Padre Kitima: Suala la kuminywa haki za Wamasai wa Ngorongoro si sahihi

I am convinced you know what you are talking about.

I look forward to reading some more of such ideas from you.
 
Jibu swali mnafiki wewe, udini wako ni wa kuzusha tu.
TEC hawana jipya, walikula za uso siku ya kusaini mkatsba na DP World, bado inawauma ile.

Umesahau?

Muunguja majibu yake ni vitendo tu.
 
TEC hawana jipya, walikula za uso siku ya kusaini mkatsba na DP World, bado inawauma ile.

Umesahau?

Muunguja majibu yake ni vitendo tu.
Sasa subiri vitendo vitakvyo jibu hivyo vitendo vya kihayawani. Usifikiri yamefikia mwisho.
 
Ihakika nilionao ni kwamba wewe huwezi kuiona pepo kutokana na unafiki
DP World wanedeleaje bandarini huko?

Unaelewa na wale Aidan, shareholders wakubwa ni wa Abu Dhabi?

Bandari nusu Dubai, nusu Abu Dhabi .

Mama anawashindanisha kiaina ya pekee.

Haijawahi kutokea duniani.
 
WasafiTV wamepost video clip akijnasibu kuwa yeye ni gwiji la sheria lkn kitu cha hovyo kama hicho. Ngoja niitafute niilete kama ilivyo
Itapendeza sana tukimsikia mwenyewe alivyo sema.
Hata wakati mwingine huwa nashindwa kuelewa baadhi ya watu wenye ufahamu wa kutosha juu ya jambo, halafu wakarudi nyuma kujiumauma wakati wanapo takiwa kusimamia wanayo yajuwa. Huyu hatakuwa wa kwanza.
 
Sasa subiri vitendo vitakvyo jibu hivyo vitendo vya kihayawani. Usifikiri yamefikia mwisho.
DP World wanedeleaje bandarini huko?

Unaelewa na wale Aidan, shareholders wakubwa ni wa Abu Dhabi?

Bandari nusu Dubai, nusu Abu Dhabi .

Mama anawashindanisha kiaina ya pekee.

Haijawahi kutokea duniani.
 
DP World wanedeleaje bandarini huko?

Unaelewa na wale Aidan, shareholders wakubwa ni wa Abu Dhabi?

Bandari nusu Dubai, nusu Abu Dhabi .

Mama anawashindanisha kiaina ya pekee.

Haijawahi kutokea duniani.
Hii ndiyo takataka gani unaleta hapa. Mada inasema kitu gani na wewe unaleta nini hapa?

Hizi akili za kilevi siku zote zinakusumbua sana.
Ushauri kwako ni huu: unapokuwa umelewa hicho kilevi chako usije mbele za watu JF kutoa usumbufu wako kama mlevi.
 
Nyie juzi mmeua msanii Mandojo kanisani kwenu mkiwa na majoho, biblia, mikate na wine, mbona hamjatoa kauli?
 
Kwani haiongelewi bandari ya Ngorongoro hapa?
 
Nashangaa wanaowasemea binadam ili waishi kwenye makaazi ya wanyama pori.

Wanyama watalindwa na kusemewa na Makhalifa (Vicegerents), hakuna shaka wala hakuna atakae waingilia kwenye maeneo yao ya asili kibabe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…