungu hamtatoboa mbele ya injinia na arafat
 
Muibeni tena kama mlivyofanya kwa Ngoma. Mnasikitisha na hamjifunzi. Ila sina wasiwasi na Uongozi wa Yanga. Wale Wakongo Juma Shaban na Bangala na Ugari Sukari wana habari, na ndiyo timu inaimarika. Nyie Chukueni tu mlivyombumbumbu.
 
Timu ya kwanza kwenda na kibegi Mlima Kilimanjaro.....
 
ili kupata kichekesho hichi nibonyeze ngapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…