Padre Dkt. Kitima: Zipo nchi siku hizi zinakuja kujifunza siasa chafu Tanzania

Padre Dkt. Kitima: Zipo nchi siku hizi zinakuja kujifunza siasa chafu Tanzania

Quinine

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2010
Posts
22,227
Reaction score
49,628
Ni aibu hii sio nchi aliyoiacha Mwalimu Nyerere ambayo ilikuwa ni mwenyeji wa vikundi vingi vya wapigania uhuru na kutoa hifadhi ikiwepo Makao Makuu ya Kamati ya Ukombozi ya Bara la Afrika. Miongoni mwa waliowahi kuishi Tanzania ni Nelson Mandela na Samora Machel.

“Nchi ambayo ilikuwa inakimbiliwa na kila mtu kuja kujifunza siasa safi, sasa hivi zipo nchi zinakuja kujifunza siasa chafu. Kuna nchi moja imejifunza juzi siasa zetu chafu tulizozifanya 2020, tunavyoongea hapa sasa hivi wanauana, walikuja wakajifunza hapa, na mwaka huu pia walikuja. Tuliwafundisha siasa safi wakawa wana uvumilivu lakini juzi tukawafundisha siasa chafu; namna ya kuwashughulikia wapinzani, wamewashughilikia wapinzani na hali ni mbaya kule”- Padre Dkt. Charles Kitima.

Leo ni tofauti wahuni wanaotaka kuharibu demokrasia za nchi zao, kujifunza kuiba kura na kupindua matokeo ya uchaguzi na kuweka vibaraka wao ndio tunaowakaribisha kuja kujifunza siasa chafu kutoka kwetu. Aibu.

GcF6MFxW4AEqmnw.jpg
 
CCM sasa hivi wamefikia kiwango cha juu kabisa cha dhuluma wanazozifanya dhidi ya wananchi,kinachofanya nchi iendelee kuwa na utulivu ni uoga wa wananchi lakini siku ikitokea watu wakasema sasa basi liwalo na liwe moto utawaka.

Maana sasa hivi ccm wamewadharau wananchi na kuona hawana ubavu wa kufanya chochote na wananchi wenyewe wanajua kama wanadharauliwa.
 
Ni aibu hii sio nchi aliyoiacha Mwalimu Nyerere ambayo ilikuwa ni mwenyeji wa vikundi vingi vya wapigania uhuru na kutoa hifadhi ikiwepo Makao Makuu ya Kamati ya Ukombozi ya Bara la Afrika. Miongoni mwa waliowahi kuishi Tanzania ni Nelson Mandela na Samora Machel.

“Nchi ambayo ilikuwa inakimbiliwa na kila mtu kuja kujifunza siasa safi, sasa hivi zipo nchi zinakuja kujifunza siasa chafu. Kuna nchi moja imejifunza juzi siasa zetu chafu tulizozifanya 2020, tunavyoongea hapa sasa hivi wanauana, walikuja wakajifunza hapa, na mwaka huu pia walikuja. Tuliwafundisha siasa safi wakawa wana uvumilivu lakini juzi tukawafundisha siasa chafu; namna ya kuwashughulikia wapinzani, wamewashughilikia wapinzani na hali ni mbaya kule”- Padre Dkt. Charles Kitima.

Leo ni tofauti wahuni wanaotaka kuharibu demokrasia za nchi zao, kujifunza kuiba kura na kupindua matokeo ya uchaguzi na kuweka vibaraka wao ndio tunaowakaribisha kuja kujifunza siasa chafu kutoka kwetu. Aibu.

wanaacha kuhubiri dini wanataka kuwa wanasiasa ni ujinga wa hali ya juu hawa wanaojifanya watumnishi kumbe wanasiasa
 
Ccm ni laana ya hili taifa
Ni aibu hii sio nchi aliyoiacha Mwalimu Nyerere ambayo ilikuwa ni mwenyeji wa vikundi vingi vya wapigania uhuru na kutoa hifadhi ikiwepo Makao Makuu ya Kamati ya Ukombozi ya Bara la Afrika. Miongoni mwa waliowahi kuishi Tanzania ni Nelson Mandela na Samora Machel.

“Nchi ambayo ilikuwa inakimbiliwa na kila mtu kuja kujifunza siasa safi, sasa hivi zipo nchi zinakuja kujifunza siasa chafu. Kuna nchi moja imejifunza juzi siasa zetu chafu tulizozifanya 2020, tunavyoongea hapa sasa hivi wanauana, walikuja wakajifunza hapa, na mwaka huu pia walikuja. Tuliwafundisha siasa safi wakawa wana uvumilivu lakini juzi tukawafundisha siasa chafu; namna ya kuwashughulikia wapinzani, wamewashughilikia wapinzani na hali ni mbaya kule”- Padre Dkt. Charles Kitima.

Leo ni tofauti wahuni wanaotaka kuharibu demokrasia za nchi zao, kujifunza kuiba kura na kupindua matokeo ya uchaguzi na kuweka vibaraka wao ndio tunaowakaribisha kuja kujifunza siasa chafu kutoka kwetu. Aibu.

fa
 
Ni aibu hii sio nchi aliyoiacha Mwalimu Nyerere ambayo ilikuwa ni mwenyeji wa vikundi vingi vya wapigania uhuru na kutoa hifadhi ikiwepo Makao Makuu ya Kamati ya Ukombozi ya Bara la Afrika. Miongoni mwa waliowahi kuishi Tanzania ni Nelson Mandela na Samora Machel.

“Nchi ambayo ilikuwa inakimbiliwa na kila mtu kuja kujifunza siasa safi, sasa hivi zipo nchi zinakuja kujifunza siasa chafu. Kuna nchi moja imejifunza juzi siasa zetu chafu tulizozifanya 2020, tunavyoongea hapa sasa hivi wanauana, walikuja wakajifunza hapa, na mwaka huu pia walikuja. Tuliwafundisha siasa safi wakawa wana uvumilivu lakini juzi tukawafundisha siasa chafu; namna ya kuwashughulikia wapinzani, wamewashughilikia wapinzani na hali ni mbaya kule”- Padre Dkt. Charles Kitima.

Leo ni tofauti wahuni wanaotaka kuharibu demokrasia za nchi zao, kujifunza kuiba kura na kupindua matokeo ya uchaguzi na kuweka vibaraka wao ndio tunaowakaribisha kuja kujifunza siasa chafu kutoka kwetu. Aibu.

Nelson Mandela HAJAWAHI kuishi Tanzania, bali alipita tu kwa siku kadhaa lengo ni kuomba kutumia passport ya Tanzania akiwa kwenye ziara ya nchi mnalimbali akiomba misaada ya chama chake cha ANC na tawi alilolianzisha la kijeshi la Umkhonto we Sizwe. Tena alikuwa analala kwa Waziri mmoja hivi hadi akasahau viatu vyake. Mzee Kikwete alimpelekea viatu vyake wakati wa msiba wake!😄😄😄😄
Kwa ushahidi zaidi, soma kitabu chake alichoandika mwenyewe cha "The Long Walk to Freedom".
 
Kwa staili ya siasa za kigaidi zinazofanywa na CCM na Serikali yake huko mbele ya safari Tanzania itachukuliwa kama baba wa na mfadhili wa magenge ya kigaidi duniani kama ilivyo Iran sasa hivi. CCM ni genge la kigaidi linalotumia mabavu ya vyombo vya dola kuendelea kutawala.
 
wanaacha kuhubiri dini wanataka kuwa wanasiasa ni ujinga wa hali ya juu hawa wanaojifanya watumnishi kumbe wanasiasa

Hapo anakemea maovu yanayotokea kwenye jamii .
Kuhubiri dini ni pamoja na kukemea maovu yanayofanywa hata na wanasiasa.
Kwa hiyo wanasiasa wakifanya maovu viongozi wa dini wakae kimya wasikemee kwamba wataonekana wanafanya siasa?
 
Ni aibu hii sio nchi aliyoiacha Mwalimu Nyerere ambayo ilikuwa ni mwenyeji wa vikundi vingi vya wapigania uhuru na kutoa hifadhi ikiwepo Makao Makuu ya Kamati ya Ukombozi ya Bara la Afrika. Miongoni mwa waliowahi kuishi Tanzania ni Nelson Mandela na Samora Machel.

“Nchi ambayo ilikuwa inakimbiliwa na kila mtu kuja kujifunza siasa safi, sasa hivi zipo nchi zinakuja kujifunza siasa chafu. Kuna nchi moja imejifunza juzi siasa zetu chafu tulizozifanya 2020, tunavyoongea hapa sasa hivi wanauana, walikuja wakajifunza hapa, na mwaka huu pia walikuja. Tuliwafundisha siasa safi wakawa wana uvumilivu lakini juzi tukawafundisha siasa chafu; namna ya kuwashughulikia wapinzani, wamewashughilikia wapinzani na hali ni mbaya kule”- Padre Dkt. Charles Kitima.

Leo ni tofauti wahuni wanaotaka kuharibu demokrasia za nchi zao, kujifunza kuiba kura na kupindua matokeo ya uchaguzi na kuweka vibaraka wao ndio tunaowakaribisha kuja kujifunza siasa chafu kutoka kwetu. Aibu.

Kapiga kwenye mshono!
Msumbiji chama tawala,kimefsnya Yale yafanywayo na mi ccm
 
Back
Top Bottom