Padre Dkt. Kitima: Zipo nchi siku hizi zinakuja kujifunza siasa chafu Tanzania

Mwalimu Wangu (Mhadhiri Wangu) wa Media Law SAUT Mwanza mwaka 2008 na Vice Chancellor wangu Fr. Dkt. Charles Kitima akisema Kitu / Jambo Mimi Mwanafunzi wake GENTAMYCINE kamwe siwezi Kumpinga kwani najua yuko sahihi na nina uhakika nae kwa Mtazamo wake.
 
Kwahiyo unaona ni sawa hayo mambo yasikemewe kwasababu kuna nchi zina machafuko toka zamani.kabla ya kumuona padre anakosea ulitakiwa hajiulize hizo nchi zilifikaje fikaje uko.Padre yuko sahihi kukemea ili nasisi tusifike uko kama hizo nchi ulizotolea mfano.Tumia akili zako vizuri.
 
Nsilo Swai..1962 alipita hapa Tanzania......
 
Huyu padre abaki kwenye dini. Hajui siasa. Mawazo yake yameegemea kwenye mtazamo wa Chadema ambayo yeye pia ni mfuasi. Angewaambia wenzake wajifumze siasa za hoja sio za matukio.
Nikuulize kitu, siasa inatakiwa izungumzwe na nani?
Kitima ni mwananchi pia.
 
wanaacha kuhubiri dini wanataka kuwa wanasiasa ni ujinga wa hali ya juu hawa wanaojifanya watumnishi kumbe wanasiasa
Nenda kamsome Muhamad na vita alivyokuwa navyo. Usiwe mjinga dogo. Pata Elimu. Hawa watumishi wanaongoza watu. Mbona wanasiasa huenda kwa hawa hawa kuombewa? Na mbona wakisema Maza mitano tena mnawasifia? Wakisema amechaguliwa na mungus mnawakubalia?wakipinga uchafu ndo hawafai kwenye siasa?wawe wanaimba sifa na mapambio
 
Huu ni wakati muafaka wa kurudi na kutulia tukiomba Mwenyezi Mungu atuongoze salama. Padri Kitima, yes kusema ni muhimu, lakini lazima tuliombee sana Taifa letu.
Unajua fika, hakuna majawabu rahisi kwenye changamoto tunazopambana nazo
 
wanaacha kuhubiri dini wanataka kuwa wanasiasa ni ujinga wa hali ya juu hawa wanaojifanya watumnishi kumbe wanasiasa
Yule majaliwa juzi alienda pale mwalimu Nyerere kufanya nn na wale mashehe?ningekupa neno baya hadi ungechafukwa ila acha niache tu
 
Tumuombee sana Padre Kitima, Mungu azidi kumlinda ili 'watesi' wasije wakamtumia mamluki ili kumuangamiza.
Ukiwa mtu unayesema Ukweli Sana, Mpigania haki, mpinga rushwa, ufisadi au mpinga dhuluma, badi tambua ya kwamba Afrika siyo sehemu salama wala siyo Mahali salama kwako kwa kuishi.
 
Pale kusini kwetu hapo labda. . . . . . . Eeh MUNGU ondosha madhila haya !
 
Huyu padre abaki kwenye dini. Hajui siasa. Mawazo yake yameegemea kwenye mtazamo wa Chadema ambayo yeye pia ni mfuasi. Angewaambia wenzake wajifumze siasa za hoja sio za matukio.
Ukiwa na ukinzani na ccm unakuwa chadema kumbe vyama vingine vyote ni ccm B?!.Nyie ndio mnaotufanya waafrika tuonekane tuko primitive.
 
Siasa za kipinzani ni zipi na zisizo za kipinzani ni zipi.
Anazozifanya huyo Padre wetu, siasa za kujifanya anatoa tu maoni ya kiungwana. Anakosoa hata masuala asiyo na utaalam nayo akidhani anao uelewa mpana na kibaya huwapata wengi wetu tusio na uelewa wa kina.
 
Akikemea asipokemea ukweli ni kwamba hana uwezo wa kubadilisha hali halisi.

Ndio maana nimesema zipo nchi zina vita miaka mingi kabla hata hajaenda seminari kusomea upadre hivyo maoni yake hayana chochote kipya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…