RESILIENT KATO
JF-Expert Member
- Aug 21, 2024
- 1,472
- 2,766
TEK imekua active sana kipindi hiki kupitia huyu katibu wake!!!
Tunaamini kelele hizi zinakishindo kikuuu kabisa!!
Tunaamini kelele hizi zinakishindo kikuuu kabisa!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ameongea kama padri na sio kanisa.Mengine nadhani sio wajibu wa kanisa bali inaweza kua uchochezi zaidi 🐒
Wajaribu waone. Narudia, wajaribu waone.Mungu mlinde Padri Kitima ili naye asitekwe
Hawajawahi kuwa na aibu wala hawajawahi kuogopa MunguWajaribu waone. Narudia, wajaribu waone.
actually ni kama kiongozi wa upinzani tu wanavyolalamikia uzushi wa kinadharia 🐒Ameongea kama padri na sio kanisa.
Endeleeni kuua na sisi Kanisa tutaendelea kuwalaani.Kama kanisa inafaa kuiombea Neema na Baraka za Mungu familia ya Mzee Kibao..
Lakin zaid sana kumuombea huruma ya Mungu muuaji wa Mzee Kibao.
Mengine nadhani sio wajibu wa kanisa bali inaweza kua uchochezi zaidi 🐒
Hii ndo R.C bwana, cheza na mengine usicheze na kanisa hili , kweli yule mzee hapakuepo na sababu ya kumuua kinyama, bila kujali alikua mtumishi jeshini lakini je threat yake ilikua kubwa kiasi gani , katika nchi yenye wanajeshi , na vyombo vingine vya kiusalama?Padre Dkt. Charles Kitima, Katibu Mkuu wa Baraza la Maaskofu wa Kanisa Katoliki Tanzania (TEC), ametoa kauli nzito akisema kuwa viongozi wa dini lazima waonyeshe wazi kwamba aliyehusika katika mauaji ya Ally Mohamed Kibao amefanya kosa kubwa na ni laana kwa Mwenyezi Mungu.
Pia, Soma: Dar: Ali Mohamed Kibao, kiongozi wa CHADEMA auawa na mwili kutelekezwa Ununio ukiwa umeharibika sana
Akizungumza kuhusu tukio hilo, Padre Kitima alisisitiza kuwa, "Aliyemuua Kibao amefanya kosa baya na ni laana kwa Mwenyezi Mungu. Kama viongozi wa dini, lazima tuseme hili. Tunalaani vikali vitendo vya uhalifu kama hivi."
Aliongeza, "Unafikiri watoto wa Mzee Kibao, aliyeuawa kinyama, wataonana vema na wale wanaohisiwa? Hii imejenga chuki kubwa kati ya familia na jamii. Tunapiga vita, tuna laani, na tunahitaji aliyemuua Kibao atubu kwa Mungu wake au achukuliwe hatua na sheria."
Padre Kitima alisisitiza kuwa, kama viongozi wa dini, ni jukumu lao kutoa ujumbe wa haki na amani, na kuonya dhidi ya vitendo vya kinyama vinavyovuruga jamii na kuleta machafuko.
Soma:
- Familia ya Mzee Ali Kibao yatuma ujumbe kwa Rais Samia, yaomba uchunguzi wa wazi pamoja na kutoa kauli kali dhidi ya wahusika wa utekaji na mauaji
- CHADEMA: Mzee Ali Kibao ametekwa na Vyombo vya Ulinzi na Usalama akiwa kwenye basi. Usalama wa Taifa waeleze alipo
- John Mnyika aitwa Polisi kwa uchunguzi mauaji ya Ally Mohamed Kibao
Unahaha sana ndugu.Ndiyo maana nasema ni huruma ya Mungu pekee ndio inaweza kumpatia ahuweni muuaji yeyeto yule na sio mbambamba nyinginezo 🐒
actually padre kitima anajaribu kujipambanua tu kwamba ana maslahi gani katika siasa Tanzania.Padre Kitima yuko sahihi kabisa, mauaji hayo yamesababisha chuki kubwa sana kati ya Wananchi wa kawaida ambao ni wapenda haki dhidi ya Serikali na CCM, hususani kuibuka kwa chuki kati ya raia dhidi ya Jeshi la Polisi na TISS ambao kwenye mkasa huu wanashukiwa Moja kwa Moja kuhusika na mauaji hayo ya kinyama.
Kabisa Lina wajibu wa kukemea uovu mbaya kama huo.
Je, wewe binafsi ungejisikiaje endapo kama huyo mzee aliyeuawa kwenye mkasa huu angekuwa baba yako mzazi?
anae mbwelambwela ni Fr.Kitima na chadema gentleman🐒Unahaha sana ndugu.
Nyie endeleeni kuua huku mkiisogelea kwa kasi ghadhabu ya Muumba.
Msipotubu hakika kuzimu ina njaa nanyi
Fr kitima tunamvumilia kumsikiliza ili tupate namna ya kumjibu na kumpuuza ingawa wengi wameanza kukwepa humilia zake za siasa za kulalamikia kila kitu bila kutoa suluhisho 🐒Endeleeni kuua na sisi Kanisa tutaendelea kuwalaani.
Usitupangie cha kufanya. Mauti iwafunike
kwahiyo Mungu ana huruma na nani sasa gentleman? 🤣Mungu hana huruma na muuaje ila gadhabu,hasira na kisasi jua yake. Soma maandiko kwa undani
KANISA KATOLIKI LINAFANYA HAYO KIMKAKATI ZAIDI NA INAFAHAMIKA,WAPO KAZINI NA HUSUSANI MWAKANI NI MWAKA WA UCHAGUZI BASI WAMEONA NI BORA HARAKATI ZAO WAZIANZE MAPEMA ZAIDI.Kanisa Katoliki kwa sasa ndiye msemaji pekee wa Wanyonge, ndugu zetu wa imani zingine tuungane na kanisa Katoliki kulaani ukatili unaoendelea kwa sasa nchini!
kanisa liko kwaajili ya wenye dhambi sio watakatifu gentlemanWewe ni ficcm
Hiyo ni kulingana na Neema na Baraka za Mungu kwa mtu huyo gentleman...ahueni ipi??? Yuda iskariote alipata ahueni, au kwenda kuzimu kwako ndio ahueni! labda km ni hivyo uko sawa kulingana na unavyofahamu, lkn hiyo si ahueni! ahueni ni kuungama na kutubu kwa Mungu na kwa wanadamu hasa kwa familia ya Mzee Kibao!
Itakuwa ni sawa na kumuelimisha juha km unachokisema huwezi kutoa reference yoyote..sasa umetoka kwenye huruma ya Mungu umeenda kwenye Neema na Baraka ya Mungu..unafahamu hata maana ya maneno haya au unajitamkia tu..! soma kisa cha muuaji wa kwanza Kaini na vile Mungu alisema nae kwa habari ya kitendo alichofanya.Hiyo ni kulingana na Neema na Baraka za Mungu kwa mtu huyo gentleman.
unaungama nini sasa kama sio kuomba huruma ya Mungu? 🤣
au wewe huwa unaungama kwa nani na kusamehewa dhambi ya kuua?🤣
unaungama kwa wanadamu?🤣
Itakuwa underwear yako imeshonewa na kitambaaa Cha bendera ya ccm sio bure ,huo uchochezi uko wap sasa😏😏😏😏Kama kanisa inafaa kuiombea Neema na Baraka za Mungu familia ya Mzee Kibao..
Lakin zaid sana kumuombea huruma ya Mungu muuaji wa Mzee Kibao.
Mengine nadhani sio wajibu wa kanisa bali inaweza kua uchochezi zaidi 🐒
Mtawala akiwa mkatoliki,hitomsikia padre kitimaMufti kazi kujipendekeza Kwa watawala tu