Padre Dkt. Kitima: Zipo nchi siku hizi zinakuja kujifunza siasa chafu Tanzania

Padre Dkt. Kitima: Zipo nchi siku hizi zinakuja kujifunza siasa chafu Tanzania

Ni aibu hii sio nchi aliyoiacha Mwalimu Nyerere ambayo ilikuwa ni mwenyeji wa vikundi vingi vya wapigania uhuru na kutoa hifadhi ikiwepo Makao Makuu ya Kamati ya Ukombozi ya Bara la Afrika. Miongoni mwa waliowahi kuishi Tanzania ni Nelson Mandela na Samora Machel.

“Nchi ambayo ilikuwa inakimbiliwa na kila mtu kuja kujifunza siasa safi, sasa hivi zipo nchi zinakuja kujifunza siasa chafu. Kuna nchi moja imejifunza juzi siasa zetu chafu tulizozifanya 2020, tunavyoongea hapa sasa hivi wanauana, walikuja wakajifunza hapa, na mwaka huu pia walikuja. Tuliwafundisha siasa safi wakawa wana uvumilivu lakini juzi tukawafundisha siasa chafu; namna ya kuwashughulikia wapinzani, wamewashughilikia wapinzani na hali ni mbaya kule”- Padre Dkt. Charles Kitima.

Leo ni tofauti wahuni wanaotaka kuharibu demokrasia za nchi zao, kujifunza kuiba kura na kupindua matokeo ya uchaguzi na kuweka vibaraka wao ndio tunaowakaribisha kuja kujifunza siasa chafu kutoka kwetu. Aibu.


wanaacha kuhubiri dini wanataka kuwa wanasiasa ni ujinga wa hali ya juu hawa wanaojifanya watumnishi kumbe wanasiasa
CCM wenyewe tu kwenye kura za maoni wameumizana kura zimeibiwa na wamerudishwa vilaza na washenzi kwenye nafasi za kugombea CCM haitaki kusikiliza wanachama wake yenyewe.hilo nalo hulioni linaweza lisiwe kosa lako pia labda hukulelewa vzr na wazazi wako ili ujue ubaya ni nn.
 
Ni aibu hii sio nchi aliyoiacha Mwalimu Nyerere ambayo ilikuwa ni mwenyeji wa vikundi vingi vya wapigania uhuru na kutoa hifadhi ikiwepo Makao Makuu ya Kamati ya Ukombozi ya Bara la Afrika. Miongoni mwa waliowahi kuishi Tanzania ni Nelson Mandela na Samora Machel.

“Nchi ambayo ilikuwa inakimbiliwa na kila mtu kuja kujifunza siasa safi, sasa hivi zipo nchi zinakuja kujifunza siasa chafu. Kuna nchi moja imejifunza juzi siasa zetu chafu tulizozifanya 2020, tunavyoongea hapa sasa hivi wanauana, walikuja wakajifunza hapa, na mwaka huu pia walikuja. Tuliwafundisha siasa safi wakawa wana uvumilivu lakini juzi tukawafundisha siasa chafu; namna ya kuwashughulikia wapinzani, wamewashughilikia wapinzani na hali ni mbaya kule”- Padre Dkt. Charles Kitima.

Leo ni tofauti wahuni wanaotaka kuharibu demokrasia za nchi zao, kujifunza kuiba kura na kupindua matokeo ya uchaguzi na kuweka vibaraka wao ndio tunaowakaribisha kuja kujifunza siasa chafu kutoka kwetu. Aibu.

WAISIHARAMU WATAPINGA ...SAMIA BUSHIRI NI LAANA YA TAIFA NI FIRAUNI WA ZAMA HIZI
 
Ni aibu hii sio nchi aliyoiacha Mwalimu Nyerere ambayo ilikuwa ni mwenyeji wa vikundi vingi vya wapigania uhuru na kutoa hifadhi ikiwepo Makao Makuu ya Kamati ya Ukombozi ya Bara la Afrika. Miongoni mwa waliowahi kuishi Tanzania ni Nelson Mandela na Samora Machel.

“Nchi ambayo ilikuwa inakimbiliwa na kila mtu kuja kujifunza siasa safi, sasa hivi zipo nchi zinakuja kujifunza siasa chafu. Kuna nchi moja imejifunza juzi siasa zetu chafu tulizozifanya 2020, tunavyoongea hapa sasa hivi wanauana, walikuja wakajifunza hapa, na mwaka huu pia walikuja. Tuliwafundisha siasa safi wakawa wana uvumilivu lakini juzi tukawafundisha siasa chafu; namna ya kuwashughulikia wapinzani, wamewashughilikia wapinzani na hali ni mbaya kule”- Padre Dkt. Charles Kitima.

Leo ni tofauti wahuni wanaotaka kuharibu demokrasia za nchi zao, kujifunza kuiba kura na kupindua matokeo ya uchaguzi na kuweka vibaraka wao ndio tunaowakaribisha kuja kujifunza siasa chafu kutoka kwetu. Aibu.

Yes,
ni kama wewe Fr. Kitima unavyo fanya bidii sana kuligawanya kanisa katoliki kwa siasa chafu za chuki na mirengo.

Na hizo siasa chafu hiyo nchi anayoisema ilikuja kujifunza Tz, bilashaka ilifundishwa siasa chafu na kanisa katoliki Tanzania right ??🐒
 
Ni aibu hii sio nchi aliyoiacha Mwalimu Nyerere ambayo ilikuwa ni mwenyeji wa vikundi vingi vya wapigania uhuru na kutoa hifadhi ikiwepo Makao Makuu ya Kamati ya Ukombozi ya Bara la Afrika. Miongoni mwa waliowahi kuishi Tanzania ni Nelson Mandela na Samora Machel.

“Nchi ambayo ilikuwa inakimbiliwa na kila mtu kuja kujifunza siasa safi, sasa hivi zipo nchi zinakuja kujifunza siasa chafu. Kuna nchi moja imejifunza juzi siasa zetu chafu tulizozifanya 2020, tunavyoongea hapa sasa hivi wanauana, walikuja wakajifunza hapa, na mwaka huu pia walikuja. Tuliwafundisha siasa safi wakawa wana uvumilivu lakini juzi tukawafundisha siasa chafu; namna ya kuwashughulikia wapinzani, wamewashughilikia wapinzani na hali ni mbaya kule”- Padre Dkt. Charles Kitima.

Leo ni tofauti wahuni wanaotaka kuharibu demokrasia za nchi zao, kujifunza kuiba kura na kupindua matokeo ya uchaguzi na kuweka vibaraka wao ndio tunaowakaribisha kuja kujifunza siasa chafu kutoka kwetu. Aibu.

Mimi ni mkristo tena KKKT mbona hatukumsikia akisema hiyo wakati wa chuma JPM? Na je hata baada ya ushindi wa kishindo 2020 mbona walimpongeza?
 
Ni aibu hii sio nchi aliyoiacha Mwalimu Nyerere ambayo ilikuwa ni mwenyeji wa vikundi vingi vya wapigania uhuru na kutoa hifadhi ikiwepo Makao Makuu ya Kamati ya Ukombozi ya Bara la Afrika. Miongoni mwa waliowahi kuishi Tanzania ni Nelson Mandela na Samora Machel.

“Nchi ambayo ilikuwa inakimbiliwa na kila mtu kuja kujifunza siasa safi, sasa hivi zipo nchi zinakuja kujifunza siasa chafu. Kuna nchi moja imejifunza juzi siasa zetu chafu tulizozifanya 2020, tunavyoongea hapa sasa hivi wanauana, walikuja wakajifunza hapa, na mwaka huu pia walikuja. Tuliwafundisha siasa safi wakawa wana uvumilivu lakini juzi tukawafundisha siasa chafu; namna ya kuwashughulikia wapinzani, wamewashughilikia wapinzani na hali ni mbaya kule”- Padre Dkt. Charles Kitima.

Leo ni tofauti wahuni wanaotaka kuharibu demokrasia za nchi zao, kujifunza kuiba kura na kupindua matokeo ya uchaguzi na kuweka vibaraka wao ndio tunaowakaribisha kuja kujifunza siasa chafu kutoka kwetu. Aibu.

Sidhani kama kuna Watanzania wanachukiavserikali yao ila selikali yao ndiyo haiwatendei Haki. Ni ukweli usiyo pingika Wananchi wengi wanakiunga mkono CCM ndiyo maana wanapata nguvu ya kubaki madarakani na hiyo ndiyo Demokrasia. Kuna figisu za hapa na pale kwenye chaguzi lakini haziwezi kusababisha matatizo yoyote kwa sababu watanzania walio wengi wamelidhia hizo figisufigisu. Basi mimi niseme tu, tutaendelea na siasa za namna hii mpaka watanzania watakapo amka wote, ila kwa sasa sioni Dalili yoyote ile yakuishinda CCM hata kwa Robo ya kura. Wana watu wengi wanawaunga mkono, wanafedha za kumwaga, wana watu wenye elimu nzuri, wanavyombo vyote vya dola na wana kila aina ya lasilimali yakuwawezesha kushinda. Wapinzani wasubiri hisani tu ya baadhi ya majimbo na mitaa watakayo pewa washukuru. Ila kushinda kwa uwezo wao, ng'ooo nakataa.
 
Padre Kitima huwa anachemka katika maoni yake mara nyingi tu.

Liberia walichinjana miaka ya nyuma na kwa sasa ni nchi imejaa vilema wanaotembea na magongo, na wao walikuja nchini kwetu kujifunza siasa za uhasama?.

Sudan na Somalia wanapigana kabla hata yeye hajajiunga seminary kusomea upadre, na wao wamejifunzia hapa Tanzania hizo siasa za chuki?.

Huyu ni meneja wa kampeni wa CHADEMA wa mwaka 2020, anajisahau na kuliingiza kanisa zima kwenye siasa za vyama vingi, halitendei haki kanisa na sisi waumini.
Analiingizaje Kanisa kwenye siasa while kila mtu ana itikadi yake ya kisiasa?
Hizo hoja ulizozijenga kupinga alichokisema Kitima ni 100% irrelevant based on time.
Kitima ametolea mfano wa hiyo nchi katika nyakati hizi, na si zamani..
Ukiangalia Somalia ilichafuka mda mrefu in 90's, Liberia tangu 1989 kulikuwa na machafuko Hadi miaka ya 97.
Machafuko ya hizo nchi yanafahamika sababu zake,lakini hili la Kitima kalizungumza kwa code zaidi na kimsingi hiyo nchi inafahamika endapo uta connect dots...
Shida yako wewe ni adui wa Chadema,na unafikiri yeyote anayetoa mawazo mbadala basi unamuweka kundi la Chadema tu...
 
Ni aibu hii sio nchi aliyoiacha Mwalimu Nyerere ambayo ilikuwa ni mwenyeji wa vikundi vingi vya wapigania uhuru na kutoa hifadhi ikiwepo Makao Makuu ya Kamati ya Ukombozi ya Bara la Afrika. Miongoni mwa waliowahi kuishi Tanzania ni Nelson Mandela na Samora Machel.

“Nchi ambayo ilikuwa inakimbiliwa na kila mtu kuja kujifunza siasa safi, sasa hivi zipo nchi zinakuja kujifunza siasa chafu. Kuna nchi moja imejifunza juzi siasa zetu chafu tulizozifanya 2020, tunavyoongea hapa sasa hivi wanauana, walikuja wakajifunza hapa, na mwaka huu pia walikuja. Tuliwafundisha siasa safi wakawa wana uvumilivu lakini juzi tukawafundisha siasa chafu; namna ya kuwashughulikia wapinzani, wamewashughilikia wapinzani na hali ni mbaya kule”- Padre Dkt. Charles Kitima.

Leo ni tofauti wahuni wanaotaka kuharibu demokrasia za nchi zao, kujifunza kuiba kura na kupindua matokeo ya uchaguzi na kuweka vibaraka wao ndio tunaowakaribisha kuja kujifunza siasa chafu kutoka kwetu. Aibu.

 

Attachments

  • b3a34e7e631270a9e73fdd13db687369.mp4
    3.6 MB
Huyu padre abaki kwenye dini. Hajui siasa. Mawazo yake yameegemea kwenye mtazamo wa Chadema ambayo yeye pia ni mfuasi. Angewaambia wenzake wajifumze siasa za hoja sio za matukio.
 
Back
Top Bottom