Padre Dkt. Kitima: Zipo nchi siku hizi zinakuja kujifunza siasa chafu Tanzania

Padre Dkt. Kitima: Zipo nchi siku hizi zinakuja kujifunza siasa chafu Tanzania

Na mwalimu wao ni Mr Kifua Kipana..
Mkaza mwana
 
Kwahiyo wewe unataka Tanzania iingie kwenye vita ya wenyewe? Au wewe unatataka apige siasa za chama tawala? Ndugu! Prevention is better than cure.
Hakuna namna Tanzania inaweza kuingia kwenye vita eti kwa sababu kuna padre fulani mkatoliki anaamini hivyo.

Huyo ni mpinzani anayejificha ndani ya joho la upadre, hausumbui mfumo wa usalama wa taifa unaoliongoza taifa hili.
 
Umechanganya mada
Ila unatakiwa uelewe mkataba wa dp world ni kaa la moto .
Tatizo mnakurupuka
Hakuna nchi inayojifunzia vita hapa Tanzania, vita katika bara hili zimekuwa zikianzishwa miaka na miaka kwa sababu mbalimbali.

Hakuna haja eti kwa viongozi wa kisiasa wa mataifa ya jirani kuja kujifunzia ubaya huo hapa kwetu, huyo padre anaanzisha chokochoko za kutaka kuifitinisha serikali na wananchi bila ya kujenga hoja ya kina yenye kuweza kueleweka kwa watu makini.
 
Analiingizaje Kanisa kwenye siasa while kila mtu ana itikadi yake ya kisiasa?
Hizo hoja ulizozijenga kupinga alichokisema Kitima ni 100% irrelevant based on time.
Kitima ametolea mfano wa hiyo nchi katika nyakati hizi, na si zamani..
Ukiangalia Somalia ilichafuka mda mrefu in 90's, Liberia tangu 1989 kulikuwa na machafuko Hadi miaka ya 97.
Machafuko ya hizo nchi yanafahamika sababu zake,lakini hili la Kitima kalizungumza kwa code zaidi na kimsingi hiyo nchi inafahamika endapo uta connect dots...
Shida yako wewe ni adui wa Chadema,na unafikiri yeyote anayetoa mawazo mbadala basi unamuweka kundi la Chadema tu...
Hana hoja huyo zaidi ya kutaka kuifitinisha serikali na wananchi, na wenye akili timamu walishamgundua kitambo sana.

Vita ni matunda ya wenye nchi kutofurahishwa na siasa husika za nchi husika, haingii akilini viongozi wa kisiasa wa nchi moja waje kujifunza siasa hizo za kishenzi hapa kwetu.

Huyo Padre alijaribu kutikisa kiberiti kwenye awamu hii ya SSH akakuta kimejaa vizuri tu. Kwa ufupi mfumo wa kiusalama haupati taabu na huo uhasama anaouanzisha.
 
Hapo anakemea maovu yanayotokea kwenye jamii .
Kuhubiri dini ni pamoja na kukemea maovu yanayofanywa hata na wanasiasa.
Kwa hiyo wanasiasa wakifanya maovu viongozi wa dini wakae kimya wasikemee kwamba wataonekana wanafanya siasa?
Na siasa ni mfumo mzima wa maisha !
Hakuna awezaye kuishi nje ya Siasa !
 
Back
Top Bottom